Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Mawazo-Matatu said:
Waungwana(waandishi) tunawaomba sasa mwende kule walikosajili mali ili tujue kama walizitaja kwenye orodha ya mali wanazomiliki zama zile za ukweli na uwazi!(hasa hasa huyo Yoo ona)

Mawazo-Matatu,

..Daniel Yona hayumo tena ktk kundi la wananchi wanaopaswa kuandikisha mali zao ktk Tume ya Maadili. kwa msingi huo sidhani kama mali zake zinapaswa kuendelea kuwepo ktk kumbukumbu za Tume ya Maadili.

..wananchi tulikosea kutokufuatilia mali zake wakati ule akiwa kiongozi anayebanwa na sheria ya maadili.

..kwa upande mwingine suala hili liachiwe mahakama na mwendesha mashtaka walishughulikie. wananchi tuache jazba.

..suala hili ni tete sana, kama kuna wakati tunapaswa ku-exercise restrain basi ni huu. vinginevyo kesi inaweza kuvurugika na DPP akashindwa on technicalities.
 
Hivi, I keep going back and forth with this one, mtoto gani wa Mramba anayezungumzwa kuwa ndiye sole owner wa kampuni hii?

What I know is kuna mtu anayeitwa Mramba chini ya mwamvuli wa Alex Stewart, lakini si mtoto wa Mramba, Pesambili (?) au (?)

Someone please clarify/educate me on this.

Actually this is a great question maana siku zote nimesoma articles inaandikwa mtoto wa Mramba lakini sioni jina lolote. Wenye data mtupatie! Natanguliza shukrani!
 
Looh! hii ya Yona kali, katoa wapi mali zote hizo?

Hawa jamaa kweli wanastahili kupigwa mawe maana ni vibaka.
 
Looh! hii ya Yona kali, katoa wapi mali zote hizo?

Hawa jamaa kweli wanastahili kupigwa mawe maana ni vibaka.
Ndilo litakalofata Mtanzania, sasa hivi yanayojitokeza pale Kisutu ya kusindikiza magari yao huku wanazomewa na kupigiwa kelele "wezi haooo" unategemea nini kitafuata? Hili wanaliona la kawaida lakini tusubiri tuone, utabiri wako utatimia.
 
Looh! hii ya Yona kali, katoa wapi mali zote hizo?

Yona owns half of Dar es Salaam!!! Anyhow, don't mind my analogy, the truth is, Yona ana own massive land in Dar, na hajaanza jana. Sitashangaa kama hawezi ku keep track anymore.
 
- Kwa kweli mnyonge mnyongeni, Yona ana mali siku nyingi sana, ninakumbuka enzi za Mwalimu maana nakumbuka longtime ago during awamu ya kwanza nina mshikaji wangu mmoja ambaye siku hizi ni one of Chadema's big, alikua akim-date mtoto wake moja anayeitwa Candy, kwa hiyo nilikuwa nikijimwaga sana na huyu mshikaji kule Makongo kwa Yona kum-cheki danish,

- Ninakumbuka ndio kwanza walikuwa wamerudi rudi kutoka Ma-Sweden kama sikosei, I mean huyu Yona amekua na mapesa long time maana hata home kwake msosi ulikuwa kwa menu, yaani kanuni tupu lazima kushusha na supu kwanza ndio baadaye unaulizwa na mtu maalum utamalizia na nini, halafu mwishoni unamwagwa na mikeki tena design kibao ushindwe mwenyewe au kama noma basi aisikilimu nayo pia madesign kibao, wakati sisi mahome ilikuwa Yanga tena imenuna kiroho mbaya, na usipokuwepo on time ya kumanga umeunywa utahesabu mabati darini usiku.

Sasa alipopewa uwaziri na nini ilikuwa ni kuongezea tu, kwa hiyo kama kuchota alishachota long time somewhere, sijui wapi! Lakini kuku huyu Yona anazo longtime sasa swali ni alianzia wapi kuchota maana hapa lazima kuna ka-pattern kwa uchotaji!
 
- Kwa kweli mnyonge mnyongeni, Yona ana mali siku nyingi sana, ninakumbuka enzi za Mwalimu maana nakumbuka longtime ago during awamu ya kwanza nina mshikaji wangu mmoja ambaye siku hizi ni one of Chadema's big, alikua akim-date mtoto wake moja anayeitwa Candy, kwa hiyo nilikuwa nikijimwaga sana na huyu mshikaji kule Makongo kwa Yona kum-cheki danish,

- Ninakumbuka ndio kwanza walikuwa wamerudi rudi kutoka Ma-Sweden kama sikosei, I mean huyu Yona amekua na mapesa long time maana hata home kwake msosi ulikuwa kwa menu, yaani kanuni tupu lazima kushusha na supu kwanza ndio baadaye unaulizwa na mtu maalum utamalizia na nini, halafu mwishoni unamwagwa na mikeki tena design kibao ushindwe mwenyewe au kama noma basi aisikilimu nayo pia madesign kibao, wakati sisi mahome ilikuwa Yanga tena imenuna kiroho mbaya, na usipokuwepo on time ya kumanga umeunywa utahesabu mabati darini usiku.

Sasa alipopewa uwaziri na nini ilikuwa ni kuongezea tu, kwa hiyo kama kuchota alishachota long time somewhere, sijui wapi! Lakini kuku huyu Yona anazo longtime sasa swali ni alianzia wapi kuchota maana hapa lazima kuna ka-pattern kwa uchotaji!

FMES, umechanganya hawa akina Yona hapa. Yona unayemzungumzia baba yake Candy (Kande) siyo huyu Yona wa Hazina. Mmoja Yona ni jina la kwanza na mwingine Yona ni jina la mwisho. Wote ni wa-Pare ila hawana undugu. Huyu Yona fisadi binti yake mkubwa yuko kwenye late 20s au early 30s sasa hivi.

Pia huyu Yona fisadi kahamia Makongo Juu si muda sana (less than 5 years), jirani ya dada mmoja wa Tanga.

Huyo Candy yuko kwenye early 40s na alisoma na sister Morogoro kipindi hivi.
 
FMES said:
- Kwa kweli mnyonge mnyongeni, Yona ana mali siku nyingi sana, ninakumbuka enzi za Mwalimu maana nakumbuka longtime ago during awamu ya kwanza nina mshikaji wangu mmoja ambaye siku hizi ni one of Chadema's big, alikua akim-date mtoto wake moja anayeitwa Candy, kwa hiyo nilikuwa nikijimwaga sana na huyu mshikaji kule Makongo kwa Yona kum-cheki danish,

- Ninakumbuka ndio kwanza walikuwa wamerudi rudi kutoka Ma-Sweden kama sikosei, I mean huyu Yona amekua na mapesa long time maana hata home kwake msosi ulikuwa kwa menu, yaani kanuni tupu lazima kushusha na supu kwanza ndio baadaye unaulizwa na mtu maalum utamalizia na nini, halafu mwishoni unamwagwa na mikeki tena design kibao ushindwe mwenyewe au kama noma basi aisikilimu nayo pia madesign kibao, wakati sisi mahome ilikuwa Yanga tena imenuna kiroho mbaya, na usipokuwepo on time ya kumanga umeunywa utahesabu mabati darini usiku.

Sasa alipopewa uwaziri na nini ilikuwa ni kuongezea tu, kwa hiyo kama kuchota alishachota long time somewhere, sijui wapi! Lakini kuku huyu Yona anazo longtime sasa swali ni alianzia wapi kuchota maana hapa lazima kuna ka-pattern kwa uchotaji!

FMES,

..Yona is a typical case ya watu wasiotosheka. he had no reason to engage in any corrupt activities.

..halafu watu wengi wanavyomuona mkavu-mkavu vile wanafikiria ni kijana wa juzi, kumbe ni kibabu fulani.

..Yona wakati wenzake wanakwenda Makerere yeye alipelekwa kusoma Scotland.

..he was the founding Secretary wa Bank of Tanzania--BOT. founding CEO wa Tanzania Housing Bank -- THB. founding Principal wa IFM. founding CEO of Housing Bank in Sierra Leona. IMF representative in Vanuatu Islands. Honorary Ambassador of Ghana to Tanzania.

..hebu fikiria pamoja na CV yote hiyo unakuja kujiaibishwa kwa kupandishwa karandinga na kulala Keko.
 
..Yona is a typical case ya watu wasiotosheka. he had no reason to engage in any corrupt activities.

..halafu watu wengi wanavyomuona mkavu-mkavu vile wanafikiria ni kijana wa juzi, kumbe ni kibabu fulani.

..Yona wakati wenzake wanakwenda Makerere yeye alipelekwa kusoma Scotland.

..he was the founding Secretary wa Bank of Tanzania--BOT. founding CEO wa Tanzania Housing Bank -- THB. founding Principal wa IFM. founding CEO of Housing Bank in Sierra Leona. IMF representative in Vanuatu Islands. Honorary Ambassador of Ghana to Tanzania.

..hebu fikiria pamoja na CV yote hiyo unakuja kujiaibishwa kwa kupandishwa karandinga na kulala Keko.

Some mafisadi wana characteristics zinazofanana, see Balali, Chenge, Yona. Wangekuwa JF members basi usingechelea sikia Balali=Chenge=Yona.
 
Some mafisadi wana characteristics zinazofanana, see Balali, Chenge, Yona. Wangekuwa JF members basi ungechelea sikia Balali=Chenge=Yona.

Kama Nyani=LeanBack=Zakumi=Nyama=BabaAskofuParoko?
 
FMES,

..Yona is a typical case ya watu wasiotosheka. he had no reason to engage in any corrupt activities.

..halafu watu wengi wanavyomuona mkavu-mkavu vile wanafikiria ni kijana wa juzi, kumbe ni kibabu fulani.

..Yona wakati wenzake wanakwenda Makerere yeye alipelekwa kusoma Scotland.

..he was the founding Secretary wa Bank of Tanzania--BOT. founding CEO wa Tanzania Housing Bank -- THB. founding Principal wa IFM. founding CEO of Housing Bank in Sierra Leona. IMF representative in Vanuatu Islands. Honorary Ambassador of Ghana to Tanzania.

..hebu fikiria pamoja na CV yote hiyo unakuja kujiaibishwa kwa kupandishwa karandinga na kulala Keko.

- This is what I am talking about, tukiweza kuweka habari kama hizi ndio tunaweza kurudia ile JF ya kawaida ambayo hata Muungwana wakati fulani alikuwa hawezi toa hotuba kwa taifa bila kututaja JF yaani "watu wa internet", ahsante mkuu,

- sasa uliza alitumia hela ngapi kwenye uchgauzi wa ubunge alioshindwa ndio hutashangaa kwa nini alikuwa Rumande, Keko among all the places!
 
Shadrack Sagati
Daily News; Tuesday,December 02, 2008 @21:15

Mawaziri waandamizi wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, jana walinusurika kupigwa na kikundi la vijana nje ya Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam, waliodai kuchukizwa na washitakiwa hao kuachiwa kwa dhamana.

Tukio hilo lilitokea saa 4.55 asubuhi wakati mawaziri hao wanaoshitakiwa kwa kutumia madaraka vibaya na kusababishia serikali hasara ya Sh bilioni 11.7, walipotoka ndani ya mahakama hiyo kupanda magari warudi nyumbani.

Kundi la vijana, miongoni mwa umati uliofurika mahakamani hapo kufuatilia kesi hiyo, lilijaribu kuvamia magari waliyopanda washitakiwa kwa nia ya kuwapiga, lakini ulinzi imara wa jeshi la Magereza uliwanusuru. Wakati vijana hao wakionyesha hasira, ndugu wa washitakiwa walikuwa na furaha ya kujumuika tena na wapendwa wao.

Mramba aliachiwa kwa dhamana na Hakimu Mkazi Hezron Mwankenja baada ya kuwasilisha hati nne za mali zisizohamishika zenye thamani ya Sh bilioni 3.1. Hati moja yenye thamani ya Sh milioni 397 ni ya Khatib Senkoro na ya pili ya Haruni Mohamed ina thamani ya Sh bilioni 1.2. Hati nyingine ni ya Kilimanjaro Mines yenye thamani ya Sh milioni 976.4 wakati ya nne ni mali ya Mramba mwenyewe yenye thamani ya Sh milioni 547.

Yona alitoa hati tatu zote zenye majina yake zenye thamani ya jumla ya Sh bilioni tatu. Hati moja ina thamani ya Sh milioni 443, nyingine Sh bilioni 2.2 na hati ya tatu thamani yake ni Sh milioni 420.3. Wiki iliyopita Mahakama Kuu iliwalegezea washitakiwa hao masharti ya dhamana na kuamuru wawasilishe hati za mali zenye thamani ya Sh bilioni 2.9 kila mmoja, badala ya kulipa fedha taslimu kama ilivyoamuliwa awali na Mahakama ya Kisutu.

Vijana waliojaribu kuleta fujo kupinga dhamana hiyo, walidai juma moja walilokaa rumande mawaziri hao wa zamani halitoshi, kwani hao ni wezi wa mali ya umma na wamechangia ugumu wa maisha kwa wananchi wengi. "Hawa ni wezi mtawaachiaje? Hawastahili hawa kuwa nje," alisikika akisema kijana mmoja ambaye alikuwa anazuiwa na askari magereza ili asiwafikie washitakiwa hao.

Jeshi la Magereza liliweka ulinzi mkali wa zaidi ya askari 10, wakiwamo wenye silaha, baada ya kuona ishara za vurugu. Magari yaliyowachukua washitakiwa hao yaliegeshwa karibu na mlango mkuu wa mahakama badala ya ule wa nyuma kuepuka vurugu. Kitendo hicho kiliwapa shida wapigapicha wa magazeti na televisheni, waliokimbia huku na kule kutafuta mahali watakapotokea mawaziri hao wa zamani.

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Kamishna Msaidizi wa Polisi Charles Kenyela, alithibitisha kuwa Mramba na Yona walitolewa mlango wa mbele kuwaepusha wasishambuliwe na wananchi. Washitakiwa hao walilazimika kuondoka haraka bila kusalimiana na ndugu zao waliojazana nje ya mahakama.

Mramba alipanda kwenye gari lenye namba za usajili T521 AFS LandCruiser VX huku Yona akipandishwa kwenye Suzuki Vitara ya kisasa yenye namba za usajili T822 ANR, magari ambayo yaliondoka kwa kasi mahakamani hapo. Vijana ambao walikwama kuwadhuru washitakiwa hao, waliishia kuwazomea, wezi hao... wezi hao…

Katika kesi hiyo, Mramba anakabiliwa na mashitaka yote 13 wakati Yona anahusishwa na mashtaka sita ya kushiriki kuipendelea Kampuni ya Alex Stewart kwa kuipa nyongeza ya mkataba kinyume na taratibu. Waziri huyo wa zamani wa Nishati na Madini, pia anashitakiwa kwa kutoa mkataba kwa kampuni hiyo bila kuishirikisha ofisi ya mwanasheria mkuu wa Serikali. Mramba anashitakiwa pekee kwa kutoa misamaha mbalimbali ya kodi kwa Kampuni ya Alex Stewart na kusababisha hasara hiyo ya Sh bilioni 11.7. Kesi hiyo itatajwa tena Januari 2 mwakani. Upande wa mashitaka umesema upelelezi bado unaendelea.
.............................................................................................
Swali langu:

Je hizi si dalili wazi za kuchokwa na jamii ya wala nyasi! Yona binafsi amepata wapi mali zote hizo za kujidhamini mwenyewe? Na Mramba je, hizo ni mali zake kwa majina tofauti? kama ni za washirika, wana uhusiano gani na Mramba? Wadau mwageni data.
 
1.
Mramba aliachiwa kwa dhamana na Hakimu Mkazi Hezron Mwankenja baada ya kuwasilisha hati nne za mali zisizohamishika zenye thamani ya Sh bilioni 3.1

(a). Hati moja yenye thamani ya Sh milioni 397 ni ya Khatib Senkoro

(b). na ya pili ya Haruni Mohamed ina thamani ya Sh bilioni 1.2.

(c). Hati nyingine ni ya Kilimanjaro Mines yenye thamani ya Sh milioni 976.4

(d). wakati ya nne ni mali ya Mramba mwenyewe yenye thamani ya Sh milioni 547.

2.
Yona alitoa hati tatu zote zenye majina yake zenye thamani ya jumla ya Sh bilioni tatu.

(a). Hati moja ina thamani ya Sh milioni 443,

(b). nyingine Sh bilioni 2.2

(c). na hati ya tatu thamani yake ni Sh milioni 420.3.

- Wakuu hebu tuangalie vipi kuhusu hizi hati za mali hakuna maswali? Hao Senkoro na Mohamed ni nani hasa?
 
Shadrack Sagati
Daily News; Tuesday,December 02, 2008 @21:15

Mawaziri waandamizi wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, jana walinusurika kupigwa na kikundi la vijana nje ya Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam, waliodai kuchukizwa na washitakiwa hao kuachiwa kwa dhamana.

Tukio hilo lilitokea saa 4.55 asubuhi wakati mawaziri hao wanaoshitakiwa kwa kutumia madaraka vibaya na kusababishia serikali hasara ya Sh bilioni 11.7, walipotoka ndani ya mahakama hiyo kupanda magari warudi nyumbani.

Kundi la vijana, miongoni mwa umati uliofurika mahakamani hapo kufuatilia kesi hiyo, lilijaribu kuvamia magari waliyopanda washitakiwa kwa nia ya kuwapiga, lakini ulinzi imara wa jeshi la Magereza uliwanusuru. Wakati vijana hao wakionyesha hasira, ndugu wa washitakiwa walikuwa na furaha ya kujumuika tena na wapendwa wao.

Mramba aliachiwa kwa dhamana na Hakimu Mkazi Hezron Mwankenja baada ya kuwasilisha hati nne za mali zisizohamishika zenye thamani ya Sh bilioni 3.1. Hati moja yenye thamani ya Sh milioni 397 ni ya Khatib Senkoro na ya pili ya Haruni Mohamed ina thamani ya Sh bilioni 1.2. Hati nyingine ni ya Kilimanjaro Mines yenye thamani ya Sh milioni 976.4 wakati ya nne ni mali ya Mramba mwenyewe yenye thamani ya Sh milioni 547.

Yona alitoa hati tatu zote zenye majina yake zenye thamani ya jumla ya Sh bilioni tatu. Hati moja ina thamani ya Sh milioni 443, nyingine Sh bilioni 2.2 na hati ya tatu thamani yake ni Sh milioni 420.3. Wiki iliyopita Mahakama Kuu iliwalegezea washitakiwa hao masharti ya dhamana na kuamuru wawasilishe hati za mali zenye thamani ya Sh bilioni 2.9 kila mmoja, badala ya kulipa fedha taslimu kama ilivyoamuliwa awali na Mahakama ya Kisutu.

Vijana waliojaribu kuleta fujo kupinga dhamana hiyo, walidai juma moja walilokaa rumande mawaziri hao wa zamani halitoshi, kwani hao ni wezi wa mali ya umma na wamechangia ugumu wa maisha kwa wananchi wengi. "Hawa ni wezi mtawaachiaje? Hawastahili hawa kuwa nje," alisikika akisema kijana mmoja ambaye alikuwa anazuiwa na askari magereza ili asiwafikie washitakiwa hao.

Jeshi la Magereza liliweka ulinzi mkali wa zaidi ya askari 10, wakiwamo wenye silaha, baada ya kuona ishara za vurugu. Magari yaliyowachukua washitakiwa hao yaliegeshwa karibu na mlango mkuu wa mahakama badala ya ule wa nyuma kuepuka vurugu. Kitendo hicho kiliwapa shida wapigapicha wa magazeti na televisheni, waliokimbia huku na kule kutafuta mahali watakapotokea mawaziri hao wa zamani.

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Kamishna Msaidizi wa Polisi Charles Kenyela, alithibitisha kuwa Mramba na Yona walitolewa mlango wa mbele kuwaepusha wasishambuliwe na wananchi. Washitakiwa hao walilazimika kuondoka haraka bila kusalimiana na ndugu zao waliojazana nje ya mahakama.

Mramba alipanda kwenye gari lenye namba za usajili T521 AFS LandCruiser VX huku Yona akipandishwa kwenye Suzuki Vitara ya kisasa yenye namba za usajili T822 ANR, magari ambayo yaliondoka kwa kasi mahakamani hapo. Vijana ambao walikwama kuwadhuru washitakiwa hao, waliishia kuwazomea, wezi hao... wezi hao…

Katika kesi hiyo, Mramba anakabiliwa na mashitaka yote 13 wakati Yona anahusishwa na mashtaka sita ya kushiriki kuipendelea Kampuni ya Alex Stewart kwa kuipa nyongeza ya mkataba kinyume na taratibu. Waziri huyo wa zamani wa Nishati na Madini, pia anashitakiwa kwa kutoa mkataba kwa kampuni hiyo bila kuishirikisha ofisi ya mwanasheria mkuu wa Serikali. Mramba anashitakiwa pekee kwa kutoa misamaha mbalimbali ya kodi kwa Kampuni ya Alex Stewart na kusababisha hasara hiyo ya Sh bilioni 11.7. Kesi hiyo itatajwa tena Januari 2 mwakani. Upande wa mashitaka umesema upelelezi bado unaendelea.
.............................................................................................
Swali langu:

Je hizi si dalili wazi za kuchokwa na jamii ya wala nyasi! Yona binafsi amepata wapi mali zote hizo za kujidhamini mwenyewe? Na Mramba je, hizo ni mali zake kwa majina tofauti? kama ni za washirika, wana uhusiano gani na Mramba? Wadau mwageni data.


KAKA haya yote tuliyoshuhudia wiki hii ni series au maigizo tu na mbwembwe za siasa na uchaguzi wa 2010....pamoja na kuwa fundisho ..lakini watanzania bahati mbaya wanakuwa wepesi sana kushangilia na wepesi kusahau....nadhani wanasiasa wetu wanalijuwa hilo,,...na wataendelea kutubadilishia tu santuri...na sisi tutabaki kucheza nyimbo mpya kila mara santuri inapoelekea kuchoka tunabadilishiwa....

ukiamuwa kupeleka wanasiasa wetu mahakamani wote basi lile karandinga la magereza watajaa wao tu.kwanza nashangaa kwa nini manji .,lowassa,rostam,karamagi..na ze mtandaos[kagoda] and richmoond imekuwaje mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyewambwa msalabani..wakati ushahidi wao upo wazi.....kama kweli tumeamua ..kusema call spade a spade!!!..na sasa mahakama zinaanza likizo ndefu basi mjuwe..series yetu inapata kwenda commercial brake!......hadi kati kati ya january,,,...
 
Yona alitoa hati tatu zote zenye majina yake zenye thamani ya jumla ya Sh bilioni tatu.

(a). Hati moja ina thamani ya Sh milioni 443,

(b). nyingine Sh bilioni 2.2

(c). na hati ya tatu thamani yake ni Sh milioni 420.3.

Yona naona amepiga bilioni tatu mwenyewe..Ama kweli kuna viongozi wetu wana pesa. Duh! Zote kasaini mwenyewe, I wonder how much is the dude worthy...Maana mimi siamini kuhusu binadamu kuwa na bei lakini chini ya utaratibu wa kibepari jamaa ni kiongozi wetu ambaye inawezekana ana worth usawa kuliko tunavyojuwa.
 
1.

2.

- Wakuu hebu tuangalie vipi kuhusu hizi hati za mali hakuna maswali? Hao Senkoro na Mohamed ni nani hasa?

..mkulu huyu hatibu semkoro ni mjasiriamali mzawa wa muda mrefu na siku hizi kama sikosei ni meneja mkazi wa geita gold....amepata kufanya kazi na mramba kama sikosei NDC...enzi za mwalimu wakati inaanza ...nadhani walikuwa waaanzilishi..pamoja na kina arnold kileo ...au kama arnold alikuja baada yao......those are old guards...

huyu mohamed simjuwi unless its just a placebo ..proxy name......
 


Yona naona amepiga bilioni tatu mwenyewe..Ama kweli kuna viongozi wetu wana pesa. Duh! Zote kasaini mwenyewe, I wonder how much is the dude worthy...Maana mimi siamini kuhusu binadamu kuwa na bei lakini chini ya utaratibu wa kibepari jamaa ni kiongozi wetu ambaye inawezekana ana worth usawa kuliko tunavyojuwa.

bilion tatu?...gaddamn t,ana biashara gani huyu au alikuwa mfanyakazi wa umma tuu,hawa ni wezi tuu ila najua watashinda kesi lakini itakuwa ni fundisho kwa future wezi!
 


Yona naona amepiga bilioni tatu mwenyewe..Ama kweli kuna viongozi wetu wana pesa. Duh! Zote kasaini mwenyewe, I wonder how much is the dude worthy...Maana mimi siamini kuhusu binadamu kuwa na bei lakini chini ya utaratibu wa kibepari jamaa ni kiongozi wetu ambaye inawezekana ana worth usawa kuliko tunavyojuwa.



..yona anazo pesa kweli kweli..."mmesahau ni mpare ...na anaweza kuwa na pesa huku analalia kande...?"..thats how jamaa zangu walivyo....quality za mpare na mchaga wa rombo hazina tofauti....huyu mwingine kidogo anatumia kunywa pombe..lakini pia ni mbana matumizi mzuri....anaweza kuwa na duka la mamilioni...na atalala huko huko na bidhaa zake....ili asipange chumba.....na kwa ujumla sifa za wachagga na wapare zinakaribiana!..

anyway back to the point ..yona anazo pesa kwani amefanya kazi nadhani kwenye inyernational organisations tangu anamaliza chuo [aliajiriwa hapa kwa muda mfupi]..muda mrefu ameajiriwa nje ya nchi..so pesa aliyokuwa akipokea ni ndefu,yona kabla ya kujiunga na siasa amekuwa mjasiriamali mkubwa sana akishirikiana na mwanae jr,...siasa imekuja kuongezea.....nadhani lazima mjuwe kuwa viongozi wenye akili ya biashara ni wachache ..mmoja wao yona,so inawezekana kabisa kuna walioiba kuliko yeye ..na leo wamefilisika..lakini the dude ..atakuwa kama alipata chochote aliongezea tu kwenye makampuni yake........kimsingi sintashngaa kusikia kuwa jamaa ana mali .....

mramba ..pesa anazo lakini tofauti ni kuwa yeye amekuwa mtu wa kuinuwa watu..kwa hiyo uwezekano mkubwa pesa nyingi...hana yeye kama yeye...lakini list ya wafanyabiashara wazawa walioinuliwa na mramba tangu enzi akiwa SIDO...ni wengi mno...nadhani kwa mramba hata kama bond ingekuwa bilioni 20.....kuna matajiri ambao wanamkumbuka na wangeweza kumchangia atoke..thats why hati nyingi zilizomdhamini wametoa watu.....wangesema lazima ziwe na jina lake angeweza kuchemka...
 
wezi wawili tu wanapesa kiasi hicho, sasa tukiwepa pressure kwa wezi wote (mawaziri na makatibu wakuu) wote hivi kweli nchi itaendelea kuwa na bajeti tegemezi?.
 
Mramba, Yona almanusra
Shadrack Sagati
Daily News; Tuesday,December 02, 2008 @21:15

Mawaziri waandamizi wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, jana walinusurika kupigwa na kikundi la vijana nje ya Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam, waliodai kuchukizwa na washitakiwa hao kuachiwa kwa dhamana.

Tukio hilo lilitokea saa 4.55 asubuhi wakati mawaziri hao wanaoshitakiwa kwa kutumia madaraka vibaya na kusababishia serikali hasara ya Sh bilioni 11.7, walipotoka ndani ya mahakama hiyo kupanda magari warudi nyumbani.

Kundi la vijana, miongoni mwa umati uliofurika mahakamani hapo kufuatilia kesi hiyo, lilijaribu kuvamia magari waliyopanda washitakiwa kwa nia ya kuwapiga, lakini ulinzi imara wa jeshi la Magereza uliwanusuru. Wakati vijana hao wakionyesha hasira, ndugu wa washitakiwa walikuwa na furaha ya kujumuika tena na wapendwa wao.

Mramba aliachiwa kwa dhamana na Hakimu Mkazi Hezron Mwankenja baada ya kuwasilisha hati nne za mali zisizohamishika zenye thamani ya Sh bilioni 3.1. Hati moja yenye thamani ya Sh milioni 397 ni ya Khatib Senkoro na ya pili ya Haruni Mohamed ina thamani ya Sh bilioni 1.2. Hati nyingine ni ya Kilimanjaro Mines yenye thamani ya Sh milioni 976.4 wakati ya nne ni mali ya Mramba mwenyewe yenye thamani ya Sh milioni 547.

Yona alitoa hati tatu zote zenye majina yake zenye thamani ya jumla ya Sh bilioni tatu. Hati moja ina thamani ya Sh milioni 443, nyingine Sh bilioni 2.2 na hati ya tatu thamani yake ni Sh milioni 420.3. Wiki iliyopita Mahakama Kuu iliwalegezea washitakiwa hao masharti ya dhamana na kuamuru wawasilishe hati za mali zenye thamani ya Sh bilioni 2.9 kila mmoja, badala ya kulipa fedha taslimu kama ilivyoamuliwa awali na Mahakama ya Kisutu.

Vijana waliojaribu kuleta fujo kupinga dhamana hiyo, walidai juma moja walilokaa rumande mawaziri hao wa zamani halitoshi, kwani hao ni wezi wa mali ya umma na wamechangia ugumu wa maisha kwa wananchi wengi. "Hawa ni wezi mtawaachiaje? Hawastahili hawa kuwa nje," alisikika akisema kijana mmoja ambaye alikuwa anazuiwa na askari magereza ili asiwafikie washitakiwa hao.

Jeshi la Magereza liliweka ulinzi mkali wa zaidi ya askari 10, wakiwamo wenye silaha, baada ya kuona ishara za vurugu. Magari yaliyowachukua washitakiwa hao yaliegeshwa karibu na mlango mkuu wa mahakama badala ya ule wa nyuma kuepuka vurugu. Kitendo hicho kiliwapa shida wapigapicha wa magazeti na televisheni, waliokimbia huku na kule kutafuta mahali watakapotokea mawaziri hao wa zamani.

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Kamishna Msaidizi wa Polisi Charles Kenyela, alithibitisha kuwa Mramba na Yona walitolewa mlango wa mbele kuwaepusha wasishambuliwe na wananchi. Washitakiwa hao walilazimika kuondoka haraka bila kusalimiana na ndugu zao waliojazana nje ya mahakama.

Mramba alipanda kwenye gari lenye namba za usajili T521 AFS LandCruiser VX huku Yona akipandishwa kwenye Suzuki Vitara ya kisasa yenye namba za usajili T822 ANR, magari ambayo yaliondoka kwa kasi mahakamani hapo. Vijana ambao walikwama kuwadhuru washitakiwa hao, waliishia kuwazomea, wezi hao... wezi hao…

Katika kesi hiyo, Mramba anakabiliwa na mashitaka yote 13 wakati Yona anahusishwa na mashtaka sita ya kushiriki kuipendelea Kampuni ya Alex Stewart kwa kuipa nyongeza ya mkataba kinyume na taratibu. Waziri huyo wa zamani wa Nishati na Madini, pia anashitakiwa kwa kutoa mkataba kwa kampuni hiyo bila kuishirikisha ofisi ya mwanasheria mkuu wa Serikali. Mramba anashitakiwa pekee kwa kutoa misamaha mbalimbali ya kodi kwa Kampuni ya Alex Stewart na kusababisha hasara hiyo ya Sh bilioni 11.7. Kesi hiyo itatajwa tena Januari 2 mwakani. Upande wa mashitaka umesema upelelezi bado unaendelea.
 
Back
Top Bottom