Yuko wapi Nchimbi, yupo hai, mfu, huru, kizuizini au ughaibuni?

Yuko wapi Nchimbi, yupo hai, mfu, huru, kizuizini au ughaibuni?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2026
Posts
360
Reaction score
624
1788233960058.png

Kihisitoria, Makamu wa rais wa kwanza kujiuzulu nchini alikuwa Aboud Jumbe.
Alirubuniwa na wachoyo na walafi wa madaraka hasa vijana wakiongozwa na marehemu Seif Shariff Hamad ili wamuondoe wachukue ukanda wakaisha kuishi na kufa kwa upanga kama walivyoishi kwao. Nchimbi kaondolewa. Tunajua ni nani wako nyuma ya umbea kwa mama kama vile Bashite na Madelu wasijue nao waweza kuishia kama Maalim Seif.
Je, kwanini Nchimbi hakukabidhi ofisi kwa Ndejembi?
Jumbe aliitwa Dodoma na kufukuzwa.
Kwanini Nchimbi amefukuzwa in absentia?
Yuko wapi?
Kwanini amekuwa kimya hivyo?
Yu hai au marehemu?
Yuko huru au korokoroni?
Yuko nchini au ughaibuni na ni wapi nchini au nchi gani ughaibuni?
Je makosa yake ni yapi na adhabu zake ni zipi kikatia?
Je, barua ya kujiuzulu aliandika au aliandikiwa na kwanini?
Kunani kinafichwa kama hakuna namna na mizengwe na usanii?
Nani anamdganya nani na ili iweje kati ya watawala, watawaliwa, hata Nchimbi mwenyewe?
Je, Nchimbi angependa ajitokeze ila amezuiliwa au amejiuzuia?
Je, kuna machezo tumechezewa ili akiibuka aonewe huruma na awe rais ajaye?
Jumbe alifukuzwa kwa sababu ya kutaka mabadiliko ya muundo wa muungaono sawa na Nchimbi kuunga mkono madai ya katiba mpya inayotaka kuwepo muundo mpya wa muunagnao.
Tusaidiane kujua kinachoendelea.
 
View attachment 3660971
Kihisitoria, Makamu wa rais wa kwanza kujiuzulu nchini alikuwa Aboud Jumbe.
Alirubuniwa na wachoyo na walafi wa madaraka hasa vijana wakiongozwa na marehemu Seif Shariff Hamad ili wamuondoe wachukue ukanda wakaisha kuishi na kufa kwa upanga kama walivyoishi kwao. Nchimbi kaondolewa. Tunajua ni nani wako nyuma ya umbea kwa mama kama vile Bashite na Madelu wasijue nao waweza kuishia kama Maalim Seif.
Je, kwanini Nchimbi hakukabidhi ofisi kwa Ndejembi?
Jumbe aliitwa Dodoma na kufukuzwa.
Kwanini Nchimbi amefukuzwa in absentia?
Yuko wapi?
Kwanini amekuwa kimya hivyo?
Yu hai au marehemu?
Yuko huru au korokoroni?
Yuko nchini au ughaibuni na ni wapi nchini au nchi gani ughaibuni?
Je makosa yake ni yapi na adhabu zake ni zipi kikatia?
Je, barua ya kujiuzulu aliandika au aliandikiwa na kwanini?
Kunani kinafichwa kama hakuna namna na mizengwe na usanii?
Nani anamdganya nani na ili iweje kati ya watawala, watawaliwa, hata Nchimbi mwenyewe?
Je, Nchimbi angependa ajitokeze ila amezuiliwa au amejiuzuia?
Je, kuna machezo tumechezewa ili akiibuka aonewe huruma na awe rais ajaye?
Jumbe alifukuzwa kwa sababu ya kutaka mabadiliko ya muundo wa muungaono sawa na Nchimbi kuunga mkono madai ya katiba mpya inayotaka kuwepo muundo mpya wa muunagnao.
Tusaidiane kujua kinachoendelea.
His disappearance can only mean one thing.... We might never see him again...!
Kumbuka Kuna mengi yalimtokea kabla ya kufukuzwa na mengine yameendelea kutokea.. Kumruhusu afunue kinywa litakuwa janga moja kubwa sana

Soma hii

Ilivyo ngumu kumlinda mateka! | JamiiForums Tanzania https://share.google/9Q1gyiIhszGgLEHPL
 
Nchi inajiendea kibabe babe, maana hata kama ana makosa wamfikishe mahala husika hataka uhaini anatakiwa afikishwe panapo husika na siko kujificha nae .. Hiyo yote ni kutoa ujumbe kwa wengine ukileta fyoko fyoko tunakula kichwaa
 
labda wamemtuliza mpk hiyo tarehe kama alivyosema?
Hiyo tarehe 4 Septemba ilikuwa wishful thinking ya Nchimbi kwenye barua yake tu. Mzee mzima alizidiwa akili, chama kumfuta uanachama haraka kabla ya hiyo tarehe ilikuwa kwa ajili ya kumnyang'anya kinga na madaraka.

Na bunge lishapitisha Makamu mpya mkuu, hakuna cha kusubiri tarehe 4 wala nini, the system cleared him out mapema sana.
 
Hiyo tarehe 4 Septemba ilikuwa wishful thinking ya Nchimbi kwenye barua yake tu. Mzee mzima alizidiwa akili, chama kumfuta uanachama haraka kabla ya hiyo tarehe ilikuwa kwa ajili ya kumnyang'anya kinga na madaraka.

Na bunge lishapitisha Makamu mpya mkuu, hakuna cha kusubiri tarehe 4 wala nini, the system cleared him out mapema sana.
dah kwahy tutulie tu mpk hapo itapotangazwa
 
dah kwahy tutulie tu mpk hapo itapotangazwa
Kutulia sawa, lakini kusubiri itangazwe ni ngumu. This is high level politics, mambo kama haya huwa hayatangazwi kwenye TV wala kwenye magazeti ya serikali. Ukweli ushaonekana kwenye vitendo, kiti kimeshachukuliwa na Ndejembi, mzee mzima yupo chini ya containment tayari. Mchezo ushaisha Mzee.
 
Kutulia sawa, lakini kusubiri itangazwe ni ngumu. This is high level politics, mambo kama haya huwa hayatangazwi kwenye TV wala kwenye magazeti ya serikali. Ukweli ushaonekana kwenye vitendo, kiti kimeshachukuliwa na Ndejembi, mzee mzima yupo chini ya containment tayari. Mchezo ushaisha Mzee.
kuna matangazo mawili
1. kutangaziwa hayupo tena
2,. kumuona kisutu na kimeo kizito
 
His disappearance can only mean one thing.... We might never see him again...!
Kumbuka Kuna mengi yalimtokea kabla ya kufukuzwa na mengine yameendelea kutokea.. Kumruhusu afunue kinywa litakuwa janga moja kubwa sana

Soma hii

Ilivyo ngumu kumlinda mateka! | JamiiForums Tanzania https://share.google/9Q1gyiIhszGgLEHPL
Kweli kabisa dkt Mshana. Ccm hawawezi mruhusu jamaa kufungua kinywa maana wamejifunza kwa komredi Pole pole.

Sasa wewe pole pole Alijua Siri nyingi za chama sembuse makamo wa Rais huyu ndio mtambo wa Siri zingatia Alikua katibu wa chama yaani Mtendaji Mkuu wa chama Anakijua nje ndani na mauchafu yao SI unakumbuka pole pole Alisema juu ya likebo kati ya chama na NEC? Lilikua linaungwa wanaimba iena inena 🏃🏃
 
Back
Top Bottom