Zawadi ya ngono

Zawadi ya ngono

Zawadi ni Takrima😂 sio rushwa.

Tofauti ya Rushwa na Takrima ni namna ambavyo inakuwa induced.

Ikiwa mtu atatoa kitu kwa hiari yake kama shukurani hio si rushwa ni Takrima. Hii ni kama mtu kutoa Tip.

Ikiwa mtu atapewa condition kwamba ili upate au ufanikishe jambo lako toa kiasi flani au twende lodge hio ni rushwa without a doubt.
Exactly 💯 !
 
Charles kilian ulikua unatafuta nini huku kwani!?🤓

EMT
Mbu
I hope you guys are alright...nimewamiss sana!!! Wengine naona hawako active tokea kitambo.🙁
Dada yangu nilikuwa na Id yangu miaka ya 2011 nilivojiunga jf Uzi wa kwanza kuusoma ulikuwa ni huu na nilipata madini sana ndo Uzi wangu Bora wa muda wote ila baadae nikaja kuibiwa simu na kupoteza password ya ile id na nikafungua hii ya sasa hivi na nikaukumbuka huu Uzi wangu pendwa wa 2011
 
Charles kilian ulikua unatafuta nini huku kwani!?🤓

EMT
Mbu
I hope you guys are alright...nimewamiss sana!!! Wengine naona hawako active tokea kitambo.🙁
Dada yangu nilikuwa na Id yangu miaka ya 2011 nilivojiunga jf Uzi wa kwanza kuusoma ulikuwa ni huu na nilipata madini sana ndo Uzi wangu Bora wa muda wote ila baadae nikaja kuibiwa simu na kupoteza password ya ile id na nikafungua hii ya sasa hivi na nikaukumbuka huu Uzi wangu pendwa wa 2011
 
Back
Top Bottom