Bavicha huwa wanafurahisha sana.Sina uhakika na nini kinaendelea kuhusu mtulia,lkn napatwa na wasiwasi juu ya UWEZO WA KIFIKRA KWA WAFUASI WA CHADEMA.Juz mbowe kaumwa na cjui anaendelea vipi,kwa siasa za kipuuzi toka kwa bavicha ilitakiwa uvccm nao waanze kutembeza propaganda za ooh albadili mara malipo ni hapahapa,karma nk.Hizi ni AKILI MFU.Wao huamini kila mwanaccm anayepata ttz ni malipo ya Mungu na dhana potofu za ramli ila viongozi wao wakipata mattz ni kutafuta huruma ya Mungu na kutafuta namna nzuri ya kuliongelea.
Chama kikifika kuongozwa na mtu wanayemwona kwenye Instagram tu kupokea maagizo yake, automatically wanachama lzm wawe na AKILI MGANDO.