Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Watu

Platinum Member
Joined
May 12, 2008
Posts
3,231
Reaction score
1,472
Kuna tetesi wazee wanaelekea mahakamani, can anyone confirm?
 
Last edited by a moderator:
...habari kubwa hii,lakini kama huna uhakika utakuwa umeharibu saana...hope ni kweli maana nitaanza kuwa na imani na JK!
 
Yes, it is confirmed that the guys are at Kisutu Court.
Lawyers are struggling to bail them out.
So far the counts which they are charged for are yet to be disclosed.
 
Kuna tetesi wazee wanaelekea mahakamani, can anyone confirm!!!!!!

Mimi nimepita maeneo ya mahakama ya Kisutu muda huu kuelekea Unicef sijaona purukushani wala shamra shamra za hao vigogo kupelekwa mahakamani. Labda mahakama kuu au kwingineko!! Mwenye uhakika wa habari atujulishe!!!
 
....naona sasa tumekula kona kali sana na tunapoelekea panatia moyo!
 
JK huyu anayeonekana na wengi kuwa HAWEZI? Siamini maandishi haya!
 
Bado tuna muda ngoja tusubili nini kimetokea au kitatokea ni mapema mno.
 
Kuna tetesi wazee wanaelekea mahakamani, can anyone confirm!!!!!!

Ndugu yangu mleta hoja, bila shaka unaota ndoto ya mchana. Jambo hili halitatokea hata kidogo katika Tanzania yetu ya leo.

Kumpeleka Yona mahakamani na kumwacha Mkapa ni sawa na mwili usiokamilika viungo vyake na JK hana ubavu wa kumpeleka Mkapa Mahakamani.
 
Mimi nimepita maeneo ya mahakama ya Kisutu muda huu kuelekea Unicef sijaona purukushani wala shamra shamra za hao vigogo kupelekwa mahakamani. Labda mahakama kuu au kwingineko!! Mwenye uhakika wa habari atujulishe!!!

Mama Mdogo mbona unanipa presha mwenzio???
 
Hii habari niliandika wiki iliyopita wakati walipotakiwa kupelekwa mahakamani lakini ikaahirishwa sababu ya Send off ya mtoto wa Mramba.... yote yatatimia.
 
Mapema yote hii asubuhi wameshasomewa mashtaka na wakili anahangaikia bail! kweli hii ni mbini ya kuhakikisha ikifika jioni wapo nje...haendi mtu lupango!
 
Hii habari niliandika wiki iliyopita wakati walipotakiwa kupelekwa mahakamani lakini ikaahirishwa sababu ya Send off ya mtoto wa Mramba.... yote yatatimia.
nathibitisha sendoff ilikuwepo, niliudhuria mwenyewe. kwahiyo huenda hii habari ikawa na ukweli.
asanteni
 
Ndugu yangu mleta hoja, bila shaka unaota ndoto ya mchana. Jambo hili halitatokea hata kidogo katika Tanzania yetu ya leo.

Kumpeleka Yona mahakamani na kumwacha Mkapa ni sawa na mwili usiokamilika viungo vyake na JK hana ubavu wa kumpeleka Mkapa Mahakamani.

Mkuu Kidatu, nadhani Kinga ya Kikatiba BWM na Yona hazilingani hata kama walikapua pamoja,kwa hiyo ni rahisi sana Yona kuchukuliwa pekee yake.
 
Wapo Kisutu, bado hawajasomewa mashitaka. Ni kuhusiana na sakata la Alex Stewart
 
Ndugu yangu mleta hoja, bila shaka unaota ndoto ya mchana. Jambo hili halitatokea hata kidogo katika Tanzania yetu ya leo.

Kumpeleka Yona mahakamani na kumwacha Mkapa ni sawa na mwili usiokamilika viungo vyake na JK hana ubavu wa kumpeleka Mkapa Mahakamani.

Na kama ni kweli Yona na Mramba wamepelekwa mahakamani je?
 
Wapo Kisutu, bado hawajasomewa mashitaka. Ni kuhusiana na sakata la Alex Stewart


haya miye naenda kulala, yaani mtu unawapikia watu chakula, unawawekea mezani, na kuwapakulia kwenye masinia na bado wanataka uwawekee kinywani.. Well, mapambano haya yana muda mrefu kweli!!!
 
Nimeconfirm hbari hii kutoka kwa mojawapo wa mahakimu hapo ananiambia ni kweli jamaa wapo hapo ila hataki kusema kama ni kwa kesi au la. Pia hajataka kuniambia ni kesi ipi if it is in that perspective.

Well hata kama ni kweli lakini hatupaswi kuanza kusifia serikali maana inatimiza wajibu wake tukumbuke <100% underperfoRMING, 100% COMPLIANCE, greater than 100% ndiyo PERFORMING HIVYO BASI WENYE KUTAKA KUSIFU MTU AU KIKUNDI CHOHOTE KILE WAJARIBU KUANGALIA HII SCALE.
 
Thread ipi inalo hili sakata Alex Stewart? Naomba msaada nilisome kidogo.
 
Back
Top Bottom