Yuko wapi Johnthebaptist?

Yuko wapi Johnthebaptist?

Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Hivi tukimuuliza mzushi mwenzie Tlaatlaah naye hajui alipo kweli?
 
Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
😂😂😂😂😂

Mungu ni mwema wakati wote
 
Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Amerudishwa sober house hali imezidi kuwa tete
 
Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Wakuu huyu memba mwandamizi kada wa ccm ya kale na mshabiki wa Chadema kisiri siri yuko wapi? Sijamsikia tangu JF ilipofungiwa.

Au alikula shaba ile Oct29?

Mwenye taarifa zake atujuze au Mshana Jr kama unaweza fanya mambo ya kitamaduni tujue yuko wapi huyu member wa ccm
 
Wakuu huyu memba mwandamizi kada wa ccm ya kale na mshabiki wa Chadema kisiri siri yuko wapi? Sijamsikia tangu JF ilipofungiwa.

Au alikula shaba ile Oct29?

Mwenye taarifa zake atujuze au Mshana Jr kama unaweza fanya mambo ya kitamaduni tujue yuko wapi huyu member wa ccm
Umekuja kujiulizia kwa ID nyingine?
 
Watakuwa walimla ya kichwa maeneo ya tegeta kwenye bar za kuuza pombe za kienyeji alizokuwa anazihusudu sana! Acha nitangulize R.I.P mwanazengo!
 
Back
Top Bottom