Yeye kajuaje kama Kamanda Sirro anajua?

Yeye kajuaje kama Kamanda Sirro anajua?

Mo kapatikana.....inasemekana watekaji wamemtupa maeneo ya Gymkhana (sijui ndo inaandikwa hvo?????) na kutekeleza lile gari aliloonyesha IGP hapo hapo Gymkhana.

IGP, Mambosasa walisema vijana wao hawalali wako kila kona ya dar wakimsaka Mo....Najiuliza tu...hawa watekaji walipita wapi mpaka wakafika Gymkhana wakati vijana wa Sirro walikuwa wametanda kila mahali, kwa nn hawakukamatwa???Nimejiuliza tu wandugu..
 
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu wasifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Mzee wale wanajuwana kwa mana wapo katika serikali na wanafanyiana mafanyio wanayojuana,,sisi wengine tuangalie tu mwisho ukweli utaujuwa
 
Hii Picha inayo Maswali mengi sana kuliko Maelezo ya Mh IGP.
Akili ndogo inapotaka kutawala akili kubwa sio kazi ndogo, kweli Tanzania watu wanajiuliza maswali mengi sana vichwani mwao,, Pale mtu anapotaka kuleta bla bla
 
Mimi ndomaana mpaka leo namkubali sana Makonda japo anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu maana alisema atawataja wauza unga na kweli akiwataja lakini hawa wakina Zito wao huwa wanatuona sisi watanzania ni wajinga wanaazisha move halafu hawamalizi wanatupa trailer tu, mfano ni hayo mabilioni ya uswizi mpaka leo hajawataja wahusika
 
Niliwahi kuandika humu na ninarudia tena.

Ukitumia akili katika kuongea unayoyaongea yatajidhihirisha kama siyo leo basi kesho.
Maneno ya Zito yamedhihirika leo.
 
Mimi ndomaana mpaka leo namkubali sana Makonda japo anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu maana alisema atawataja wauza unga na kweli akiwataja lakini hawa wakina Zito wao huwa wanatuona sisi watanzania ni wajinga wanaazisha move halafu hawamalizi wanatupa trailer tu, mfano ni hayo mabilioni ya uswizi mpaka leo hajawataja wahusika
.......................namkubali sana Makonda.................... Hii kauli ni ya-kiccm sana
 
Vipi mbona kimya? Zitto alisema ukawa unambishia Mo karudi
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu wasifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
 
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu wasifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
utakuwa mpumbavu
Screenshot_2018-10-20_081731.jpg
 
Huku futa huu uzi bila msaada wa admin

Kula aibu kidogo
 
mtiririko wa matukio huweza kutoa picha kamili ya jinsi tukio lilivyptokea
 
Back
Top Bottom