import

An import in the receiving country is an export from the sending country. Importation and exportation are the defining financial transactions of international trade.In international trade, the importation and exportation of goods are limited by import quotas and mandates from the customs authority. The importing and exporting jurisdictions may impose a tariff (tax) on the goods. In addition, the importation and exportation of goods are subject to trade agreements between the importing and exporting jurisdictions.

View More On Wikipedia.org
  1. Investaa

    Msaada kuhusu "Import Fees on Amazon"

    Habari wana JF. Kuna bidhaa nataka ninunue AMAZON ila bado sijaelewa kwa uzuri kuhusu import fees. Kama kuna mdau alishawai kuagiza bidhaa kutoka Amazoni naomba ufafanuzi zaidi.
  2. Raia Fulani

    Yani tuna import hadi chumvi?

    Ndio naona hapa nashangaa. Hadi chumvi? Wakati kuna sehemu hadi tunaita uvinza? Mtwara, pwani yote chumvi ipo. Ununio huko naona chumvi. Nani katuloga? Ifike sehemu hawa vuingozi wetu watuheshimu na wajiheshimu. Ifike wakati aje kiongozi apige marufuku imports za yafuatayo: 1. Maji 2. Chumvi...
  3. Jamii Opportunities

    Program Specialist at Export Import Bank of Korea

    Job Title: Program Specialist Company: The Export-Import Bank of Korea Location: Alfa Building, Off Alli Hassan Mwinyi Road, Dar es Salaam Work Hours: 7:00AM ~ 4:00PM Type of Contract: Fixed time Duration: One Year (2023. 10. 1 ~ 2024. 9. 30) Job Purpose: Support the Official Development...
  4. M

    Msaada- Import duty Uganda na Tanzania

    Habari wakuu, Kuna rafiki yangu anataka kununua tani 100 za maharage toka Uganda. Naomba kujua kama kuna tax duties yeyote ambayo atalipa. Pia, kama ipo, naomba kujua ni asilimia ngapi ya gharama ya mzigo. Natanguliza shukrani zangu kwa wote ambao mtatumia mda wenu kunisaidia. Asante.
  5. Alyce alyce

    New Double Ocean Logistics ltd

    We are NEW DOUBLE OCEAN LOGISTICS COMPANY LTD, a registered and licensed clearing and freight forwarding company in Tanzania. We provide cargo and car clearance from dar es salaam port and other ports within Tanzania and transport to their destinated countries at affordable prices. Our...
  6. S

    Naomba kufahamu maana ya Custom duty fee na Import fee

    Naomba msaada nimeona soundcard nzuri Ebay bei yake ni nzuri ukiacha na shiping cost kuna icho nakisikiaga custom fee na Import fee zikoje kwa bidhaa ka hiyo ninayotaka?
  7. init

    Import Duty Tax kwenye Vifaa vya Kielectroniki, Kama ilivyosemwa na Mh Nape Mnauye(Simba wa Vita) mnamo tarehe 14th March 2022, Siku 365 za Rais Samia

    Awali ya yote nipende kuwashukuru, Siku ya leo Nimepata maswali kidogo mara Baada ya DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa (Import Duty Tax) ya Tarakilishi mpakato ama Computer, Nilijaribu kurejea Hotuba ya Mh Nape,Tarehe 14 ya mwezi Marchi katika maadhimishi ya Wizara ya Teknolojia ya...
  8. jollyman91

    Hezbollah’s import of Iranian fuel into Lebanon perplexed US admin, says deputy chief

    The deputy secretary general of Lebanese resistance movement Hezbollah says the group’s import of Iranian fuel into Lebanon perplexed the US administration and its siege on Lebanon. In an interview with al-Manar TV Channel on Friday, Sheikh Naim Qassem said the Iranian fuel shipments prompted...
  9. C

    Tanzania yauza bidhaa nyingi Kenya kuliko ilizonunua kwa mara ya Kwanza

    Kwa mara ya kwanza Tanzania yauza bidhaa nyingi Kenya na kuimports kidogo # source the citizen and Central bank of kenya ===== Tanzania’s exports to Kenya have exceeded its imports to the East African Community (EAC) partner state for the first time in decades, signalling improved trade flows...
Back
Top Bottom