Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Hizi tetesi ninazozisikia kuwa kina Mramba na Yona wameshitakiwa ili kusahaulisha watu mambo ya EPA mmezisikia? Hiyo mbinu hata Clinton rais wa zamani wa Marekani aliitumia kutulizia 'vumbi' la Monica Lewinsky, kama mtakumbuka aliamuru majeshi yake yakalipua maeneo fulani Sudan (kiwanda cha dawa za binadamu) na Afghanistan ambako aliita 'terrorist-related facilities'!
 
jaji alitoa maamuzi saa saba mchana, baada ya hapo ghafla simu yake ikapotea hewani!!! Unasemaje kuhusiana na hilo.

Ameweka rekodi ya ku detain watu illegally, kwa hilo atakumbukwa sana.

Ulikuwa Mahakamani wewe? Ama ulisikia kama sisi. Huwa unampigia simu Mwakenja kila siku? Akiwa anasikiliza kesi anaacha simu on ama anatakiwa kuzima?
Still no one can prove here.
 
Dhamana ni swala la mahakama siyo la magereza. Hakuna sheria iliyokiukwa kwani dhamana ni haki ya kikatiba ya kila mtanzani (article 13(6) (b) of the Constitution of the URT.Sheria ipo soma Criminal Procedure Act 1985, R.E 2002 section 148

Ni kweli kuna haki nyingi za kikatiba zipo lakini wananchi wa kawaida huwa wananyimwa. Nakubaliana na wewe kuwa waheshimiwa wamefanyiwa utaratibu wa kisheria na "uliofuata" katiba. I am sure kuna wengi tu wako keko, segerea na Ukonga lakini hawapati hiyo haki ya dhamana pamoja na kuwa wanastahili kikatiba. Tuna mfano mzuri tu wa kesi ya Ditto, mbona yeye mambo yake yalienda chap chap wakti kulikuwa na wengine wengi mle ndani walistahili the same na waliachwa
 
Nadhani kabla hujapewa nchi kuongoza au kumiliki silaha akili zitakuwa zimepimwa kama uko sawa sawa ....
Kama BM alipimwa mbona aliyoyafanya mengine yanatia mashaka ya hivyo vipimo?
 
Kama haikutolewa release order .........toka mahakamani..ilikuwaje wakaitwa na kuwekwa kwenye list ya mahakamani siku ile???au wenyewe wana sauti na kusikilizwa kuwa remove order ile ile ya jana hata leo inafanya kazi??????au wanafanya kazi kwa kuwaogopa baadhi ya watu???
 
Hizi tetesi ninazozisikia kuwa kina Mramba na Yona wameshitakiwa ili kusahaulisha watu mambo ya EPA mmezisikia? Hiyo mbinu hata Clinton rais wa zamani wa Marekani aliitumia kutulizia 'vumbi' la Monica Lewinsky, kama mtakumbuka aliamuru majeshi yake yakalipua maeneo fulani Sudan (kiwanda cha dawa za binadamu) na Afghanistan ambako aliita 'terrorist-related facilities'!

Nahisi kama hoja yako imejengwa zaidi na muono wako kuliko facts.Nani anaweza kukubali kufanywa mbuzi wa kafara? issue ya EPA na issue hizi zitaendelea concurrently wala hakuna ya kuizima nyingine. Subiri zingine zinazofuata mkuu. Kaa mkao wa kula wazee wanazipika nyingine huko.
 
Yona na Mramba hawana kesi ya kujibu maana katika katiba yetu ya Tanzania kahuna sheria au kifungu chochote binding kinachomtaka Waziri au Niabu Waziri kufuata ushauri fulani katika kutoa maamuzi , ndio maana kuna collective cabinet responsibilities hivyo kama hawa walikosea, ni Cabinet nzima na Rais wao-Mkapa walikosea na kuitia serikali hasara hizo, pia hawawezi kufanywa scape goats maana sheria ina-operate uniformly btn citizens hivyo hata wengineo walioboronga inabidi waletwe mbele ya Pilato mkuu as soon as practically is possible. Labda akina yona na Mramba wa-argue hili ili watanzania wainuliwe macho..

.........................Ni haya tu wakuu na najua kwamba uchangiaji wangu waweza kuwa na mapungufu fulani, uboleshini na nitaupokea ushauri wenu.

SMP- LLM London


Dah Mkuu kwanza Karibu sana JF, na pili hongera kwa mchango wako swaafi kabisa.........

Ni kweli usemayo.......ukiangalia mamlaka ya Waziri na mashtaka yaliyopo........sidhani kama tutafika mbali na hizi kesi, zaidi zaidi wanaweza ku-claim damage.......ambayo mimi na wewe tutaishia kuwalipa (i.e. Kodi)...........

...binafsi nilifikiri mtu kama Waziri akitumia madaraka yake vibaya tunategemea kuona hatua za mawaziri kushinikizwa kujiuzulu au kufukuzwa kazi..........mifano ipo i.e. Prof Mbilinyi, Iddi Simba et al

.....kwa hiyo kifupi utagundua kuwa kuwapeleka Yona na Mramba Kortini ni pure POLITICS.......ili ku-gain trust ya wananchi tulio mambumbumbu.........trust me.....wee fika Dar au sehemu nyingine yeyote sasa Tanzania uone Chati ya Muungwana ilivyopanda......simply kwa matukio haya..........

Im sorry to say.......but this time again........them guyz have taken us for a ride........damn!!
 
what a easy ride to second term victory...utamu wa mkakasi ndani kipande cha mti...changa la macho hilo... kila mtu anaimba JK kiboko ya mafisadi mshasahahu kwamba system yote imeoza.
 
Dah Mkuu kwanza Karibu sana JF, na pili hongera kwa mchango wako swaafi kabisa.........

Ni kweli usemayo.......ukiangalia mamlaka ya Waziri na mashtaka yaliyopo........sidhani kama tutafika mbali na hizi kesi, zaidi zaidi wanaweza ku-claim damage.......ambayo mimi na wewe tutaishia kuwalipa (i.e. Kodi)...........

...binafsi nilifikiri mtu kama Waziri akitumia madaraka yake vibaya tunategemea kuona hatua za mawaziri kushinikizwa kujiuzulu au kufukuzwa kazi..........mifano ipo i.e. Prof Mbilinyi, Iddi Simba et al

.....kwa hiyo kifupi utagundua kuwa kuwapeleka Yona na Mramba Kortini ni pure POLITICS.......ili ku-gain trust ya wananchi tulio mambumbumbu.........trust me.....wee fika Dar au sehemu nyingine yeyote sasa Tanzania uone Chati ya Muungwana ilivyopanda......simply kwa matukio haya..........

Im sorry to say.......but this time again........them guyz have taken us for a ride........damn!!

Mkuu nakuunga mkono kabisa kwa maelezo yako mazuri

Kuna kitu wanakiita "Collective Responsibility " katika Baraza la Mawaziri na kuna kitu wanakiita "Individual Responsibility" kwenye hilo hilo Baraza la Mawaziri

Ile ya kwanza ni kwamba wote mnakuwa responsible kwa maamuzi yatakayochukuliwa na Baraza hilo la Mawaziri na hapo huruhusiwi hata kama maamuzi hayo yanakuwa na mapungufu kutoka nje na kusema kuwa hapana sikubaliani na kile kilichosemwa. Hii inakuwa kama issue ya Mrema kipindi kile cha issue ya mashamba ya mkonge. yaani wote mnakuwa responsible hata kama hayo maamuzi ni ya kijinga mmekubaliana kuchukua uamuzi huo

Kwenye hii issue ya akina Mramba na Yona kuna collective responsibility kwani maamuzi ya kuichagua kampuni hiyo ya Alex Stewart yalikuwa ya Baraza zima la Mawaziri kuanzia Waziri Mkuu na Rais alijulishwa maamuzi haya. Hapa hakuna Individual Responsibility. Si maamuzi ya Yona kama Yona au Mramba kama Mramba ni maamuzi ya Baraza zima la Mawaziri. Kwa nini hawa wawe ndo responsible wakati maamuzi yalichukuliwa na Baraza zima. Labda waje na utetezi kuwa Mramba na Yona walichukua maamuzi bila kushirikisha Baraza zima la Mawaziri.

Tunapomchukua Yona na Mramba na kusema kuwa hawa wanahusika na maamuzi ya kuiteua Kampuni fulani kufanya kazi hii na hii tuna maana kuwa maamuzi haya yalikuwa yao binafsi hayakushirikisha Baraza la Mawaziri. Na kama ndio kwa muda wote wakati kazi hiyo inafanyika Baraza au Bunge halikuona maamuzi hayo na kujiuliza kulikoni hadi miaka kadhaa baadae ndo yanakuja kujulikana. Na je aliyekuwa anaidhinisha malipo huko hazina akiwemo Waziri wa Fedha hakuwa anajiuliza haya malipo yanakwenda wapi. kama hakukuwa na Collective Responsibility?

Ndo maana tunarudi pale pale hapa kuna namna tunafichwa kuna jambo limefichwa ili kuwasahaulisha wananchi issue sensitive waendelee kuwawazia Mramba na Yona. Au kuna mtaji wa kampeni unatafutwa maana hali ilikuwa mbaya.
 
Dhamana ni swala la mahakama siyo la magereza. Hakuna sheria iliyokiukwa kwani dhamana ni haki ya kikatiba ya kila mtanzani (article 13(6) (b) of the Constitution of the URT.Sheria ipo soma Criminal Procedure Act 1985, R.E 2002 section 148

Kwa ujumla nakubaliana na wewe kuhusu haki ya kikatiba kupata dhamana. Lakini kuna kitu kinaitwa taratibu za kufuatwa. Organic law imetoa haki ya kikatiba lakini kuna suala la kanuni za mtu kufuata hili apewe dhamana, hapa ndo ugomvi ulipo!

Sasa kama umemwelewa vizuri mtoa mada yeye anauliza ni tatatibu gani zilikiukwa? make hawa watuhumiwa wa ufisadi wa madaraka hawakuwa wamepangiwa kwenda mahakamani siku hiyo lakini waliweza kutoka na kufika mahakamani. Waliposhindwa kisutu wakaenda Mahakama kuu. Suala lote alijatulia mbele ya macho ya jamii. Naona kama kuna karemote control kanasimamia hili suala. Ndio maana ninamashaka na bwana mdogo Masha na "ziara yake ya ajabu ajabu keko". Ukiunganisha dots tunarudi kulee kwenye maneno ya waenga kwamba "Utamu wa mkakasi ndani kipande cha mti" kaeni kupigwa changa la macho mwisho wa hii senema
 
Mramba Yona waachiwa



*Mramba aruka kwenye karandiga
*Ndugu jamaa wabubujikwa machozi,

Grace Michael na Rachel Balama, Kisutu

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu jijini Dar es Salaam imewapa dhamana mawaziri wawili waandamizi katika Serikali ya Awamu ya tatu baada ya kutimiza masharti ya dhamana.

Mawaziri hao Basil Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na mwenzake Daniel Yona wa Nishati na Madini, waliachiwa huru saa 5:25 asubuhi hatua iliyowafanya ndugu na jamaa zao waliofurika mahakamani hapo kububujikwa machozi.

Awali mawaziri hao wanatuhumiwa kuipa kampuni ya M/S Alex Stewart mkataba wa kudhibiti madini kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hasara ya sh. bilioni 11.7, walikata rufaa Mahakama kuu kuomba kulegezwa masharti ya dhamana.

Mapema leo asubuhi katika hali isiyo ya kawaida Mramba aliruka kutoka kwenye ngazi ya juu za mlango wa karandinga la Magereza alipofikishwa Kisutu hali iliyowaacha hoi waandishi waliokuwa mahakamani hapo.

Waandishi wetu waliokuwa mahakamani hapo walieleza kuwa Mramba na Yona walifikishwa mahakamani hapo saa 1:45 asubuhi na kukuta jopo la waandishi na wapigapicha likisubiri kwa hamu kujua hatma ya dhamana yao baada ya 'kupiga kwata' kufuatilia tangu Ijumaa iliyopita bila mafanikio.

Katika mazingira hayo, Mramba aliamua kuruka kutoka kwenye ngazi kwa lengo la kukwepa wapigapicha.

Mramba ambaye tofauti na siku zilizopita ambapo amekuwa akifika mahakamani akiwa amevalia 'Kaunda suti' leo alivaa shati la drafti huku akiwa ameshikilia nyaraka mkononi kama kawaida yake.

Baada ya kuingia mahakamani alianza kupitia nyaraka hizo huku mwenzake Yona aliyevalia shati la maua akiwa ametulia kimya. Wakati wakimsubiri hakimu, Mramba alizungumza na ndugu zake kwa ishara na kutoa tabasamu la kulazimisha.

Kesi hiyo ambayo ilikuja kwa ajili ya uhakiki wa nyaraka ilikuwa na hati nne kwa ajili ya Mramba. Hati mali zilizoletwa mahakamani ni namba 42578 ya Khatib Senkoro iliyopo Mikocheni yenye thamani ya sh. milioni 395.

Hati ya pili ni namba 44755 kutoka kwa Haruni Mohamed ipo Chang'ombe Kiwanja namba 138 chenye thamani ya sh. bilioni 1.2 na ya tatu ni Kampuni ya Kilimanjaro Mine Limited yenye thamani ya sh. milioni 976. Hati ya nne ni nyumba ya Mramba iliyopo Kawe ina thamani ya sh. milioni 547 . Jumla ya thamani ya mali zote ni sh. bilioni 3.4

Yona aliwasilisha hati namba 97467 ya mali ya sh. milioni 443, hati namba 59935 ya thamani ya sh. bilioni 2.2 na hati ya nyumba namba 57230 iliyopo Makongo juu yenye thamani ya sh. milioni 420.3 . Yona aliwasilisha hati za mali yenye thamani ya jumla sh.bilioni 3.63.

Baada ya kukamilisha taratibu hizo, Mahakama hiyo imeridhia na kuwachia huru kwa dhamana. Upelelezi wa kesi hiyo unaendelea na itatajwa tena Januari 2 mwakani.

Walipotoka mahakamani wananchi waliofurika walizomea kwa kuita wezi hao...!hadi magari yao yalipotoka eneo la mahakama.
 
Mramba Yona waachiwa



*Mramba aruka kwenye karandiga
*Ndugu jamaa wabubujikwa machozi,

Grace Michael na Rachel Balama, Kisutu

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu jijini Dar es Salaam imewapa dhamana mawaziri wawili waandamizi katika Serikali ya Awamu ya tatu baada ya kutimiza masharti ya dhamana.

Mawaziri hao Basil Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na mwenzake Daniel Yona wa Nishati na Madini, waliachiwa huru saa 5:25 asubuhi hatua iliyowafanya ndugu na jamaa zao waliofurika mahakamani hapo kububujikwa machozi.

Awali mawaziri hao wanatuhumiwa kuipa kampuni ya M/S Alex Stewart mkataba wa kudhibiti madini kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hasara ya sh. bilioni 11.7, walikata rufaa Mahakama kuu kuomba kulegezwa masharti ya dhamana.

Mapema leo asubuhi katika hali isiyo ya kawaida Mramba aliruka kutoka kwenye ngazi ya juu za mlango wa karandinga la Magereza alipofikishwa Kisutu hali iliyowaacha hoi waandishi waliokuwa mahakamani hapo.

Waandishi wetu waliokuwa mahakamani hapo walieleza kuwa Mramba na Yona walifikishwa mahakamani hapo saa 1:45 asubuhi na kukuta jopo la waandishi na wapigapicha likisubiri kwa hamu kujua hatma ya dhamana yao baada ya 'kupiga kwata' kufuatilia tangu Ijumaa iliyopita bila mafanikio.

Katika mazingira hayo, Mramba aliamua kuruka kutoka kwenye ngazi kwa lengo la kukwepa wapigapicha.

Mramba ambaye tofauti na siku zilizopita ambapo amekuwa akifika mahakamani akiwa amevalia 'Kaunda suti' leo alivaa shati la drafti huku akiwa ameshikilia nyaraka mkononi kama kawaida yake.

Baada ya kuingia mahakamani alianza kupitia nyaraka hizo huku mwenzake Yona aliyevalia shati la maua akiwa ametulia kimya. Wakati wakimsubiri hakimu, Mramba alizungumza na ndugu zake kwa ishara na kutoa tabasamu la kulazimisha.

Kesi hiyo ambayo ilikuja kwa ajili ya uhakiki wa nyaraka ilikuwa na hati nne kwa ajili ya Mramba. Hati mali zilizoletwa mahakamani ni namba 42578 ya Khatib Senkoro iliyopo Mikocheni yenye thamani ya sh. milioni 395.

Hati ya pili ni namba 44755 kutoka kwa Haruni Mohamed ipo Chang'ombe Kiwanja namba 138 chenye thamani ya sh. bilioni 1.2 na ya tatu ni Kampuni ya Kilimanjaro Mine Limited yenye thamani ya sh. milioni 976. Hati ya nne ni nyumba ya Mramba iliyopo Kawe ina thamani ya sh. milioni 547 . Jumla ya thamani ya mali zote ni sh. bilioni 3.4

Yona aliwasilisha hati namba 97467 ya mali ya sh. milioni 443, hati namba 59935 ya thamani ya sh. bilioni 2.2 na hati ya nyumba namba 57230 iliyopo Makongo juu yenye thamani ya sh. milioni 420.3 . Yona aliwasilisha hati za mali yenye thamani ya jumla sh.bilioni 3.63.

Baada ya kukamilisha taratibu hizo, Mahakama hiyo imeridhia na kuwachia huru kwa dhamana. Upelelezi wa kesi hiyo unaendelea na itatajwa tena Januari 2 mwakani.

Walipotoka mahakamani wananchi waliofurika walizomea kwa kuita wezi hao...!hadi magari yao yalipotoka eneo la mahakama.

Wananchi wamefikishwa hapo walipo na watu kama Mramba na Yona na ndiyo maana wanatoa hisia zao kwa kuzomea.

Situation iliyopo sasa hivi ni umma kutaka wale wote walioiba mali ya nchi kwa kutumia vyeo vyao washugulikiwe kwa mujibu wa sheria.

Hali duni waliyo nayo haikukuja hivi hivi tu!
 
Hizi tetesi ninazozisikia kuwa kina Mramba na Yona wameshitakiwa ili kusahaulisha watu mambo ya EPA mmezisikia? Hiyo mbinu hata Clinton rais wa zamani wa Marekani aliitumia kutulizia 'vumbi' la Monica Lewinsky, kama mtakumbuka aliamuru majeshi yake yakalipua maeneo fulani Sudan (kiwanda cha dawa za binadamu) na Afghanistan ambako aliita 'terrorist-related facilities'!

Mtu B

ndio maana wakaitwa serikali, na wana tawala they have a strategy and plan welll set to put them through 2010.
 
Yona na Mramba hawana kesi ya kujibu maana katika katiba yetu ya Tanzania kahuna sheria au kifungu chochote binding kinachomtaka Waziri au Niabu Waziri kufuata ushauri fulani katika kutoa maamuzi , ndio maana kuna collective cabinet responsibilities hivyo kama hawa walikosea, ni Cabinet nzima na Rais wao-Mkapa walikosea na kuitia serikali hasara hizo, pia hawawezi kufanywa scape goats maana sheria ina-operate uniformly btn citizens hivyo hata wengineo walioboronga inabidi waletwe mbele ya Pilato mkuu as soon as practically is possible. Labda akina yona na Mramba wa-argue hili ili watanzania wainuliwe macho..

Case hii ni Nzuri kama DPP akiishinda maana ina na ita-set precedent kwa wengineo kufanyiwa kweli, sio Magufuri, Megji (sorry spelling), kalamagi na hata Mkapa Mwenyewe.


Kinachotakiwa ni DPP na wanasheria wake wawapeleke wote waliokuwa kwenye cabinet ya mkapa na waishitaki cabinet nzima ya mkapa-Kikwete akiwemo pia kwamba- wali-abuse powers as collective responsibility na pia kwamba wananchi wa Tz hawakuwatuma kwenda kufanya criminal activities bali ku-excute sheria zilizomo ndani ya katiba yetu.
Evidence zipo za akina Mwakyembe na Dr Slaa, kwa nini kusua sua, witness wapo na affidavits nyingine zipo sasa kwanini kuogopa ogopa kama kuku anayechinjwa?

Kama DPP anasua sua hata yeye mwenyewe ana harufu ya ka-ufisadi maana walikuwepo wakati haya yanatokea in some capacities, na tunachohitaji ni kuwa na independent judiciary iliyo kama federal Court ya USA kwamba Rais aweze kuwachagua majaji lakini asiwe na uwezo wa kuwafuta baada ya bunge kuwathibitisha, wao wawe independent na excutives pia legislature.. hii itasaidia kuwafikisha mahakamani wale wote wanaofanya uharifu.
1. Dpp alisema kwamba ma-fisadi wote wakipelekwa mahakamani , nchi itayumba, basi afanye amnest kwa masharti ya kwamba mali zao zote zitaifishwe na ziletwe kwenye ujenzi wa taifa pia mafisadi hao badala ya kuachwa kwenda huru, waisadie serikali katika kutumia akili zao kuziba mianya ya ufisadi maana wao wanazifaham loopholes za grand corrption haswa.


SMP- LLM London

SPM, asante sana kwa mchango wako uliojumuisha mambo mengi sana. Shukran. Naomba nieleweshe zaidi kuhusiana na hili la DPP na mashataka.

Kutokana maelezo yako. Hivi hili shutuma wanazoshutumiwa kina Mramba na mwenzie ni la kikatiba?

Kama sio la kikatiba basi kuna uwezekano wa DPP kubadilisha aina ya mashtaka kwa watuhumiwa hao kama sheria kweli inaamua kuchukua mkondo wake (sio changa la macho)?
 
SPM, asante sana kwa mchango wako uliojumuisha mambo mengi sana. Shukran. Sasa hebu twendwe moja baada ya jingine. Nieleweshe zaidi kuhusiana na hili la DPP na mashataka.

Kutokana maelezo yako. Hivi hili shutuma wanazoshutumiwa kina Mramba na mwenzie ni la kikatiba?

Kama sio la kikatiba basi kuna uwezekano wa DPP kubadilisha aina ya mashtaka kwa watuhumiwa hao kama sheria kweli inaamua kuchukua mkondo wake (sio changa la macho)?

Oh there you go again with your shrill......can you just do us all a big favor?
 
Pamoja na ctive responsibility, Mramba alijua Alex St..... ni kampuni ya mwanae probably other carbinet members hawakuwa wanalifahamu hiii nadhani itakuwa individual responsibility. Lakini ukumbuke, kosa analishitakiwa nalo ni pamoja na kutokufuata taratibu (tendering process) hivyo Alex st, ilikuwa handpicked hili nalo sio individual responsibility??????

Suala la kusamehe kodi lipo chini ya mamlaka ya waziri na sio lazima carbinet approval (refer kufungiwa kwa mwanahali kama mfano mwingine), ila kabla ya kusamehe kodi anapaswa kupata opinion ya watu wa TRA na alipewa na kukaidi ushauri wao, je hili nalo sio individual responsibility??????

Ni mtazamo wangu tu
 
Waungwana(waandishi) tunawaomba sasa mwende kule walikosajili mali ili tujue kama walizitaja kwenye orodha ya mali wanazomiliki zama zile za ukweli na uwazi!(hasa hasa huyo Yoo ona)
 
Mramba Yona waachiwa



*Mramba aruka kwenye karandiga
*Ndugu jamaa wabubujikwa machozi,

Grace Michael na Rachel Balama, Kisutu

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu jijini Dar es Salaam imewapa dhamana mawaziri wawili waandamizi katika Serikali ya Awamu ya tatu baada ya kutimiza masharti ya dhamana.

Mawaziri hao Basil Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na mwenzake Daniel Yona wa Nishati na Madini, waliachiwa huru saa 5:25 asubuhi hatua iliyowafanya ndugu na jamaa zao waliofurika mahakamani hapo kububujikwa machozi.

Awali mawaziri hao wanatuhumiwa kuipa kampuni ya M/S Alex Stewart mkataba wa kudhibiti madini kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hasara ya sh. bilioni 11.7, walikata rufaa Mahakama kuu kuomba kulegezwa masharti ya dhamana.

Mapema leo asubuhi katika hali isiyo ya kawaida Mramba aliruka kutoka kwenye ngazi ya juu za mlango wa karandinga la Magereza alipofikishwa Kisutu hali iliyowaacha hoi waandishi waliokuwa mahakamani hapo.

Waandishi wetu waliokuwa mahakamani hapo walieleza kuwa Mramba na Yona walifikishwa mahakamani hapo saa 1:45 asubuhi na kukuta jopo la waandishi na wapigapicha likisubiri kwa hamu kujua hatma ya dhamana yao baada ya 'kupiga kwata' kufuatilia tangu Ijumaa iliyopita bila mafanikio.

Katika mazingira hayo, Mramba aliamua kuruka kutoka kwenye ngazi kwa lengo la kukwepa wapigapicha.

Mramba ambaye tofauti na siku zilizopita ambapo amekuwa akifika mahakamani akiwa amevalia 'Kaunda suti' leo alivaa shati la drafti huku akiwa ameshikilia nyaraka mkononi kama kawaida yake.

Baada ya kuingia mahakamani alianza kupitia nyaraka hizo huku mwenzake Yona aliyevalia shati la maua akiwa ametulia kimya. Wakati wakimsubiri hakimu, Mramba alizungumza na ndugu zake kwa ishara na kutoa tabasamu la kulazimisha.

Kesi hiyo ambayo ilikuja kwa ajili ya uhakiki wa nyaraka ilikuwa na hati nne kwa ajili ya Mramba. Hati mali zilizoletwa mahakamani ni namba 42578 ya Khatib Senkoro iliyopo Mikocheni yenye thamani ya sh. milioni 395.

Hati ya pili ni namba 44755 kutoka kwa Haruni Mohamed ipo Chang'ombe Kiwanja namba 138 chenye thamani ya sh. bilioni 1.2 na ya tatu ni Kampuni ya Kilimanjaro Mine Limited yenye thamani ya sh. milioni 976. Hati ya nne ni nyumba ya Mramba iliyopo Kawe ina thamani ya sh. milioni 547 . Jumla ya thamani ya mali zote ni sh. bilioni 3.4

Yona aliwasilisha hati namba 97467 ya mali ya sh. milioni 443, hati namba 59935 ya thamani ya sh. bilioni 2.2 na hati ya nyumba namba 57230 iliyopo Makongo juu yenye thamani ya sh. milioni 420.3 . Yona aliwasilisha hati za mali yenye thamani ya jumla sh.bilioni 3.63.

Baada ya kukamilisha taratibu hizo, Mahakama hiyo imeridhia na kuwachia huru kwa dhamana. Upelelezi wa kesi hiyo unaendelea na itatajwa tena Januari 2 mwakani.

Walipotoka mahakamani wananchi waliofurika walizomea kwa kuita wezi hao...!hadi magari yao yalipotoka eneo la mahakama.

Haya Vijisenti vya wenzetu, sasa wakiruka dhamana yupo mtu wa kununua hizo dhamana? Hazina vizingiti vingine vya kisheria? Kama ni nyumba ya ukoo, au baba alipoitoa kama dhamana alikuwa hayuko katika hali nzuri, rejea kesi ya nyumba ya cheyo, ilivyo pigwa mnada, watoto/familia ikaja juu, though at that time familia walishindwa na ikauzwa. najua kuna watu wanamaswali katika hili lakini kila moja anatafakuri jinsi gani ya kuliingia bila kuchafua hali ya hewa.
 
Pamoja na ctive responsibility, Mramba alijua Alex St..... ni kampuni ya mwanae probably other carbinet members hawakuwa wanalifahamu hiii nadhani itakuwa individual responsibility. Lakini ukumbuke, kosa analishitakiwa nalo ni pamoja na kutokufuata taratibu (tendering process) hivyo Alex st, ilikuwa handpicked hili nalo sio individual responsibility??????

Hivi, I keep going back and forth with this one, mtoto gani wa Mramba anayezungumzwa kuwa ndiye sole owner wa kampuni hii?

What I know is kuna mtu anayeitwa Mramba chini ya mwamvuli wa Alex Stewart, lakini si mtoto wa Mramba, Pesambili (?) au (?)

Someone please clarify/educate me on this.
 
Back
Top Bottom