Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

- Bongo bwana tumedanganyana weee kuwa tuko sawa wananchi wote ni ndugu moja, pesa sio msingi wa maendeleo, blah! blah! blah! aahhhhmimi siwezi kulala usingizi mpaka Afrika nzima iwe huru, afadhali kuwa masikini kuliko kuwa tajiri na the rest of the story, blah! blah! blah! sasa hawa ma-billionaire wametokea wapi?

- Kumbe zilikuwa kamba tu, mimi ninavyojua washitakiwa kama hawa mali zao zote zilitakiwa kuwa frozen mpaka kesi itakapokwisha na mkono wa sheria kuridhika kuwa hawana hatia ndio wangeruhusiwa kushika tena mali zao, lakini bongo hizo hizo mali walizoiba ndio dhamana ya kuwatoa rumande,

- Only in Tanzania!
 
Kwenye hili swala la dhamana I think I beg to differ, ukiangalia Real estate appreciation levels katika haya maeneo yalio tajwa kuna uwezekano mkubwa sana kwamba uwezo wa kuwa na hati za nyumba zenye thamani hii hupo, remember hii haimanishi kwamba walilipa Billioni tatu kwa hizi property, kuna watu wengi sana walipata viwanja kule mitaa ya Sinza kwa chini ya millioni 5 henzi za 90s, wakajenga nyumba za thamani ya millioni 30; nenda leo ujaribu kuhamisha mtu usikie Bei utayotajiwa!!!!
 
bilion tatu?...gaddamn t,ana biashara gani huyu au alikuwa mfanyakazi wa umma tuu,hawa ni wezi tuu ila najua watashinda kesi lakini itakuwa ni fundisho kwa future wezi!

Ingekuwa ni U.S. hii issue IRS wangekuwa tayari kwenye deep uchunguzi, the opposite is to our TRA ambayo watu wengi wanapigiwa cross kupata kazi huko. Ukweli ni kwamba inakatisha tamaa. Waziri ana mali ya zaidi ya $2.8 mil. kwenye nchi masikini na fukara kama Tanzania? What has he done? Nyerere angeuliza "Amezipata wapi?" At least president elect Obama aliandika vitabu aka net $1.9 million wakati akiwa Senator. Clinton, alianza kutengeneza hela baada ya kutoka White House kwenye speeches na kitabu na deals nyingine. Hawa wamefanya kitu gani CREATIVE? Sasa kama huyu ana hizo...Mzee wa Ngarash-Monduli, fmr Prime Minister ana ngapi? Scary!
 
Kwenye hili swala la dhamana I think I beg to differ, ukiangalia Real estate appreciation levels katika haya maeneo yalio tajwa kuna uwezekano mkubwa sana kwamba uwezo wa kuwa na hati za nyumba zenye thamani hii hupo, remember hii haimanishi kwamba walilipa Billioni tatu kwa hizi property, kuna watu wengi sana walipata viwanja kule mitaa ya Sinza kwa chini ya millioni 5 henzi za 90s, wakajenga nyumba za thamani ya millioni 30; nenda leo ujaribu kuhamisha mtu usikie Bei utayotajiwa!!!!

Naomba kutofautiana na wewe. Unataka uniambie real estate appraisal ya eneo la Makongo ni sawa na au karibu na maeneo maarufu kwa wastani kama Rochester, Minnesota mji wenye clinic maarufu ya magonjwa ya moyo ya Rochester? Ama sehemu nyingine affluent? Ungesema a single home worth that much ningekubali lakini sio eneo lote lina value ya juu namna hii.
 
Naomba kutofautiana na wewe. Unataka uniambie real estate appraisal ya eneo la Makongo ni sawa na au karibu na maeneo maarufu kwa wastani kama Rochester, Minnesota mji wenye clinic maarufu ya magonjwa ya moyo ya Rochester? Ama sehemu nyingine affluent? Ungesema a single home worth that much ningekubali lakini sio eneo lote lina value ya juu namna hii.


Bila kujua ni mwaka gani hizi property zilikua acquired, kwa njia gani (mkopo/cash), na maeneo gani, na vile vile zilinunuliwa kwa bei gani, na hata kujenge zilijengwa kwa muda upi; ni vigumu sana ku make judgement kwamba hizo mali ziliibiwa, kwani hali ya nchi imebadilika sana... nakumbuka kuna wakati kumwamisha mtu akaye au anunue nyumba au kiwanja msasani ilikua ni mbinde kweli kweli, watu walikua wanaogopa misitu na simba!!!, sasa enzi hizo, kama mtu alikuwa na foresight kwa nini leo tushangae akiwa na nyumba ya 400m... I repeat once again having property valued at 400m is not as equivilent as having 400m cash today.. of more importance is whether they have declared these assets....
 
Du kazi kweli kweli nahisi kila wakija mahakamani inabidi ulinzi uongezeke maana watazomewa kila wakija mahakamani......ila ni kinyume na sheria ya mahakama maana wanawahukumu mapema wakati kesi ndio kwanza inaanza kusikilizwa....
 
Kumbe watuhumiwa bado wamebaki na mali zao. Kweli tumedanganywa na JK alipohutubia Bunge pale Dodoma Agosti 22 na kusema,

"Msione ma-gentle men wanapita mitaani wamefunga tai,
tayari wengine tumewafilisi,tayari magari,hati za kusafiria
na hata nyumba zao zimekamatwa,matajiri wa EPA wana hali mbaya kweli".


Au kwa vile hawa hawahusiki na EPA JF mnielimishe.

Kumbe ni usanii mtupu!
________________________________
True at first light - Ernest Hemingway
 
- Bongo bwana tumedanganyana weee kuwa tuko sawa wananchi wote ni ndugu moja, pesa sio msingi wa maendeleo, blah! blah! blah! aahhhhmimi siwezi kulala usingizi mpaka Afrika nzima iwe huru, afadhali kuwa masikini kuliko kuwa tajiri na the rest of the story, blah! blah! blah! sasa hawa ma-billionaire wametokea wapi?

- Kumbe zilikuwa kamba tu, mimi ninavyojua washitakiwa kama hawa mali zao zote zilitakiwa kuwa frozen mpaka kesi itakapokwisha na mkono wa sheria kuridhika kuwa hawana hatia ndio wangeruhusiwa kushika tena mali zao, lakini bongo hizo hizo mali walizoiba ndio dhamana ya kuwatoa rumande,

- Only in Tanzania!

Na watashinda kesi na hawatadai fidia. Changa la macho hiloooo
 
These people are not fools, If you see them using Assets with there names for Bail, then it means they are legit and they have been declared and the means by which they got them are known and documented (atleast according to their stories) and check out you dont steal billions and then buy houses with these same billions, so that you can bail yourself out with properties that you cant explain how you bought in the 1st place; that much i know....
 
Pole zao watanzania wengi wana uchungu kwani fikiria wakati tunalia hali ya maisha ni ngumu wenzetu hawa wanatung'ong'a visogoni......... hata hivyo si vizuri kuchukua sheria mkononi. Tuvute subira sheria (kama ipo) Ichukue mkondo wake. Si wanasema No one is above the Law?.............. We want to see if it is true
 
Patamu hapo! Tatizo baadhi ya wasio na njaa wanadhani bado watanzania wamelala na wataendelea kubweteka wakisifia na kuogopa viongozi wasio waadilifu!

Hapa ni kwa mtini jifunzeni, na nyie mlioko madarakani tambueni kwamba cheo ni dhamana, siyo mkipewa mnakitumia vyovyote kwa minajiri ya mitumbo yenu na jamaa zenu wachache!
 
Kama hizi kesi zinazofunguliwa ni changa la macho, serikali ijiandae kwa yatakayofuata baada ya hao wahujumu kuachiwa huru.
 
Watanzania wamechoka kuchezewa kwa mali yao kuliwa na mafisadi wachache. Hawa watuhumiwa watathubutu tena kutembea barabarani ama watajiwekea walinzi?

______________________________________
This is the moment when we must come together to save this planet. Let us resolve that we will not leave our children a world where the oceans rise and famine spreads and terrible storms devastate our lands.

Barack Obama - President Elect of US
 
Hasira za walalahoi hazina brakes.Watu wameshang'amua kuwa hali duni ya maisha waliyonayo haikuja kwa sababu Mungu ametaka iwe hivyo bali ni kwa sababu ya ufisadi wa wanadamu wenzao.

Ufahamu wa mambo umeongezeka na wananchi wanaanza sasa kuelewa nani wezi wa mali yao.Wanataka haki itendeke ili mali zilizoporwa na mafisadi zirudi kwenye hazina ya serikali na kusaidia kuleta nafuu ya maisha.
 
Hasira za walalahoi hazina brakes.Watu wameshang'amua kuwa hali duni ya maisha waliyonayo haikuja kwa sababu Mungu ametaka iwe hivyo bali ni kwa sababu ya ufisadi wa wanadamu wenzao.

Ufahamu wa mambo umeongezeka na wananchi wanaanza sasa kuelewa nani wezi wa mali yao.Wanataka haki itendeke ili mali zilizoporwa na mafisadi zirudi kwenye hazina ya serikali na kusaidia kuleta nafuu ya maisha.


Ni ukweli usiopingika kuwa walalahoi siku hizi wamechoka na wameamka kutaka haki yao wapewe. Ila kwa mambo mengi tunaona ni kiini macho kwa kuwa waliyokuwa wanafanya yanaonekana na wanachi wanajua kuwa wakati wizi unaendelea viongozi wakuu serikalini walikuwa wanaona.

Mkaguzi wa hesabu za serikali yupo na anafanya kazi la kushangaza wakati wizi unaendelea kila mwaka anatoa taarifa yake na inaonekana kuwa ubadhirifu upo na wananchi wanaona kabisa kuwa hakuna hatua yoyote inayochulkuliwa dhidi ya watendaji.

Umma umefikia mahali pa kuoana kuwa hao waliosababisha hasara wanafikishwa kunakotakiwa na na fedha walizochukua zinazudi ilia angalau kuboresha maisha yao ambayo kila siku yanazidi kuwa mabaya.
 
Dah Mkuu kwanza Karibu sana JF, na pili hongera kwa mchango wako swaafi kabisa.........

Ni kweli usemayo.......ukiangalia mamlaka ya Waziri na mashtaka yaliyopo........sidhani kama tutafika mbali na hizi kesi, zaidi zaidi wanaweza ku-claim damage.......ambayo mimi na wewe tutaishia kuwalipa (i.e. Kodi)...........

...binafsi nilifikiri mtu kama Waziri akitumia madaraka yake vibaya tunategemea kuona hatua za mawaziri kushinikizwa kujiuzulu au kufukuzwa kazi..........mifano ipo i.e. Prof Mbilinyi, Iddi Simba et al

.....kwa hiyo kifupi utagundua kuwa kuwapeleka Yona na Mramba Kortini ni pure POLITICS.......ili ku-gain trust ya wananchi tulio mambumbumbu.........trust me.....wee fika Dar au sehemu nyingine yeyote sasa Tanzania uone Chati ya Muungwana ilivyopanda......simply kwa matukio haya..........

Im sorry to say.......but this time again........them guyz have taken us for a ride........damn!!

Hii kitu hata mie nimesikia kuwa jamaa ameamua kudili na kina Mramba na Yona kwa kuwafungulia kesi ya ishu tofauti kabisa ili suala la EPA litoweke katika anga za wafuatiliaji wa ufisadi. Hivi hiyo kodi ya bil 11 ni kitu gani mbele ya sakata la EPA la bil 133, ambalo wanaoshitakiwa ni wale tu walioshindwa 'kurudisha' hela kana kwamba walikopa? Hivi maamuzi ya mawaziri hayaathiri kabineti nzima akiwemo waziri mkuu na rais? Inakuwa vipi hili linageuzwa kuwa suala binafsi? Siwatetei hawa jamaa, lakini kama kweli wamekula hiyo pesa inayodaiwa hapo, basi serikali itapoteza hii kesi na itawaongezea zaidi pesa maana mashitaka yenyewe yana utata! Nilitegemea wapate mashitaka binafsi kwa mambo waliyotenda binafsi (mfano rushwa, mikataba ya ovyo, kughushi nk), lakini haya ya kwao ni ya ki-waziri!

Siye yetu macho na masikio, lakini wajanja wameshaona!
 
FMES, umechanganya hawa akina Yona hapa. Yona unayemzungumzia baba yake Candy (Kande) siyo huyu Yona wa Hazina. Mmoja Yona ni jina la kwanza na mwingine Yona ni jina la mwisho. Wote ni wa-Pare ila hawana undugu. Huyu Yona fisadi binti yake mkubwa yuko kwenye late 20s au early 30s sasa hivi.

Pia huyu Yona fisadi kahamia Makongo Juu si muda sana (less than 5 years), jirani ya dada mmoja wa Tanga.

Huyo Candy yuko kwenye early 40s na alisoma na sister Morogoro kipindi hivi.

Not true.Baba ya Candy ni Yona huyu wa Kisutu/Keko,na kahamia Makongo zamani sana.Na huyo Candy ndio mtoto wake wa kwanza nadhani na ana watoto wengine watatu.Candy kweli atakuwa kwenye early 40's,lakini hayupoa nchini hapa siku nyingi sana,sijui yuko wapi
 
Not true.Baba ya Candy ni Yona huyu wa Kisutu/Keko,na kahamia Makongo zamani sana.Na huyo Candy ndio mtoto wake wa kwanza nadhani na ana watoto wengine watatu.Candy kweli atakuwa kwenye early 40's,lakini hayupoa nchini hapa siku nyingi sana,sijui yuko wapi

- Ndio maana sikutaka kujibu maana Kiungani ni Mkulu ninayemuheshimu sana tena kuliko, maana wakati tunaenda na mshikaji wangu kwa Yona, Makongo, ilikuwa in kati kati ya 80s.Nafikiri mara ya mwisho Candy alikua Florida.
 
FMES, umechanganya hawa akina Yona hapa. Yona unayemzungumzia baba yake Candy (Kande) siyo huyu Yona wa Hazina. Mmoja Yona ni jina la kwanza na mwingine Yona ni jina la mwisho. Wote ni wa-Pare ila hawana undugu. Huyu Yona fisadi binti yake mkubwa yuko kwenye late 20s au early 30s sasa hivi.

Pia huyu Yona fisadi kahamia Makongo Juu si muda sana (less than 5 years), jirani ya dada mmoja wa Tanga.

Huyo Candy yuko kwenye early 40s na alisoma na sister Morogoro kipindi hivi.


Mkuu Kiungani
Ninachofahamu mimi huyu Yona fisadi amekuwepo makongo for more than ten years, nyumbani kwake ni karibu sana na kwa Kilontsi Mporogomyi, karibu sana na nyumbani kwa Marehemu Mzee Kaduma. Nakumbukua hivyo kwa sababu siku moja timu ya taifa ya Ghana ilipokuja aliialika nyumbani kwake kwenye dinner. Yeye alikuwa balozi/ representative wa Ghana hapa Tanzania na alikuwa anapepeza bendera ya Ghana pale makongo.
 
Jana, Waziri Masha, ambaye alitembelea gereza la Keko siku moja baada ya mawaziri hao kulazwa humo akisema kuwa alikuwa kwenye moja ya shughuli zake za kikazi licha ya kwamba alitumia gari binafsi, alisema watuhumiwa hao walikwenda Kisutu kuunganishwa na wenzao ili warudishwe Keko.


"Naomba ieleweke wazi kwamba, watuhumiwa hawakuwa wamepelekwa Kisutu kupandishwa kizimbani, walifikishwa pale ili waunganishwe na wenzao kurejea Keko... ninachosema magereza iko makini, ina mfumo imara haiwezi kutoa watuhumiwa bila taratibu," alifafanua Masha.



Waziri Masha alikiri kwamba watuhumiwa hao hawakuwa na kibali cha kufikishwa mahakamani Kisutu kwani haikuwa siku ya kusikilizwa dhamana yao.


Hii ni quote kutoka web ya mwananchi Mwananchi Read News Ukisoma yote unaweza kucheka sana, na kushindwa kuamini kuwa mtu huyu amepewa wizara kama hii. Huyu Mheshimiwa anaprove kiwango cha chini kwa kuongea anayoongea, i wonder kama mwandishi amekosea, au ni kweli alisema haya. Kama alisema haya, basi ni afadhali awe anakaa kimya kuliko kuongea na kuunga mkono hata mambo yasiyofaa.
 
Back
Top Bottom