Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Mwenzangu mwenzio nasherekea kwa kula majani kama Pesambili alivyotutaka kipindi kile kwamba tupende tusipende ikiwezekana hata majani tutakula mradi ndege ya Rais inunuliwe. Leo sili.
Nimefika hapa Subway lakini sikio langu liko Kisutu na baada ya kusikia kuwa hawa mafisadi wameshindwa kutimiza masharti ya dhamana wanatayarishwa kwenda, nikajisikia nimeshiba ghafla. Najisikia kwenda cheza mdundiko pale mahakamani wakati wakienda Keko/Segerea ila taratibu haziniruhusu!!!! Basi sikio langu laendelea kubaki huko Kisutu nitawapa habari zaidi!!