Yericko Nyerere ashinda Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118

Tuzo hizo zilizoandaliwa na Taasisi ya Tuzo za Zikomo Africa Award ya yenye makao makuu nchini Zambia zimefanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili, Novemba 19, 2023 nchini humo.

Mara baada ya kutangazwa mshindi kwa kuwashinda washindani wenzake nane kutoka Botswana, Uganda, Zambia na Zimbabwe, Nyerere amewashukuru Watanzania wote waliompigia kura.

"Asanteni sana Watanzania wote mlionipigia kura, Tanzania imeshinda," amesema Nyerere

Baada ya kutwaa Tuzo hiyo, Nyerere ameikabidhi kwa Balozi wa Tanzania nchini Zambi, Luteni Jenerali Mathew Mkingule aliyekuwapo ukumbini kama ishara ya Itifaki ya Ki-nchi na Balozi akatoa neno la ki-nchi la kumpongeza na kuhamasisha Watanzania wasome na waandike vitabu.

Baadhi ya vitabu alivyoandika ni cha Ujasusi wa Kidola na Kichumi, toleo la 2016, Kitabu cha Mapambano ya Madaraka, toleo la 2017, Kitabu cha Strategy The Road to Power, toleo la 2018 na Kitabu cha Mtu Baada ya Mtu, toleo la 2020.
 
View attachment 2818480

Tuzo hizo zilizoandaliwa na Taasisi ya Tuzo za Zikomo Africa Award ya yenye makao makuu nchini Zambia zimefanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili, Novemba 19, 2023 nchini humo.

Mara baada ya kutangazwa mshindi kwa kuwashinda washindani wenzake nane kutoka Botswana, Uganda, Zambia na Zimbabwe, Nyerere amewashukuru Watanzania wote waliompigia kura.

"Asanteni sana Watanzania wote mlionipigia kura, Tanzania imeshinda," amesema Nyerere

Baada ya kutwaa Tuzo hiyo, Nyerere ameikabidhi kwa Balozi wa Tanzania nchini Zambi, Luteni Jenerali Mathew Mkingule aliyekuwapo ukumbini kama ishara ya Itifaki ya Ki-nchi na Balozi akatoa neno la ki-nchi la kumpongeza na kuhamasisha Watanzania wasome na waandike vitabu.

Baadhi ya vitabu alivyoandika ni cha Ujasusi wa Kidola na Kichumi, toleo la 2016, Kitabu cha Mapambano ya Madaraka, toleo la 2017, Kitabu cha Strategy The Road to Power, toleo la 2018 na Kitabu cha Mtu Baada ya Mtu, toleo la 2020.
Hongera zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2818480

Tuzo hizo zilizoandaliwa na Taasisi ya Tuzo za Zikomo Africa Award ya yenye makao makuu nchini Zambia zimefanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili, Novemba 19, 2023 nchini humo.

Mara baada ya kutangazwa mshindi kwa kuwashinda washindani wenzake nane kutoka Botswana, Uganda, Zambia na Zimbabwe, Nyerere amewashukuru Watanzania wote waliompigia kura.

"Asanteni sana Watanzania wote mlionipigia kura, Tanzania imeshinda," amesema Nyerere

Baada ya kutwaa Tuzo hiyo, Nyerere ameikabidhi kwa Balozi wa Tanzania nchini Zambi, Luteni Jenerali Mathew Mkingule aliyekuwapo ukumbini kama ishara ya Itifaki ya Ki-nchi na Balozi akatoa neno la ki-nchi la kumpongeza na kuhamasisha Watanzania wasome na waandike vitabu.

Baadhi ya vitabu alivyoandika ni cha Ujasusi wa Kidola na Kichumi, toleo la 2016, Kitabu cha Mapambano ya Madaraka, toleo la 2017, Kitabu cha Strategy The Road to Power, toleo la 2018 na Kitabu cha Mtu Baada ya Mtu, toleo la 2020.
Chedema imeshinda.
Nami ni miongoni mwa waliompigia kura Nyerere.
Hongera Yereko, hongerara Tanznia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom