Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Polisi yetu bado inafuata matakwa ya mtawala,ni sawa na polisi wa kikoloni.Hili la kutumia polisi kuleta mikataba ni porojo ili liende.Ni kama alivyosema mkuu mmoja "ni upepo tu...utapita" Reformation inahitajika kwa kuanza na sheria mama ndipo vyombo vingine vya dola.Na hapa itafanyika endapo tu tutapata Rais mzalendo wa kweli.

Well said mkuu,
Ila nimeamini simon group iko na mkono wa ikulu.
Nasema hayo kwani nimeshuhudia leo kiti pamoja na AG wakitumia kila aina ya mbinu,na kwa nguvu za ziada kuwazuia wachangiaji kuhakikisha haijadiliwi bungeni pamoja na ushahidi kwamba kesi zilizoko mahakamani mlalamikaji ni manispaa na sio simon group😱
 
Well said mkuu,
Ila nimeamini simon group iko na mkono wa ikulu.
Nasema hayo kwani nimeshuhudia leo kiti pamoja na AG wakitumia kila aina ya mbinu,na kwa nguvu za ziada kuwazuia wachangiaji kuhakikisha haijadiliwi bungeni pamoja na ushahidi kwamba kesi zilizoko mahakamani mlalamikaji ni manispaa na sio simon group😱
Do you think who will bell the cat under CCM sphere? Rashid alisema katika Kitabu cha "KULI" yana mwisho!
 
Halima Mdee kaambiwa alete ushahidi, tusubiri. Kiherehere chanini?

Ndvyo ulivyofundishwa? Je ushahidi wa Lema kuwa waziri mkuu alisema uwongo hadi leo pana lolote? Nenda katafute taarifa ya ununuzi wa rada toka UK uone maswali gani aliulizwa Chenge na nini kilipendekezwa kwa serikali.
 
Ndvyo ulivyofundishwa? Je ushahidi wa Lema kuwa waziri mkuu alisema uwongo hadi leo pana lolote? Nenda katafute taarifa ya ununuzi wa rada toka UK uone maswali gani aliulizwa Chenge na nini kilipendekezwa kwa serikali.

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Halima Mdee kaambiwa alete ushahidi, tusubiri. Kiherehere chanini?
 
Huyu ana stress za kuukosa ubunge october 2015.

Asamehewe tu.
Ktk hili wewe uko upande upi? Ama ww ni waziri yupi ili tukufahamu? Maana kwa majibu yako ktk hili unadhihirisha ya kwamba Lema kakuudhi sana kwa uchangiaji wake huu juu ya hao mawaziri.yeye Lema ameshatimiza wajibu wake kama mbunge kukosoa juu ya yale maovu aliyoyaona kuhusiana na mawaziri pamoja na watendaji wengine pia,anao uchungu wa kubadili utendaji wa hao watu,hivyo ndivyo tulivyomuelewa.je na wewe tukuelewe kwamba umetimiza wajibu wako kama nani ktk huu uchangiaji wako?
Kwamba hauna uchungu na hii nchi mambo yanavyokuwa yanakwenda hovyo,kwamba haukubaliani na wanaotetea ama kukosoa watendaji???
 
Hivi kwa nini kila anapochangia Lema anainama na kushikilia meza? Halafu haangalii mtu yeyote? Anaona aibu gani? Na kuinama kwake kunamkumbusha nini?

eti huyu nae ni hazina kwa ccm,tumekwishaaaa.poor minded people ndio type hii
 
!
!
na amri ya kumi na mbili ingekuwa uwachukie polisi, kwa roho yako yote, kwa moyo wako wote na kwa akili zako zoote. Maana hata chembe ya kuwapenda ni laana kubwa zaidi ya laana alitopewa nyoka kule eden.
 
Back
Top Bottom