Mgogo Mmoja
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 332
- 336
Kwani lugha yetu ya taifa ni Kifaransa au Kiingereza?
Kwan Wee ni wa Taifa gan...
Kwani lugha yetu ya taifa ni Kifaransa au Kiingereza?
Nimefurahi kusikia kwamba kutoka kwa Mwanasheria Mstaafu wa Kenya, Amos Wakko kwamba Kenya nafasi nyingi mfano: Katibu Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Jaji Mkuu, Wakuu wa Taasisi zote za Umma, wanaomba ajira kama wafanyakazi wengine wowote wale. Na Interview kwa nafasi muhimu mfano Jaji Mkuu hufanywa kwenye TV Live. Hii ni jambo muhimu sana, tunahitaji kuwa nalo maana rushwa na wizi wa rasilimali utapungua katika Ofisi za Umma. Kila mtu yuko huru kufanya kazi kwa utaalamu bila kuogopa aliyemteua...
lazima watoke nduki. chezea kikristo wewe
Swali zuri sana,Sitta amesahau kuwa yeye ni Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba na si Mwenyekiti wa Bunge Maalum la CCM la Katiba,Wanajamvi.
Mtikila anamchana live Mh. Sitta kwa kauli yake ya nitawakomesha wale wote wanaopinga muungano. Mch. Mtikila amesema mengi ila kubwa ni jinsi gani na namna gani atashughulikiwa. Anauliza atashughulikiwa kama Dr. Ulimboka, Dr. Mvungi, Mwangosi au mwingine aliyeteswa na CCM.