Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Hata ningerudia kuisoma mara mia hii habari, nisingeielewa.
 
Eti serikali imeanza kulipa watumishi wake moja kwa moja kwenye account zao kuanzia mwaka jana mwezi wa saba yaani July 2014.
Mwigulu nchemba huyu.
Huyi jamaa kumbe mweupe kweli au ndo desturi ya viongozi wetu.Mibinafisi nimelipwa direct kwenye account yangu kuanzia mwaka july 2008 hadi sasa kupitia account ya NMB nikiwa geita.Na nina ushahidi wa kutosha kuwa kuna washikaji tulikuwa nao chuoni mwaka 2008 hadi 2011 wamelipwa mishahara hewa mudawote ule.
Leo migulu anakataaa kwamba oho waziri huyu hakuwepo.hivi maana yake ni nini kachukua hatua gani sasa yeye baada ya kuyakuta haya.puumbafu!

Hueleweki, Mwigulu yuko humu humu, weka ushahidi wako hapa ataujibu.
 
cheyo naye aache unafiki si alikuwepo kwenye bunge la katiba akaitetea sasa hivi kaangalia upepo ndio anajifanya kulalamika
 
Elimu hovyo,afya hovyo, michezo hovyo,ajira za mjuano,maliasili zinavunwa ila nchi bado masikini,maofini rushwa kibao,ufisadi wakukifu n.k. hivi tunaviongozi au tuna matapeli?

Inasikitisha kwakweli...
 
Sio mbwa huyo ni wakuchomwa moto maana mbwa wataingiwa na tabia zake
yaani hata kochomwa moto hafai aisee maana moshi wake utatapakaa juu ya dunia na kila kiumbe hai kitakachopatwa na huo moshi hakika kitaridhi tabia yake.
 
... Huyu Mzee Ametapatapa Hadi Nikamuonea Huruma. Eti Anadai Ushaidi.! Wakati Ushaidi Upo Wa Kutosha
 
Mdee kasema huyu mzee ni rafiki yangu lakini leo nimeamua kumtosa kutokana na tabia yake

Nimemsikiliza Halima mwanzo mwisho. La kwanza amenidhibitishia yale maneno yaliyo mitaani kuwa Simon Group aliyemilikishwa UDA kuwa ana support ya Ikulu kama ofisi au familia. Pili nimegundua kuwa ujasiri wa Halima na uwezo wa kusema ukweli kama Mbunge wangekuwa nao walao wabunge 20 tuu kutoka chama tawala basi lazima nchi ingekuwa sehemu nyingine zaidi ya hapa.
Ni ukweli ulio wazi kuwa nchi hii imefika hapa ilipo kutokana na uzembe na ujinga wa wabunge wa CCM kujivua wajibu wao na kuvaa wajibu wa utetezi kwa serikali.
 
.... Nampongeza Sana Chenge Kwa Kupiga Hela Za Wajinga, Ama Kweli Wajinga Ndio Waliwalo. Watanzania Tuendelee Kulala Tu..!
 
Pamoja na kuwa Naibu waziri wa fedha mwingine Bw Malima kuwa muhuni lakini ukweli ni kuwa anao uwezo mkubwa katika kujadili jambo zaidi ya mwenzake Bw Mwigulu. Mie nashangaa sana watu wanao mshabikia Mwigulu maana katika kujadili hoja za kitaalamu ni mweupe kabisa kabisa, huyu wamuachie mambo ya propaganda na vijembe vya rejereja visivyohitaji weledi.
 
Back
Top Bottom