Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Moderator huu uzi ni kejeli kwa ndugu wa mgonjwa ambaye inasemekana hali yake ni mbaya na mipango ya haraka ya kumkimbiza India kwa gharama za Bunge inafanyika .

uzi huu ufutwe .
 
Joberg ndio Pretoria?
Johanesburg huijui wewe pretoria ni kama temeke au ilala johanesburg ni kama dar es.salaam ni sawa na kusema nimemuona mlimani city dare salaam akifanya shopping!!!!! Unashangaa nini? ,exposure ya kimataifa huna
 
Kuna mzee mmoja alikuwa akisema yeye ana uwezo wa kuleta dhahama kwa mtu yeyote mradi tu yule mtu amefanya dhulma ama uonevu.
Haya mambo inawezekana..Faru kazi wa bongeni,Hakimu mbabe wa kisutu,Mtulia...Hii inaweza kuwa dharura!
Mkuu anapatikana wp huyo mzee tafadhali?
 
Mtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
Acha ubabaishaji. Sisi tunazungumzia hali yake leo wewe unazungumzia mwezi wa nne. We vipi?
 
Ni taarifa kutoka kwa jamaa yetu Miraji Kibonde ambaye anadai amekutana na mh Mtulia katika duka moja la viatu hapo jijini Pretoria. Miraji amesema walisalimiana kisha kila mtu akaendelea na uchaguzi wa ndopa. Niishie hapo!

Mbona hizi habari zinakanyagana kama za Abdul Nondo.Na wale waliosema jana alikuwa kwenye harakati za CCM jana walikuwa wanamuongelea Mtulia gani?
 
Pretoria ni kitongoji kiko ndani ya Joburg mkuu. Ni sawa na mtu kusema kakukuta Kinondoni mwengine akasema kakukuta Dar.
Poa mkuu, nilidhani kwamba Pretoria na Joberg zipo ndani ya Gauteng? Ni sawa mwengine aseme kakukuta Manzese mwingine aseme Mbagala?
 
Moderator huu uzi ni kejeli kwa ndugu wa mgonjwa ambaye inasemekana hali yake ni mbaya na mipango ya haraka ya kumkimbiza India kwa gharama za Bunge inafanyika .

uzi huu ufutwe .
Bado hajawa mbunge mpk aapishwe so aezi tibiwa kwa hela ya bunge
 
Back
Top Bottom