Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Pamoja mkuu,sasa mzee mapesa cheyo,ndio anaongea kuhusu mgogoro wa kikatiba kuhusu tanzania bara kutopitisha bajeti yake bila bunge kuwa na akidi ya zanzibar.
Jambo ambalo limemlazimu AG kusimama ili kulitolea ufafanuzi lakini imeshindikana na kiti kimemwambia kulirudisha kwenye kamati ya mambo ya katiba ili kulijadili kwa weledi.
Suala la mgogoro wa Kikati kuhusu kupitisha Bajeti litakuwa baya zaidi endapo tu Katiba inayopendekezwa itapitishwa katika kura ya maoni.Katiba Inayopendekezwa iliyoandikwa na Chenge,Ibara ya 132(6),Rais anapewa madaraka ya kulivunja Bunge kama bajeti au muswada hautapitishwa na Bunge.Dawa ya tatizo hili ilipatikana kupitia Tume ya Warioba Ibara ya 122(6) lakini Sita na washirika wake akina Chenge wameliondoa pendekezo hilo.Mgogoro huu wa Kikatiba ni mwanzo tu,tutaona mengi zaidi.....Kama Bunge lingekuwa na meno mikataba mibovu ingeletwa mezani kujadiliwa na waliotenda uharamia huo wangewajibika haraka kisheria.Kwa nini kila wakati awe Chenge tu?Kuna nini hapo?
 
Chenge tumwaadhibu sisi wananchi wenyewe kwa style ile ya vibaka wa mitaani(visha tairi then...).
 
Hali hii bado wapinzani hawajachukua nchi siku wakichukua tutayajua mengi pengine hata nchi ilishwa uzwa ila hatujaambiwa tu
 
Haya mambo yanayofanywa na wanaccm hata mwovu shetani amebaki kinywa wazi !
 
huyu Chenge ni mtu wa kumkatakata vipande na kuwapa mbwa wale
 
Alishasema yeye ni tumbili hivyo hata hili pia ataliruka bila wasiwasi.
 
Chenge hata akiamua kugombea urais kwa tiketi ya CCM atapitishwa tu maana ndio kila kitu kwa CCM na huwa wanamwamni sana na ndio maana kila dili chafu lazima awemo maana huwa wanaenda kuomba ushauri kwake.Inaonyesha huyu mzee huwa hachezi mbali na madili ya pesa!!
 
Sasa huu ndio wakati muafaka kwa wazalendo wote nchini kuhakikisha ccm inang'olewa bila huruma , Taifa limekongoroka utadhani FIAT !
 
Eti serikali imeanza kulipa watumishi wake moja kwa moja kwenye account zao kuanzia mwaka jana mwezi wa saba yaani July 2014.
Mwigulu nchemba huyu.
Huyi jamaa kumbe mweupe kweli au ndo desturi ya viongozi wetu.Mibinafisi nimelipwa direct kwenye account yangu kuanzia mwaka july 2008 hadi sasa kupitia account ya NMB nikiwa geita.Na nina ushahidi wa kutosha kuwa kuna washikaji tulikuwa nao chuoni mwaka 2008 hadi 2011 wamelipwa mishahara hewa mudawote ule.
Leo migulu anakataaa kwamba oho waziri huyu hakuwepo.hivi maana yake ni nini kachukua hatua gani sasa yeye baada ya kuyakuta haya.puumbafu!
 
Alishasema yeye ni tumbili hivyo hata hili pia ataliruka bila wasiwasi.

CHENGE ana roho mbaya sana ! Hivi huyu jamaa ana ndugu kweli jamani ? Maana sijawahi kuona dadake chenge au hata kaka yake .
 
FaizaFoxy Chenge ni mmoja kati ya maaliwatani wa ccm, hawagusiki na kamwe hawatajiuzulu kwa unajisi wanaolitendea taifa letu
 
Last edited by a moderator:
Siku zote nilikuwa najiuliza kwann watu wa nchi hii ni maskini!leo nimepata jibu la uhakika,wizi wa watawala!
 
Back
Top Bottom