Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Na hivi huu muungano una faida zipi kwa sote? bara na visiwani.
ama kweli hata saa mbovu kuna wakati iko sahihi...
Na hivi huu muungano una faida zipi kwa sote? bara na visiwani.
Watu kama huyo anaetoa maoni si hasha wanaamini nyerere ni rais hadi leo.
Inawezekana kabisa walitoa hayo mapendekezo hawajawahi kuisoma katika ya Zanzibar.
Pengine hata hawajui kama kuna katiba ya Zanzibar inayotambua Zanzibar kama nchi.
Mnapoteza muda kuongea muungano mfu. Ikitokea mkiongelea muungano ongeleeni in past tense.
[video=youtube_share;Vhs8BMxY4Fg]http://youtu.be/Vhs8BMxY4Fg[/video]
Imemshinda nyerere kuifanya mkoa ataifanya yeye aliekuwa hujui hata maana yw nchii nini nenda kamulize Pinda(waziri mkuu) aliposema zanzibar sinchi na kam wasema zanzibar akamulize Benad Membe (waziri waambo ya njee) hiyo TANGANYIKA MPYA(iliozaliwa 1964) Umoja wa Mataifa watumia kiti cha nani,then utasema Zanzibar iwe mkoa ila kabla kuwa mkoa nayeye tukampime akili
Wanasahau kuwa Zanzibar ilikuwepo kabla ya Tanzania. Wanasahu kuwa hata Tanganyika ilikuwa part ya Zanzibar.
Mimi nauliza hivi huu muungano una faida zipi kwa wote hata ukae ujadiliwe miaka nenda miaka rudi?
Kuna watu wanafaidika nao hivyo hawataki uvunjike piga ua!! Wanasahau kuwa huwezi kumlazimisha mtu kitu kama hakitaki. Wazanzibari wameonyesha dhahiri hawautaki sasa bara tunawalazimisha kwa nini? Hivi mtu akija nyumbani kwako anaweza akakulazimisha ufanye kitu usichotaka!!
ama kweli hata saa mbovu kuna wakati iko sahihi...
Wanasahau kuwa Zanzibar ilikuwepo kabla ya Tanzania. Wanasahu kuwa hata Tanganyika ilikuwa part ya Zanzibar.
Mimi nauliza hivi huu muungano una faida zipi kwa wote hata ukae ujadiliwe miaka nenda miaka rudi?
Hapo faida yake nini zaidi ya hasara tupu?
Sumbawanga. BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, wametaka katika katiba ijayo kuwe na muundo wa Serikali moja, huku Zanzibar ikiwa ni moja ya mikoa ya nchi ya Tanzania na iwapo Wazanzibari watakataa, waruhusiwe kujitenga.
Mmoja wa wajumbe wa baraza hilo la Katiba Wilaya ya Kalambo, Afred Ntinda mkazi wa kata ya Mwazye kijiji cha Mpenje alisema hayo jana wakati akichangia maoni katika kikao cha baraza hilo kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya wilaya mjini hapa.
Mpenje alisema kuwa mfumo wa sasa wa Serikali mbili una kasoro nyingi na umeshindwa kutatua kero za Muungano hivyo hautakiwi kuendelea kuwepo wakati ule wa Serikali tatu hawezi kulinda muungano huo kwa kuwa Serikali hizo zinaweza kuongozwa na marais kutoka vyama tofauti vya siasa na wenye mitizamo isiyolingana hivyo kuna hatari ya muungano kuvunjika.
Sisi huku bara kuwa na Serikali moja si tatizo wengi wataridhia, nafikiri kuna tatizo katika upokeaji wa maoni kwa wenzetu wa Zanzibar.
Source: Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania - Habari Ya Ndani - mwananchi.co.tz
Binafsi naunga mkono hoja! Zanzibar ina watu wachache kuliko hata mkoa wa Mbeya, inatoa wapi sifa ya kuwa nchi. Iwe tu mkoa wa Tanzania.
Hata mkoa bado itakuwa ndogo sana labda Unguja iwe ni wilaya ya DSM na Pemba iwe wilaya ya Tanga
Wanasahau kuwa Zanzibar ilikuwepo kabla ya Tanzania. Wanasahu kuwa hata Tanganyika ilikuwa part ya Zanzibar.
Mimi nauliza hivi huu muungano una faida zipi kwa wote hata ukae ujadiliwe miaka nenda miaka rudi?
haya basi Tanganyika iwe wilaya ya Zanzibar
Kwa faida ipi zaidi?
Hasara za muungano ni zipi? Nitajie angalau 100 tu.
Huyu mdau ametoa maoni take. Bahati mbaya wengi we nu humu mngetaka aseme mnachokiwaza ninyi. Tena yeye amekuwa na busara zaidi kwa kutoa options mbili, tuwe nchi moja tukishindwa tutengane. Je ni kweli yote haya hayawezekani?haya ndo madhara ya mabaraza yaliyobemendwa. hvi kunawatu hawaelewi hali ya kisiasa ilivyosasa kati ya ZNZ na BARA. Nivyema watu wakazungumzia mambo yanayowezekana kufanyika jaman.
Wewe maoni yako ni yapi?Kwa taarifa yako tu maoni yake ni maoni ya watanganyika wengi.Kama Znz haitaua utaifa wake kama Tanganyika ilivyofanya kwa zaidi ya miaka 50 sasa kutokana na ubinafsi wao(wa znz) bac itakuwa ngumu sana kwa watanganyika kukubali kuendelea na muungano wa aina hii!Simply ni kwamba kama hakuna nchi moja,muungano can go to hell !!!!!