Kama ubongo wako ungekuwa na mawasiliano na viungo vingine ungetambua kuwa kama raia wamekosa imani na polisi mpaka JWTZ ndio wanafanya kazi ya kulinda amani katika shughuli za kiraia na sio kulinda mipaka hiyo inaonyesha kushindwa kwa watawala. Na sio jambo la kujivunia unaposhindwa kutawala kwa taratibu za kisheria mlizojiwekea.kama hujui hawa wajeshi wako hapa kuweka mambo sawa kama kule mtwara kwahiyo mjibehave.na hao wakubwa wa cdm wako kwa RC kuwekwa sawa ili shughuli isiharibu ikawalazimu wajeshi kutoa mkong'oto.
No one can confidently say that he will still be living tomorrow.
Kama ubongo wako ungekuwa na mawasiliano na viungo vingine ungetambua kuwa kama raia wamekosa imani na polisi mpaka JWTZ ndio wanafanya kazi ya kulinda amani katika shughuli za kiraia na sio kulinda mipaka hiyo inaonyesha kushindwa kwa watawala. Na sio jambo la kujivunia unaposhindwa kutawala kwa taratibu za kisheria mlizojiwekea.
hivi wewe mvaatai hizi habari anakwambia nani?ujue humu kuna watu wenye upeo wa mkubwa,hizi story zinakuexpose na kukuacha wazi.
Acha uzandiki wewe mwigulu anawatesa kisiasa ndiyo maana mnamwandama lakini kumbukeni mnavyomwandama ndiyo mnazidi kumpandisha chati kisiasa.Maneno ya Mwigulu Nchemba yametimia... "Msipochagua ccm, mkachagua chadema, mtakufa" Ukitazama mikutano ya juzi ya kufunga kampeni ni wazi kwamba wananchi walichagua CHADEMA... Wamekufa
Mtwara watu walikimbilia hospitali kupata hifadhi na usalama wao badala ya kukimbilia polisi, Arusha na sehemu nyingi tu polisi wanakataliwa na wananchi, hili jeshi lina nini hasa? inavyoonekana limebaki kama kichaka cha kufichia wezi, kuficha majangili, majambazi, wauza unga na bangi, kwa nini basi lisifumuliwe?