Yuko wapi Juliana Shonza?

Yuko wapi Juliana Shonza?

Yupo ni Mbunge wa Viti Maalum Songwe, mimi namkubali sana, akiwa Chadema, nilimpigania
sana

P
We mzee unazeeka vibaya mnoo
 
Anapata watoto kila mwaka

Nadhani bado analea
Hiyo Kuzaa kila mwaka unampa Mimba Wewe?!!! Weka Takwimu zako vizuri Juliana ana watoto wawili tu wa kike na kiume. Watu wazima mnashindwa kujadili mambo ya Msingi, Juliana sio chanzo cha Maisha yenu kuwa magumu. Mkomeni
 
Hiyo Kuzaa kila mwaka unampa Mimba Wewe?!!! Weka Takwimu zako vizuri Juliana ana watoto wawili tu wa kike na kiume. Watu wazima mnashindwa kujadili mambo ya Msingi, Juliana sio chanzo cha Maisha yenu kuwa magumu. Mkomeni
Mbona CCM wao ni kujisifia tu utajiri na kuona wengine ni maskini. Mnekuwa mnapata fedha kihalali kwa haki na kwa jasho lenu wenyewe la haki msingekuwa kila waati mnawaita wengine maskini.
Hii inaonesha dhahili kuwa ninyi ni wapiga dili tu kama mama yenu Hipoppotumus
 
Hiyo Kuzaa kila mwaka unampa Mimba Wewe?!!! Weka Takwimu zako vizuri Juliana ana watoto wawili tu wa kike na kiume. Watu wazima mnashindwa kujadili mambo ya Msingi, Juliana sio chanzo cha Maisha yenu kuwa magumu. Mkomeni
Majibishano yenu haya ni watu mnaofahamiana kwa sura na Maisha kabisaaaa.
 
Yupo ni Mbunge wa Viti Maalum Songwe, mimi namkubali sana, akiwa Chadema, nilimpigania
sana

P
Mkuu kuna konekisheni gani kati yako na Wanawake waliokuwa CHADEMA kabla Kisha wakahamia CCM!?
Majuzi hapa uliweka JF picha mkiwa na Upendo Peneza..halafu mandhari ya ki LojiLoji moja pale Geita Mjini inaitwa MASHAPALE..Mtaa wa Msufuni!!!!!??
 
Mkuu kuna konekisheni gani kati yako na Wanawake waliokuwa CHADEMA kabla Kisha wakahamia CCM!?
Majuzi hapa uliweka JF picha mkiwa na Upendo Peneza..halafu mandhari ya ki LojiLoji moja pale Geita Mjini inaitwa MASHAPALE..Mtaa wa Msufuni!!!!!??
Duh...!, hii sasa ni tuhuma!, huyu binti ni umri wa mwanangu!, mimi ni wa 60s, Rais Samia namuita Dada
P
 
Back
Top Bottom