You left me but remember

You left me but remember

Bado madam, sumu yenyewe kumbe sikusoma maelekezo yake vizuri wakati nanunua, nimegundua imeexpire bwana, kama ujuavyo tena kutumia vitu ambavyo muda wake wa matumizi umepita si jambo zuri kiafya!

Ungekunywa tu ndo ingekuondoa haraka
 
Si unaona navyojiliza mkuu?

mkuu nimeona!

ila nimeshangaa kweli pale uliposema eti upo kwa ajili yake pale atakapojisikia kurudi!

mbaya sana hiyo mkuu, ina maana wewe ni reserve requirement ama?
 
mkuu nimeona!

ila nimeshangaa kweli pale uliposema eti upo kwa ajili yake pale atakapojisikia kurudi!

mbaya sana hiyo mkuu, ina maana wewe ni reserve requirement ama?

Samahani sana kwa herufi kubwa...unaweza niambia jinsia yako? niambie nikuambie kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom