MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,730
- 31,625
Amani iwe nanyi,
Kazi ya Mungu siku zote ina upinzani mkali. Tumeona Yesu OG, mitume na manabii walivyo uwawa, teswa na kudhihakiwa. Soma maandiko kwa urahisi wa rejea.
Huko jirani, wadau wanataka kumjambisha yule yesu wa mchongo, wanataka kumsulubisha kwa kadiri ya maandiko wakitarajia ufufuko wake siku ya tatu, je sisi tunasubiri nini? Hawa mitume na manabii wa mchongo inabidi wachezee vichapo.
Maandiko yako wazi, hakuna utukufu unaokuja bila mateso.Manabii na mitume walichezea vichapo wakapata utukufu huko kwa baba
Ieleweke, njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba, manabii na mitume chukueni tahadhari.
Kazi ya Mungu siku zote ina upinzani mkali. Tumeona Yesu OG, mitume na manabii walivyo uwawa, teswa na kudhihakiwa. Soma maandiko kwa urahisi wa rejea.
Huko jirani, wadau wanataka kumjambisha yule yesu wa mchongo, wanataka kumsulubisha kwa kadiri ya maandiko wakitarajia ufufuko wake siku ya tatu, je sisi tunasubiri nini? Hawa mitume na manabii wa mchongo inabidi wachezee vichapo.
Maandiko yako wazi, hakuna utukufu unaokuja bila mateso.Manabii na mitume walichezea vichapo wakapata utukufu huko kwa baba
Ieleweke, njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba, manabii na mitume chukueni tahadhari.