Sa hivi hana ishu kile kitengo kapewa mwingineKada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Aisee tuache Utani sio Kawaida John kutosikika hapa. Anayejua alipo please tujulisheniKwahiyo kama ndivyo alikuwa akimbatiza nani?Akina variable,Mushambwa na akina Choice ama?
Member yule tume mmisi sana Lumumba ExperiencedAlikuwa anakunywa sana visungura halafu anapozea na safari lager na alikuwa anakunywa mchana kutwa na alifika stage hataki kula anadai chakula kinakata stimu zake hadi nywele zilianza kunyonyoka,tumuombeeni member mwenzetu.
Wajukuu vipi wakati mwaka jana kapata mtotoPaskali muda wake wakulea wajukuu umefika,ilatuu bado mwenyewe hajajikubali.
Hivi hujii hata kibabu cha miaka mia kinaweza pata mtoto,ni kiasi tu kiwe kimeamua.Wajukuu vipi wakati mwaka jana kapata mtoto
Unazo ngapi ndugu?Mzee wa Dominica njema na Mlale unono kimemsibu kitu gani ??!
Ndio tatizo la hizi ID fake humu huwezi kujua kama mtu ameRest in peace au amerest in Problems !!
moja tu Ndugu 🙌👍Unazo ngapi ndugu?
Tumekataa ushauri wa Prof Janabi wa kula unaposikia njaa tu 😳 !Nimemkumbuka huyu mdingi na mimi. Yupo hai kweli au usikute anapambania uhai wake hapo Mloganzira, maana watu sikuhizi wanakata moto kwa kasi sana
Hahahaha au sio... yaaniTumekataa ushauri wa Prof Janabi wa kula unaposikia njaa tu 😳 !
Magonjwa ya moyo ni Hatari kwa sasa !