Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 516
Quote:
Originally Posted by lukule
Wadau sasa ni wakati wa watu wote kuungana na rais sio kudoubt step anazochukua.. ameonyesha yuko serious .. watu kwenda mahakamani sio jambo la mchezo. naomba tumuunge mkono mheshimiwa rais Kikwete..
Hawa nyambala ni mamluki si unaona tangu Aug, 2008 wan post 2 tu wanaingia hapa kuchunguza chunguza na kupiga chabo sasa wamepata chafya wameshindwa kujizuia. Mod wafanyie follow up na mtu akikaa sana bila kuchangia tuweke mkakati utakao deal nao.
Originally Posted by lukule
Wadau sasa ni wakati wa watu wote kuungana na rais sio kudoubt step anazochukua.. ameonyesha yuko serious .. watu kwenda mahakamani sio jambo la mchezo. naomba tumuunge mkono mheshimiwa rais Kikwete..
Mmetumwa nini?????????????
Hawa nyambala ni mamluki si unaona tangu Aug, 2008 wan post 2 tu wanaingia hapa kuchunguza chunguza na kupiga chabo sasa wamepata chafya wameshindwa kujizuia. Mod wafanyie follow up na mtu akikaa sana bila kuchangia tuweke mkakati utakao deal nao.