Yanayojiri Kesi ya Mbowe na Kauli tata za Serikali - Katiba Mpya ni Hitaji la Dharura sana

Hako kajamaa kwenye sufuria kamekenua meno na hako kamalaya kamevaa bikini vinanchekesha sana yani sijui,,,, huyo mchoraji ni msenge aisee

Wao wanaita kuwa wanayo dunia yote mifukoni mwao. Kwa kasi zaja siku ambazo tutabadilishana majengo.

Mshitaki atakuwa mshitakiwa.

Mbona tutaelezana waliko kina Lijenje, Ben, Azory na wote wengine? Tutaelezana nani walikuwa kwenye viroba na na nani walikuwa taratibu wa kuuwa wengine.

Sabaya anawakilisha. Yule mwingine naye anasemekana analetwa mpera mpera.

Wacha tusubiri. Yajayo yanafurahisha.
 
mzee,acha matusi,mimi niwe bashite, wakati hapa nashangilia anavyotaka kutundikwa kizimbani?

Hata mijizi ikipigiwa ukelele wa mwiziii, nayo hupiga kama huo huo kwa kwenda mbele yanavyotokomea gizani.

Hakuna jipya hapo.

Cc: babylata
 
Hata mijizi ikipigiwa ukelele wa mwiziii, nayo hupiga kama huo huo kwa kwenda mbele yanavyotokomea gizani.

Hakuna jipya hapo.

Cc: baby pllata
bashite hana akili ya kuandika haya ninayoandika chief. pia bashite sio mwanasheria kama nilivyo, peruse charts zangu utajua. kuniita mimi bashite ni tusi kubwa sana. bora ungeniita hata kingwendu tu.
 
bashite hana akili ya kuandika haya ninayoandika chief. pia bashite sio mwanasheria kama nilivyo, peruse charts zangu utajua. kuniita mimi bashite ni tusi kubwa sana. bora ungeniita hata kingwendu tu.

Hukuwahi kusikia ya kwamba nyani haoni ku*dule?

Basi unapita mule mule 😁😁.
 
Kauli hii ni rasmi ya serikali:

View attachment 2025294

Ukichanganya na mfano wa kauli kama hizi (kwenye kesi ya Mbowe) zenye kutokea upande wa serikali:

1. Mahakama si mama yako,
2. Waraka wa mshitakiwa kama nyenzo yake kujitetea ni "takataka,"
3. Mtake msitake mawakili wa serikali ni mawakili wa mahakama,
4. Washitakiwa rumande au magereza hawana haki zozote,
5. Washitakiwa hawaruhusiwi kuletewa chakula au chochote cha kunywa isipokuwa jumamosi tu,
6. "Sisi tunaingia mahabusu mpaka ndani kuonana nao, ninyi ni kuwabakia nje."
7. Nk

Kwa hakika ni kauli tata, zenye kukosa staha na zenye kujaa ukakasi kuhusiana na haki za msingi za watu.

Tuko katika mazingira ambayo serikali iko kwenye mvutano na raia wake. Mbaya zaidi serikali inahusishwa moja kwa moja kwenye kunyima watu haki ikiwamo kuwabambikizia kesi na hata hukumu.

Vipi serikali ndani ya sufuria basi itegemewe kututendea haki kina yakhe nje ya sufuria hili?

View attachment 2025315

Hivi ni kweli kuwa wakuu wetu hawa hawaioni hali hii ya kutokuwepo kwa uhalali?

Hivi waheshimiwa hawa wakiwamo Rais Samia, Mpango, Majaliwa, Jaji Mkuu, Spika na wengine wote wanaiona hali hii kuwa ni muafaka kabisa?

Hivi waheshimiwa hawa wanapokuwa wanasali wanategemea kuiona pepo hii hii tunayofunzwa kuiona tukiwa tumemtendea jirani yetu kama ambavyo mtu ungependa kutendewa nafsi yako?

Kwa hakika zikizingatiwa pia kauli kama hizi kwa mustakabala mwema wetu sote, mahusiano mapya baina ya serikali na watu wake ni jambo la dharura sana.

Ama hakika tofauti na hapo tunakoelekea kama jamii, itakuwa ni kudhamiria kupaelekea njia panda, kusikokuwa na tija kwa yeyote.
Simbachaweneeee....yana mwisho
 
hizo kauli ni za kawaida, ninyi ni wageni wa mahakama. hata mahakama huwa inaongea sana hivyo ata mawakili wa kujitegemea tunaongea sana hivyo wakati mwingine. au unataka nikuletee uamuzi wa mahakama ulioongea hivyo mle ndani? msisumbue akili kuumiza moyo kwa mambo ambayo ni ya kawaida. kesi ya mbowe isije kuwasababishia ugonjwa wa moyo ambao hata mbowe mwenyewe hata pata. ninyi msiojua sasa.
wanasheria pro ccm
 
Nchi ya Ovyo Sana Hii

Matokeo ya kutawala bila ridhaa ya wananchi:

IMG_20211119_091739_123.jpg
 
Back
Top Bottom