Yuko wapi Johnthebaptist?

Yuko wapi Johnthebaptist?

Bado hajajitokeza tu Mzee mgaya??
Sa hivi zingekuwa zimepanda nyuzi kama Tisa hivi huku tukimalizia na Sabato njema...

Au ndio Kwaresma..
 
Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Sa hivi hana ishu kile kitengo kapewa mwingine
 
Alikuwa anakunywa sana visungura halafu anapozea na safari lager na alikuwa anakunywa mchana kutwa na alifika stage hataki kula anadai chakula kinakata stimu zake hadi nywele zilianza kunyonyoka,tumuombeeni member mwenzetu.
Member yule tume mmisi sana Lumumba Experienced
 
Moja kati ya vizee vijinga vijinga vilivyopo pale Lumumba naye huwa yumo na huyu ndio alikua anatoa mapendekezo kuhusu maigizo aliyokuwa anafanya Makonda baada ya kurudishwa kwenye uongozi mara kuingia na mikokoteni, punda , pikipiki kwenye ziara zake zile za uenezi wa chama.
 
Back
Top Bottom