shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
Bado madam, sumu yenyewe kumbe sikusoma maelekezo yake vizuri wakati nanunua, nimegundua imeexpire bwana, kama ujuavyo tena kutumia vitu ambavyo muda wake wa matumizi umepita si jambo zuri kiafya!
Ungekunywa tu ndo ingekuondoa haraka