Who cares kama Chadema wanaibiana hela zao, who cares kama CCM wanaibiana hela zao. Issue ni kuwa hela za taifa zisiibwe na chama chochote. Hela za wananchi zisitumiwe kwa manufaa nya watu binafsi na kwa manufaa ya chama fulani. Kama CCM wangekuwa na nia ya kupambana na ufisadi wangeifanya kazi hiyo kwa urahisi sana toka zamani. Walikuwa wapi? Credit wanatakiwa kupewa wananchi na international community waliotoa presha ya kuwashughulikia mafisadi
hicho ndicho kilichobaki. Maana hawana aibu watu hawa.kumzomea mwizi na fisadi mbele ya wanae ndio nguvu ya mwisho ya umma,maana vyombo vya dola vinasuasua kuchukua hatua sahihi kwa watu wanaotuhumiwa kutufikisha hapa tulipo.yaani walivyozomewa wakati wanaondolewa kisutu.... We acha tu
Ningekuwa hapo kisutu ningekodi tax ili niwasindikize huko keko/segerea mpaka nione wakiingia ndani halafu ningerudi kwa mguu mpaka home Mbagala.
Jitu kama Mramba/Yona kuingia lupango si mchezo.
Mwanzo wa safari ni hatua jamani wanaJamvi wenzangu!!! Swali ni tunaweza piga hatua ngapi bila kujikwaa?? Na kama tukijikwaa, je kuna any substitute measure in place??
Hii kitu ni ngumu na kadri siku zinavyoenda inazidi kutuchanganya ila kikubwa na kuvuta subira manake so far mwendo mdundo!!!
ThisDay
DPP okays move to
prosecute Mramba
File back in PCCBs hands
Published: May 11, 2008
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE office of the Director of Public Prosecutions (DPP) has given corruption investigators a formal go-ahead to file criminal charges against former finance minister Basil Mramba, it has been revealed.
Well-placed sources say the official consent to prosecute the veteran Rombo MP was issued to the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) some two months ago.
When contacted by THISDAY for comment earlier this week, the Director of Public Prosecutions, Eliezer Feleshi, confirmed that his office had already processed the application for permission to formally charge and prosecute Mramba, and forwarded the file to PCCB for action.
"I have already returned the file to PCCB they are the competent authority to comment on this matter right now," said the DPP when asked to explain if he had given consent for prosecution.
He declined further comment on the subject.
However, government sources confirmed that the DPPs office had indeed given the formal consent paving the way for PCCB to prosecute the former minister on the basis of the evidence gathered in the course of its investigations.
Under the Prevention and Combating of Corruption Act of 2007, the PCCB can proceed with prosecution of suspects upon getting a written consent from the DPP's office.
The law requires the DPP to process an application for consent to prosecute from the PCCB within a maximum of 30 days.
The legislation also empowers the PCCB subject to the directions of the Director of Public Prosecutions [to] prosecute offences under this Act and other offences involving corruption.
Efforts to get a comment from PCCB director general Dr Edward Hoseah on the anti-corruption watchdog bodys next move proved futile yesterday.
Sources say the Mramba investigation has centred on his five-year tenure as finance minister in the third phase government of ex-president Benjamin Mkapa.
The 68-year-old senior politician held the key portfolio through the second and final term of the Mkapa administration, now hounded by allegations of controversial government contracts and dubious official payments worth hundreds billions of shillings, from the Treasury and the Bank of Tanzania.
It is understood that the investigations have already reached an advanced stage, with the PCCB now expected to make its next move.
Before being appointed finance minister, Mramba served as minister for industries and trade under Mkapa from 1995 to 2000.
From 2006, he served as minister for infrastructure development in the fourth phase government of President Jakaya Kikwete, later being reappointed minister in charge of industry, trade and marketing, before eventually being dropped after the dissolution and re-composition of the cabinet last February.
Some allegations that dogged the third phase government when Mramba was finance minister included the dubious contract with Alex Stewart (Assayers) Government Business Corporation; the external payment arrears (EPA) account scandal; and the 70bn/- military radar deal.
The Treasury was also at the heart of various other dubious deals including the BoT Twin Towers project, the purchase of the presidential jet, and controversial guarantees given by the central bank in favour of certain private companies.
Mramba in person has also been linked to the controversial 15-year extension of the Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) contract, known to have been personally ordered by Mkapa in late 2005.
ends
Jamani JK ni kiboko, lile tabasamu lake lina maana nyingine kabisa, kitendo cha hawa jamaa kukalia madawati ya hapo Kisutu si kitu cha kidogo. Mramba na Yona wanakiburi cha kufa mtu tuone mwisho wake, lakini kwa hili kwa kweli JK umenikosha moyo. Nadhani Manji na Rostam wapo njiani hiwezekani Mramba na Yona watie timu hao Magabacholi wasifike Kisutu. Heko msanii wetu JK
Taarifa nilizozipata zinasema, Mramba na Yona wameshindwa masharti ya dhamana na wamepelekwa mahabusu mpaka hapo kesi yao itakapotajwa tena.
Ukitembelea Blog ya Michuzi unaweza ukapata na picha za Wazee, kweli wametinga mahakamani Kisutu.