The following is a list of characters in the television series 24 by season and event. The list first names the actor, followed by the character. Some characters have their own pages; see the box below.
Nasema hivi,
Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.
Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa...
Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka.
Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?
Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.
Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo...
Mfanyabiashara wa Tanzania Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa nchi Tanzania Takukuru akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini Tanzania kutoka nje ya nchi .
Kwa mujibu wa Kamanda wa Takukuru kamishna wa Polisi Said Hamduni, Manji anashikiliwa toka...
Kwa Shutuma zake nyingi na zisizovumilika namuomba Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan aamuru Kukamatwa upesi kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kisha Yusuf Manji awe Shahidi #1 wa yanayomsibu.
Kila nikikumbuka Tukio alilofanyiwa Manji wa Watu pale Kwake Sea View huku Paul Makonda...
Habari wadau!
Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.
Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote...
Mfanyabiashara maarufu nchini Yusuph Manji amerejea jioni ya leo Juni 01,2021 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA)
Manji alipowasili leo alizuiliwa kwa muda na maofisa Uhamiaji waliotaka kujiridhisha na uraia wake na kisha aliruhusiwa baada ya Maofisa hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.