Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Ingekuwa China Chenge tungekuwa tumeishamsahau kitambo kama sio kunyongwa angekuwa anaozea jela.
 
Wizi umekithiri serikalini ndio maana wasomi,maprofesa wanakimbilia siasa ili waingie serikalini wakaibe kisomi. Sisi wafanyakazi tunabebeshwa mzigo mkubwa wa kodi ili mradi tufidie hasara ya wizi uliofanywa na viongozi serikalini. Mtu tuliyempa dhamana ya serikali ndio huyo ameshindwa kuwawajibisha wahusika kiasi kwamba tunapata mashaka kuwa anashirikiana nao,iko siku unga na maji kipi kitazama!
 
afu hichi kikundi cha ccm ni mjitu yenye rrroooho mmbayya sana.. eti wameamua kuivuruga ITV isionyeshe vipindi vyake kwa uklia halisi (QUALITY VIEW) LKN jana wakaonyesha zile sherehe zao za kuzaliwa ambazo tarehe ya kuzaliwa bado haijafika wao wameshereheka kabla.. na ITV wakaonekana muonekano safi kabsa.
hiii inanipa picha kwamba hata sherehe za mwisho wa utawala wao wa kitwaghuti watazifanya mapema sana kabla hatujawaswaga.
 
Back
Top Bottom