Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,683
Hivi anaweza kugombea tena ubunge na watazania wa Bariadi wakampitisha kwa "Kishindo"?
Ukistajabu ya Musa kweli utaona ya Firauni.
umesahau walimpokea kwa red carpet last time
wasukuma ni wa ajabu mkuu, usishangae