Swala la shule za kina Kayumba/kata inabidi ubora wake usiisitizwe kwenye hii katiba. La sivyo hata wakalimani tutashindwa kuwazalisha.
Japo sipendi ushabiki wa kisiasa naa mini mwigulu yuko vzr, labda useme Sendeka, Lukuvi na wasira hao na shaka nao
Summury: kauli iliyo tolewa na mwenyekiti wa bunge maalumu siku kadha zilizo pita kuwa wachache wanao upinga muungano watashughulikiwa imechuku sura mpya baada ya mchungaji mtikila kutoa msimamo wake kwenye semina inayo endelea bungeni kwa kutoa tahadhari kuwa watanganyika ml48 wenye kutaka maendeleo na mamlaka ya nchi yao Tanganyika hawaogopi CCM (ml2) wanao utunza muungano kwa maslahi yao binafsi na pia amehoji namna ya kushughulikiwa huko akisema "je ni kama alivyo shughulikiwa mh Kolimba Dr mvungi au Dr ulimboka?"
Wakati bwana Okao kutoka Kenya akiendelea kuelezea uzoefu wake kuhusu katiba ya Kenya na kutaka watanzania wajifunze kupitia Kenya, mtaalam huyu amekuwa akitoa maelezo hayo kwa njia ya kimombo na baadae kutafsiriwa, baadhi ya wajumbe wamemuomba M/Kiti ili mtaalamu huyo endelee tu kwa lugha ya kimombo kwa vile wengi wanafahamu. wakati Mwenyekiti akihoji kuwa endelee kwa lugha ya kimombo Mh Seif Ali Iddi amepeleka kichwa chake kushoto na kulia akiungana na baadhi ya wajumbe kutaka iendelee kutafsiriwa.,
Inabidi wapigwe quiz alafu akifaulu ndio wapewe posho
Wacha masihara mzee profesa maji marefu hajui kidhungu? Huo uprofesa aliupatia wapi?
WanaJF,
Katika hali ya kushangaza bungeni, mch Mtikila ametokea kukurupuka na kuingizia mambo ambayo hayahusiki katika mjadala unao endelea bungeni kwa sasa ambao ni kuhusu semina ya uzoefu wa nchi ya Kenya katika kuandaa katiba yao.
Mchungaji Mtikila bila ya aibu ametokea kuingizia mijadala mingine kabisa ambayo haina mahusiano ya kile ambacho kinajadiliwa bungeni na kupelekea kutokea kwa hali ya taharuki miongoni mwa wajumbe wa bunge maalumu. Jambo ambalo limemdhalilisha sana Mtikila.
Kubwa ambalo Mtikila alikuwa anang'ang'ania ni kupigania Tanganyika bungeni eti akidai kuwa kuna vitisho kutoka kwa mhe Sitta vya kuwashughulikia wale watakao ipigania Tanganyika kama ambavyo Dr Ulimboka, Dr Mvungi na Kibanda walivyo shughulikiwa. Jambo ambalo limepingwa vikali na Mhe Sitta kwa kumwambia yeye kama Mwenyekiti atatumia kanuni za bunge na sio vinginevyo katika kushughulikia hoja.
My take,
Mhe rais Kikwete amefanya makosa sana kuteua watu ambao vichwani mwao haijulikani kama ni wazima ama lah.
Hivi huyu Mtikila anashindwa kuelewa kuwa kuna mjadala wa semina na pia kuna mgeni!? Tanganyika nani anaitaka? Kama sio yeye na CHADEMA tu?
Katika namna ya kipekee leo Mch C. Mtikila amemuonya mwenyekiti kuhusu kauli kuwa watu wasiotaka muungano watashughulikiwa. Ameuliza jee watashughulikiwa kama Kolimba? Au Dr Mvungi, Ulimboka au kwa namna gani. Ameweka wazi kuwa kwa vile yeye yuko wazi kuwa haungi mkono muungano huu uliopo sasa wa kuipoteza Tanganyika hivyo tishio hilo la kushughulikiwa ni wazi ni kwake yeye. Kama mawazo ya wengine hayasikilizwi bali ya kikundi cha watu wachache (CCM) anafikiria kufungasha virago na kurudi Dar ili kuendelea na shughuli zingine kuliko kushiriki Bunge linaloburuzwa kwa maslahi ya watu wachache. Pamoja na Sitta kuipoza hoja hiyo kwa kusema Mtikila asiwe na wasiwasi, lakini maelezo ya Mtikila yameleta damage kubwa katika uhuru wa uendeshaji wa bunge hilo.
Jee kama kuna kutishana kushughulikiwa inakuwaje kwa wale wajumbe legelege wasio na msimamo thabiti kama Mtikila? Watawezakufanya kazi tuliyowatuma?
Sent from my iPad using JamiiForums