Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

kuna umuhimu NEC ikaweka sheria ya wagombea ubunge angalau awe na digrii moja.maana mazombi ya kusinzia bungen hayaelewi kinachoendelea nchini yamebakia kusifia ujinga tu bungeni
 
Chenge bila aibu kasimama na kumwambia atoe ushahidi.
Huyu Mzee ni Mkosi kabisa.
 
Nawalaumu wazee waliochekelea kuangushwa azimio la Arusha na kukubali utawala uwe mwendo wa freestyle piga unavyoweza hakuna wa kukufunga wala wa kukufilisi
 
Lema: Kama ningeweza kupendekeza pia kwenye Amri Kumi za Mungu, ningependekeza iongezwe amri ya 11 inayosema 'USIWE CCM'

hii sio kauli tata. ni kauli ya ukweli kwa mtanzania halisi anayeguswa na hali halisi ya maisha nchini mwake na maisha yake yajayo.
 
Hivi huyu Chenge ni nani ndani ya nchi hii hadi kila wizi unaofanyika lazima ahusike?
 
kuna umuhimu NEC ikaweka sheria ya wagombea ubunge angalau awe na digrii moja.maana mazombi ya kusinzia bungen hayaelewi kinachoendelea nchini yamebakia kusifia ujinga tu bungeni

sasa wewe unatafuta ugomvi na akina asumpta na lusinde
 
wakuu mchawi wetu ni ccm
futa ccm popote na kwa njia yeyote utakayoona inafaaa


_kuna mbunge kasema laiti kama wananchi wangejua ccm inavyoiba basi hata kitongoji wasingeshinda hataaa
 
Back
Top Bottom