Mkuu asante, nipm physical address
Polr weeee ai niseme hongera
I am sorry to say this but im sure she found something better in that other guy that you were missing....
Kama sio hii plan yangu ya kujiua ningekubali hongera ili kesho nitume maombi kwa hawa wanaoomba wachumba kila siku huku mmu...nitakie tu r.i.p
Haisaidii ukiwa wenzio wanamuopoa hapohapo kwenye mazishi yako.
We nyanyuka futa vumbi na usonge mbele
Brother nina mama yangu,ambaye hata nisipomuita mpendwa haibadilishi dhana kwamba nampenda sana, nina dada yangu Lightness ambaye nilimuahidi kusimama naye bega kwa bega na kwamba ningekuwa mtu wa mwisho kumchoka baada ya ulimwengu mzima kumkataa...
Namfahamu Mwenyezi Mungu,ambaye alitumia muda wake adhimu kunipa pumzi hii ya uzima,nina wadogo zangu mtaani ambao kwa namna moja ama ningingine nimekuwa roll model wao kwenye aspects tofauti tofauti, nina Rose wangu huyu ambaye pamoja na uamuzi aliouchukua nadhani ataumia sana akijua nimejidhuru kwa sababu yake,na kwa kuwa nilimwahidi kwamba nisingependa kushududia akidondosha chozi kwa sababu yangu...,
Sasa basi najaribu kureview nakala ya sababu zinazonifanya nifikirie kujiua,ili nijikatie rufaa mwenyewe kwenye mahakama ya rufani ya mapenzi kisha nafsi ikishinda moyo nisitishe uamuzi wa kujiua na kama itaonekana niliviolet vifungu vya sheria wakati wa uamuzi wa kuijiua basi Rose anihukumu kwa kunirudisha kwenye kifungo cha kumpenda maisha!
Ngoja nikaoge na kupiga mswaki kwanza, kisha nipate na chai na spanish omlet kisha ningwe sumu, lakini kabla sijafa ngoja nikutahadharishe,angalia sana usije kunywa sumu kama mimi kwa sababu kama zangu kisha tukutane huko juu...nitakulima makwenzi ya kutosha!
kupenda sana mpk kushindwa kujicontroll ni ugonjwa,naamini sasa hivi unapitia katika assigment ya mapenzi ukiweza kuifaulu hii utapata funzo kubwa sana nautakuwa umegraduate mtihani wa mapenzi,hakuna maumivu makali kama ya hisia ni tofauti na physical pain,make sure unafanya maamuzi sahihi na hakuna dependant yako hata mmoja atakayekusport maamuzi yako ya kujiu,kwa sababu ww sio wa mwanzo kutendwa na ww sio wa mwisho kutendwa.
mimi siwezi kunywa sumu kwa ajili ya mapenzi ever mi nishaupitia huo mtihani na kupass tena inawezekana wangu ulikuwa mgumu zaidi so kama unajiua andika wosia fasta usitupotezee muda na kama hujiui futa kauli yako. And utaprove kwamba umekuwa gentleman wa kweli wa kuweza kukabiliana na changamoto za maisha.
Acha kunigombeza maana haisaidii, nimeprospond hadi kesho baada ya mechi ya Arsenal, wosia anauandaa mwanasheria wangu! Shamba la mihogo la Charambe nakuachia wewe, na chonde hakikisha kipindi chote ambacho nitakuwa sipo duniani uchukue nafasi yangu ya ushabiki kwa kuishabikia Arsenal!
.....kaka si ungesubiria kidogo mpaka Ijumaa kuu? Huwezi jua, labda ukijiua utafufuka siku ya pasaka!
kumbe tupo wengi katika haya matatizo,,nimependa sana hii kitu,,naomba niiprint nimpe x gal friend wangu,,,najiuliza kwa nn siku hizi wanaume ndo tunalia kuachwa!!!
ahaaaaa kuna watu wanasema kuchapiwa ni siri ya ndani,,,hii kitu inauma sana kwa kweli yani kama una roho nyepesi unaweza ukaua mtu au kumroga tu
Kupenda kupitiliza ni ugonjwa, ni ujinga, ni upuuzi....!!!!
Ujiue kisa binadamu mwenzako? Mungu alokuleta duniani ndo mwenye dhamana ya uhai wako, kujiua ni dhambi.
Wapo wanawake wengi, wenye haiba nzuri, endelea kuishi na utajionea, huyo Rose utamsahau...
Acha upuuzi, nyanyuka, jipanguse mavumbi alafu uendelee na safari ya maisha, utakutana na mrembo mwingine.... Ila usipende kijinga namna hiyo!!!!!![
My principle: Nimejifunza nijipende mimi kwanza.Sijawahi kumpenda mtu mwingine zaidi yangu.