Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Usifute kichwa cha habari JF:Yericko Nyerere Hufanani na vitabu unavyo sema ni ujasusi na uchochoro wa madaraka yani wewe ni Mr pimbi wa gazeti la sani.
Ukisoma vitabu vyake unaweza kujua huyu jamaa ni jasusi hatari ila ukirudi nyuma ni mr pimbi wa gazeti la sani.
Mimi naogopa sana watu wanahoandika vitabu sababu wanakuwa na uwezo mkubwa hata kwenye maongezi yao.
Sasa wewe yani hata Hoja huna na si mara moja kabla ujatoka chadema uwezi lolote.
Ukisoma vitabu vyake unaweza kujua huyu jamaa ni jasusi hatari ila ukirudi nyuma ni mr pimbi wa gazeti la sani.
Mimi naogopa sana watu wanahoandika vitabu sababu wanakuwa na uwezo mkubwa hata kwenye maongezi yao.
Sasa wewe yani hata Hoja huna na si mara moja kabla ujatoka chadema uwezi lolote.