luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
dawa imeingia we tulia mzeeNa Weweee Kumbe Ni akili za kuzoa zoa tu!
dawa imeingia we tulia mzeeNa Weweee Kumbe Ni akili za kuzoa zoa tu!
dawa imeingia we tulia mzee
MTULIA KAPIGIWA KIPAIPAI. YUPO RUFIJI KWA MASANGOMA. KAWA CHIZI. MBAYA ZAIDI INASEMEKANA YUPO MWEZINI,BREEDING KWA NYUMA. HIVYO ombi mpelekeeni pampasi na Pedi atawashukuru mno.
Mkuu kumbe na wewe umemuonaNi kweli
Mmh bado ypo kwao anatibiwa kichaa. Nimemuona leo hii tuNi taarifa kutoka kwa jamaa yetu Miraji Kibonde ambaye anadai amekutana na mh Mtulia katika duka moja la viatu hapo jijini Pretoria. Miraji amesema walisalimiana kisha kila mtu akaendelea na uchaguzi wa ndopa. Niishie hapo!
Hongera zake kwa kutumia kodi zetu ila ipo siku yake atazilipa RIP akwilinaNi taarifa kutoka kwa jamaa yetu Miraji Kibonde ambaye anadai amekutana na mh Mtulia katika duka moja la viatu hapo jijini Pretoria. Miraji amesema walisalimiana kisha kila mtu akaendelea na uchaguzi wa ndopa. Niishie hapo!
Hawana mawaaaWhy virgin???
Kwani yeye ndio aliyefyatua binduki?!Hongera zake kwa kutumia kodi zetu ila ipo siku yake atazilipa RIP akwilina
Mimi mwenyewe nimemuona duka la Edgars hapa johanesburg akifanya manunuziNi kweli
Joberg ndio Pretoria?Mimi mwenyewe nimemuona duka la Edgars hapa johanesburg akifanya manunuzi
Kwa kosa gani?!!Hahah naona mmekuja kumtetea,,
Mkuu kumbe na wewe umemuona[/QUOTE
Ni vema na haki ikiwa sio ushabiki
Pretoria ni kitongoji kiko ndani ya Joburg mkuu. Ni sawa na mtu kusema kakukuta Kinondoni mwengine akasema kakukuta Dar.Joberg ndio Pretoria?