Kauli ya Mbowe kuhusu wabunge kujiongezea mishahara ni ya kweli. Mbona hajaitwa na Kamati?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,410
Waliwahi kuitwa na Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge kwa kutoa kauli zilizodhaniwa kuwa zinalibagaza bunge ni pamoja na:-
1. Makonda alipokuwa RC wa DSM. Huyu alisema wabunge wanalala tu bungeni, hakuna wanachofanya.
2. Alexander Mnyeti alipokuwa DC. Huyu sikumbuki alisema nn.
3. Pascal Mayalla mchambuzi na mwandishi nguli wa habari na makala. Huyu alisema bunge halina meno, ni kibogoyo.

Kama Mbowe ameudanganya umma kwa kulibagaza bunge kuwa wabunge wamejiongezea mishahara kinyemela, kwann hii Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge haimuiti Mbowe ili kumhoji?

Kwa vyovyote vile taarifa za Mbowe ni za kweli, hivyo bunge linaogopa kuumbuka , ndiyo maana limetoa kanusho hewa mitandaoni.
 
Waliwahi kuitwa na Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge kwa kutoa kauli zilizodhaniwa kuwa zinalibagaza bunge ni pamoja na:-
1. Makonda alipokuwa RC wa DSM. Huyu alisema wabunge wanalala tu bungeni, hakuna wanachofanya.
2. Alexander Mnyeti alipokuwa DC. Huyu sikumbuki alisema nn.
3. Pascal Mayalla mchambuzi na mwandishi nguli wa habari na makala. Huyu alisema bunge halina meno, ni kibogoyo.

Kama Mbowe ameudanganya umma kwa kulibagaza bunge kuwa wabunge wamejiongezea mishahara kinyemela, kwann hii Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge haimuiti Mbowe ili kumhoji?

Kwa vyovyote vile taarifa za Mbowe ni za kweli, hivyo bunge linaogopa kuumbuka , ndiyo maana limetoa kanusho hewa mitandaoni.
ikipuuzwa tu inatosha,

maana chairman ana pitia nyakati ngumu sana za fedhehea,
na kujulipua ni hulka ya mtu anaepitia hali hiyo,

kama kipindi kile mnyang"anyi wa arachuga alivokua anafayatuka bungeni nyakati zile, kumbe ni kwasababu alikua ana madeni mazito anadaiwa, yalikua yanamdrive crazy....
 
Hili janga la mapunjo kwa wastaafu tunalichukulia poa lakini wastaafu wanateseka mno nawapongeza wote wanajaribu kupigania mambo ya kikokotoo japo naona pamba zimewekwa masikioni.!

Haijulikani mchawi wa hii dhuruma ni nani lakini hakuna namna utaweza kutoilaumu serikali. Hivi ni kweli hawaoni madhila wanayo yapata wazee wetu?

Nimesikia kuna mikataba ya kuongeza utumishi kwa wastaafu japo kuwa umezingirwa na sintofahamu nyingi ikiwemo ya upendeleo uliovuka mipaka.

Cha kujiuliza ni kwanini tusiwasaidie wazee hawa wapumzike na hiyo gharama inayokusudiwa kutolewa ili kuwalipa wastaa basi tutoe ajira mpya ambapo tutapata watendaji wa muda mrefu ambao watalipa kodi na watalipwa pesa ambayo ni nafuu kulinganisha na kuwaajili wazee ambao pamoja na kuchoka lakini watarudi kwasababu kikokotoo kimewakokotoa hawana hali.

Hivi hakuna taasisi inayoweza kuwafuatilia hawa wastaafu?
 
kama kipindi kile mnyang"anyi wa arachuga alivokua anafayatuka bungeni nyakati zile, kumbe ni kwasababu alikua ana madeni mazito anadaiwa, yalikua yanamdrive crazy....
Porojo za akina Ndugai hizi. Kwan madeni yanalipwa na kujilipua??
 
Waliwahi kuitwa na Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge kwa kutoa kauli zilizodhaniwa kuwa zinalibagaza bunge ni pamoja na:-
1. Makonda alipokuwa RC wa DSM. Huyu alisema wabunge wanalala tu bungeni, hakuna wanachofanya.
2. Alexander Mnyeti alipokuwa DC. Huyu sikumbuki alisema nn.
3. Pascal Mayalla mchambuzi na mwandishi nguli wa habari na makala. Huyu alisema bunge halina meno, ni kibogoyo.

Kama Mbowe ameudanganya umma kwa kulibagaza bunge kuwa wabunge wamejiongezea mishahara kinyemela, kwann hii Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge haimuiti Mbowe ili kumhoji?

Kwa vyovyote vile taarifa za Mbowe ni za kweli, hivyo bunge linaogopa kuumbuka , ndiyo maana limetoa kanusho hewa mitandaoni.
4. Prof Assad, alisema "huo ni udhaifu wa Bunge"
 
Waliwahi kuitwa na Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge kwa kutoa kauli zilizodhaniwa kuwa zinalibagaza bunge ni pamoja na:-
1. Makonda alipokuwa RC wa DSM. Huyu alisema wabunge wanalala tu bungeni, hakuna wanachofanya.
2. Alexander Mnyeti alipokuwa DC. Huyu sikumbuki alisema nn.
3. Pascal Mayalla mchambuzi na mwandishi nguli wa habari na makala. Huyu alisema bunge halina meno, ni kibogoyo.

Kama Mbowe ameudanganya umma kwa kulibagaza bunge kuwa wabunge wamejiongezea mishahara kinyemela, kwann hii Kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge haimuiti Mbowe ili kumhoji?

Kwa vyovyote vile taarifa za Mbowe ni za kweli, hivyo bunge linaogopa kuumbuka , ndiyo maana limetoa kanusho hewa mitandaoni.
Wapi papaa Pascal Mayalla?
 
Back
Top Bottom