Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
acha tuu ajitambe ndugu yangu ila mambo haya siyakujitapa.. ila nimetumia mtoto kwasabau alikua anaongelea watoto na pia sijui jinsia yake usije kuta mwanaume.. aaah kumbe hata wanaume siku hizi wanaeza wakawa michepuke ya wake za watu nlikua nimesahau..
Kuna wanaume ni michepuko ya wame za watu pia.