Yule ambae humtaki ndio mumeo

Yule ambae humtaki ndio mumeo

Tangu bado nipo mdogo mpaka sasa naamini mapenzi(hisia)yanajengwa. .ni suala la saikolojia kuamua kupenda au vice versa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me kuna muda mapenzi yanagoma kabisa kujengeka. Angalau ndoa za wazee wetu ambazo unajikuta tu ndoani na huna option so unapambana na hali yako. Siku hizi tuna uhuru wa kuchagua tumtakaye; moyo ukigoma unauacha tu
 
Haipo hivyo wakati wote. Kwenye haya maisha omba tu upate mtu mwenye "utu". Kuna mtu ni maskini and yet hana utu. Afu hujawahi ona mtu mnaanzia chini wote ila mkifanikiwa, vitu anavifanya vya kwake peke yake. Mna gari ila hadi kulipanda ni uwe umezidiwa unakimbizwa hospital. Sio matajiri wote ni wanyanyasaji; tena naonaga ni rahisi kumgundua tajiri mnyanyasaji kuliko maskini ambaye kukosa pesa kunamnyamazisha kidogo
Hamna tajiri mwenye utu wewe, labda wa huko green city!
 
Trust me kuna muda mapenzi yanagoma kabisa kujengeka. Angalau ndoa za wazee wetu ambazo unajikuta tu ndoani na huna option so unapambana na hali yako. Siku hizi tuna uhuru wa kuchagua tumtakaye; moyo ukigoma unauacha tu
Unapoint kabisa ila kunaswali napenda kukuliza kama dady na mamy wameweza wewe kwani usiweze maisha yanaisha eti next year is 2020 dah ! Mimi kwa sasa sintoringa tena nikapate familia yangu hata mwakani niitwe mama fulani.
Najitahidi niache utoto na ujuaji maana haujanisaidia mpaka leo naacha sasa kusikiliza chochote.
Moyo wala kichwa.
Ilimradi sifa zipo naolewa.
Ipo siku nitarejesha mrejesho nimeolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe kaka ingekuwa waoaji mnatambulika kirahisi; dada zako tusingekuwa tunagendaheka na ulimwengu. Some people are good pretenders, unahisi ndoa hii hapa; kumbe mweeh ni tapeli konki. Na mwingine anaweza akawa genuine, ila msifanikiwe kufunga ndoa; mkashindwana kwa sababu ya mambo fulani fulani

Afu unavyomponda huyo ex; are you sure maumivu ya kukukataa yalishaisha?
Yaaan ni kamsaga mdada wa watu mmh[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]...wanaume wanayaweza asee haahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Relax..
If you can be friends itakusaidia kuona kama unaweza kujifunza kumpenda. Ingawa ni changamoto pia kuwa close na mtu ambaye moyo umemgomea. Afu yeye kwa wakati huo anaanza kujipa matumani kuwa umeshaanza kumuelewa teh, kwa hiyo ndo anakazia macare na nini udate
Daaah...umenifungua kitu hapa!

Let me focus with other issues!

Kumbe sitakiwi kukurupuka eeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya mapenzi ni kama circle katoto kazuri anampenda wiz kid na wiz kid anampenda joyce na joyce anampenda joseph na sasa katoto kazuri anapendwa na martin so katoto kazuri atakuwa na martin kwasababu fulani you see huu ndio mzunguko wa mapenzi.
Unaweza kukuta joseph anamanzi watatu hata joyce ana wanaume idadi yake mwenyewe so akija joseph hiyo ni tyme yake ila ukweli ni huu inampigiaga mahesabu mtu ambae sio.
Kwa hiyo unaishilia ndio basi tena single or married ila no happy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa mi nampendaga katoto kazuri japo nahisi nikisema ataniona siko serious kisa anampenda wiz kid[emoji7][emoji7]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom