Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,886
- 2,767
Ndio naona hapa nashangaa. Hadi chumvi? Wakati kuna sehemu hadi tunaita uvinza? Mtwara, pwani yote chumvi ipo. Ununio huko naona chumvi. Nani katuloga?
Ifike sehemu hawa vuingozi wetu watuheshimu na wajiheshimu. Ifike wakati aje kiongozi apige marufuku imports za yafuatayo:
1. Maji
2. Chumvi
3. Sukari
4. Nafaka
Mnaweza kuongezea hapo.
Rais aliyepo madarakani anaweza kuanza na hayo, na kisha tukaendelea katika sekta zingine nyeti.
Ifike sehemu hawa vuingozi wetu watuheshimu na wajiheshimu. Ifike wakati aje kiongozi apige marufuku imports za yafuatayo:
1. Maji
2. Chumvi
3. Sukari
4. Nafaka
Mnaweza kuongezea hapo.
Rais aliyepo madarakani anaweza kuanza na hayo, na kisha tukaendelea katika sekta zingine nyeti.