Zanzibar: Freeman Mbowe ashiriki Kikao cha Faragha cha Wakuu wa Vyama vya siasa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,749
218,338
Screenshot_2023-09-25-15-37-07-1.png

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
 
View attachment 2761904

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Mwamba wa Siasa za Tanzania , ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto , Freeman Mbowe , amehudhuria mkutano wa Faragha wa wakuu wa vyama vya siasa unaofanyika Nchini Zanzibar .

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024 /2025 .

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa .

Usiondoke JF , kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko Tayari kuvujisha yatakayojili .
Nyie!

Dola ishaamua mkuu kwamba!

" Uchaguzi wa serikali za mitaa utasubiri HADI katiba mpya itakapo kamilika"

KWA uandishi wa Tumia akili humu humu jf kwenye uzi wa "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda "

SASA Mbowe anataka shiriki kikao cha marekebisho ya sheria Ili iweje!!?

Amelambishwa asali sio!!?


Ngoja tusubiri tuone tuone!!
 
Nyie!

Dola ishaamua mkuu kwamba!

" Uchaguzi wa serikali za mitaa utasubiri HADI katiba mpya itakapo kamilika"

KWA uandishi wa Tumia akili humu humu jf kwenye uzi wa "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda "

SASA Mbowe anataka shiriki kikao cha marekebisho ya sheria Ili iweje!!?

Amelambishwa asali sio!!?


Ngoja tusubiri tuone tuone!!
Unaandika nini wewe ?
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.
We jamaa kwa mbwembwe.......eti anayeshikilia Mstakabali wa Taifa
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Habari za Mbeya?
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Vizuri
 
CHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
Kura gani hiyo? Uchaguzi wa mbarali zaidi ya watu 80, elfu walijitokeza, Na chadema hawakuwepo
 
Back
Top Bottom