Mkuu sijakuelewa,kalia kuambiwa ukweli kuhusu dili la ndege au?
Mzee ameongea mpaka nimejisikia vibaya.mwacheni chenge apumzike sasa.
Kapewa makavu na Mdee.
asa hii nchi tunaenda wap
CHENGE ana roho mbaya sana ! Hivi huyu jamaa ana ndugu kweli jamani ? Maana sijawahi kuona dadake chenge au hata kaka yake .
Chenge ni kaka yake FaizaFoxy
.... Apumzike Kwa Kazi Gani Aliyofanya, Ya Wizi? Jambazi Mkuu Yule