Morocco forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,121
- 6,879
Kwahiyo hadi leo , uhamiaji hawafahamu kama Manji ni raia wa Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi ya kipumbavu hii, wageni wanapata shida mno yani wanasumbuliwa sana. Ada zenyewe kubwa wanazotozwa, wataacha kukimbia!