Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Amos Wako anaonekana ni mtaalamu kweli... Hasomi sehemu anamwaga tu toka kwa kichwa...
Malizia kuwa anamwaga kama Doctor wa ukweli Slaa...Subiri sasa uone kesho mtu anavyokariri!
Amos Wako anaonekana ni mtaalamu kweli... Hasomi sehemu anamwaga tu toka kwa kichwa...
Ni kweli waliomuuwa ni ccm....mods nmeweka uzi wangu unavyoeleza dr.mvungi alivyouawa na ccm mnatoa uzi wangu..w.a.s.h.e.n.z.i wakubwa nyinyi
Ni kweli waliomuuwa ni
ccm....mods nmeweka uzi wangu unavyoeleza dr.mvungi alivyouawa na ccm
mnatoa uzi wangu..w.a.s.h.e.n.z.i wakubwa nyinyi
Kwa hiyo sisi Ulaya hatukujui sio?Kenya walileta baadhi ya watalamu kutoka ulaya. Fuatilia acha kulalamika.