Zanzibar ni member wa SADC?

Zanzibar ni member wa SADC?

Hivi Shen kahudhuria mkutano anawakilisha nchi gani?

Uzi tayari


Kwanini unapenda sana fujo za kisiasa? Shida yako uanze tu kuchokonoa mambo ya Muungano, umetumwa? Hujui Zanzibar ni sehemu ya Muungano i.e United Republic of Tanzania? Au una F ya Civics unaanza kutusumbua humu
 
Nafikiri hatawewe unaona ugumu kujibu swali
Tanzania ni JMT ya TZ Bara na TZ Visiwani, Rais wa Zanzibar ni mmoja wa viongozi 5 wakuu wa JMT wakiongozwa na President, VP, PM, Rais wa Zanzibar na Waziri Kiongozi kwa mujibu wa katiba ya JMT, au Makamo wa I na II kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ambapo rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT kama Waziri asiye na Wizara maalum. Hivyo amehudhuria kama kiongozi wa kitaifa.
P
 
Neno "Jembe" linamaana gani hapa?
CCM unaitaja ili iweje haswa.. kama unashida nao nenda Lumumba ukawasalimu. Inaonyesha una mawazuuuuu na hicho chama chao.. na bado utaendelea kuisoma namba maana Mwenyekiti wao ni bonge la Jembe..

Tena inakuwaje Mwenyekiti wenu hamumupambi bali muko bizi na Jembe kila wakati na Chama chake?
 
Swali la msingi ni hili: Kama Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kuunda TANZANIA, why Zanzibar iishi na Tanganyika ife? Kama ilikuwa ni lazima jina la 'Zanzibar' libaki, kwanini kule asiwepo mkuu wa Mkoa tu na sio Rais mwenye jeshi, katiba na wana bunge na bendera yao? Au huo "urais" ni urais tu kama wa bendi ya Ngwasuma ilhali jamaa ni kama waziri tu?

No wonder mgombea wa urais wa CCM huko Zanzibar ni lazima jina litoke Dodoma ili asije akapatikana "kichaa" wa kuwachallenge. Tena kuna wakati CCM ilfanya umafia na kurudisha jina la yule alikuwa mshindi wa tatu huko Zanzibar
 
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina Rais, Tanzania ina Rais, wakiwa pamoja tuta Ma Rais wawili? Au Cheo cha mmoja kinakuwa Kipi?

Nafikiri Swali lake linamsingi na Lijibiwe bila kasfa
Kwan ni nan rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ???
Hivi Tanzania inaweza kuwepo pasi na Zanzibar ???
Sijui dada sijui kaka vp Mbona unauliza maswali ambayo hayaingiii kichwan???
Yeye ni rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ambayo inaunda pia serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Na SADC summit ilikua ikihusiana na Tanzania as the host of the summit sio Tanganyika.
Na ingetokea km ndio waje wawakilishi wa muungano km ilivyo kwa watabe Nyerere na Karume basi wawakilishi contemporary wa pioneers wangetoka Magufuli na Shein.
Au ww mzanzibar unaongea kwa hisia???!!!!
SAMAHANI ILA HILI NI SWALI LA KITOTO,SAMAHANI KWA HII KAULI.
 
JPM anawakilisha Serikali ya Zanzibar? Anacheo gani huko?
Asa atakuaje mwanachama wa CAF ilhali Tanzania yawakilisha serikali zote????
Nikuulize na ww,kwan Zanzibar kama Zanzibar ipo ktk wanachama wa UN???
 
Mkuu Dega, muwe angalau na shukrani japo kidogo kwa sababu ni muungano ndio umewafanya baadhi yenu mpo hadi leo, ingekuwa sio muungano kuna watu fulani , baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wangekuwa wiped kwenye uso wa dunia, the wiper alikuwa ana wipe tuu, lakini ni kupitia Muungano huu adhimu Nyerere akazuia watu fulani wasiwe wiped.
Shukuru kwa hilo.

P
Mkuu Paskali,

Wewe ni mtu mzima unaeheshimika. Restrict yourself from writing or speaking all the time. There are some of us who respect you here na tusingependa tukuvunjie heshima.

Relief Mirzska
 
Majaliwa ni Waziri Mkuu wa TZ, Lukuvi Waziri wa TZ, Shein ni Makamu wa Rais?
Alikuwa meza kuu? Mbona Kassim Majaliwa kahudhuria alikuwa anawakilisha nchi gani? Lukuvi naye vipi? Shein kahudhuria kama Waziri tu wa JMT
 
Hapa Anauliza nafasi ya Kiuongozi Tanzania
Scotland,Northern Ireland,England and Wales all of these are nations with their own rules but united together to bring up a one strong nation called United kingdom.And the strongest arm overtaking all is England.
Na hilo je unalizungumziaje???
Na hapa kinachoitwa muungano ni nini???
Tanganyika inajulikana km Tanzania bara.
Ukisikia Tanzania bara basi ujue Tanganyika tayari hyo.
Kila muungano wa mataifa una policies zake unaozitengeneza kuhusiana na hiyo Union.
 
Back
Top Bottom