Aisee huu ushauri umenibadilisha sana kifikra.Mkuu pengine hujui maana ya ushenzi ila ukiutambua pasi na shaka utajua kuwa mkeo ni mshenzi mkubwa!Nasikitika kukuharifu kuwa unaishi na mshenzi ndani.Tena kwa kosa hilo inatosha kumuacha kabisa.
Mke anayejiheshimu vijana wabakaji aliwajulia wapi?Mwanamke katili huyo unawambia watu wamuheshimu ebooooo!.
Segerea inawangoja wewe na huyo mshenzi.
Aisee huu ushauri umenibadilisha sana kifikra.
Ninafanyia kazi vitu vingi sana sasa, naamini hii hatua itatibu ndoa either iimarike ama isiwepo maana hata punda ukimzidhishia mzigo haongezi hatua tena akizidiwa.
Nashukuru kwa maoni
Mkuu wikend nilikuwa mbali na devices hivyo sikuweza kusoma posts na kuzijibu.Nilikua nayasubiri majibu yako kwa siku mbili hizi zote!.Nashukuru kuona umelitambua hilo
Mkuu mke mwenyesifa hawezi kujuana na kushirikiana na Magenge ya kihalifu kwa namna hiyo.Mkaloshe kitako akueleze vizuri
Wakuu mmenifungua akili sana.
Hili suala limenifedhehesha sana ila narudia kusema kwamba sina nia wala kusudio la kuruhusu unyama dhidi ya yule binti ingawa kugomea kwangu kushiriki na kuuzuia mpango huo imeonekana namkwepesha na ninamakusudio ya kuendeleza uhusiano.
Eleweni mzigo wa matukio na mazingira unaonikabili. Mnaonilaumu na kunilaani kwa kuchepuka kwangu siwaoni kama mnanibeza, ni haki yenu maana huo pia (kulaumu) ni ushauri, ila kwa kuwa kibinadamu tunakuwa na mema na mabaya, lakini kikubwa ni kujutia na kuacha mabaya.
Nilikua nayasubiri majibu yako kwa siku mbili hizi zote!.Nashukuru kuona umelitambua hilo
Mkuu mke mwenyesifa hawezi kujuana na kushirikiana na Magenge ya kihalifu kwa namna hiyo.Mkaloshe kitako akueleze vizuri
Mkuu hakuna chuo cha kutongoza na pia kumbuka kuwa kesi zote za jinai huendeshwa kortini ila mipango ya kijinai hufanywa sirini. Thus sijaja kuomba ushauri endapo nataka kuchepuka ila nimepata tatizo ndo natafuta ushauri namna ya kulimaliza tatizo hilo.......Kabla hujaanza kuchepuka mbona hukuja kuomba ushauri,.....
Ni Mpare
AiseeWewe ni mwanaume, simama kama mwanaume, sio unapelekeshwa na mwanamke as if wewe ndio umeolewa wakati umeoa. Mwanamme kamili anakua na misimamo yake hata kama amekosa. Mwanamke hawezi kukupa hoja utumbo hiyo halafu unakosa muafaka unaomba ushauri, uanaume wako ni nini? kuvaa suruali na kuchepuka hovyo...!! kama huwezi kutatua matatizo ya kubambwa ukichepuka, acha michepuko. Wanaume kutwa wanachepuka lakini hawaji kuomba msaada hapa wakibabwa maana ni hulka zenu kuchepuka.
Nilikua nayasubiri majibu yako kwa siku mbili hizi zote!.Nashukuru kuona umelitambua hilo
Mkuu mke mwenyesifa hawezi kujuana na kushirikiana na Magenge ya kihalifu kwa namna hiyo.Mkaloshe kitako akueleze vizuri
[/QUOTE]Wewe ni mwanaume, simama kama mwanaume, sio unapelekeshwa na mwanamke as if wewe ndio umeolewa wakati umeoa. Mwanamme kamili anakua na misimamo yake hata kama amekosa. Mwanamke hawezi kukupa hoja utumbo hiyo halafu unakosa muafaka unaomba ushauri, uanaume wako ni nini? kuvaa suruali na kuchepuka hovyo...!! kama huwezi kutatua matatizo ya kubambwa ukichepuka, acha michepuko. Wanaume kutwa wanachepuka lakini hawaji kuomba msaada hapa wakibabwa maana ni hulka zenu kuchepuka. E=Msanii;12039057]Mkuu hakuna chuo cha kutongoza na pia kumbuka kuwa kesi zote za jinai huendeshwa kortini ila mipango ya kijinai hufanywa sirini. Thus sijaja kuomba ushauri endapo nataka kuchepuka ila nimepata tatizo ndo natafuta ushauri namna ya kulimaliza tatizo hilo.
u r sooo weak! Be man pliz! Sorry to say this!leo ahsubuhi ninampeleka kazini. Anatoa machozi nikimuuliza hataki kusema, baadaye amenipigia anasema kuwa ninamkwepesha yule binti hivyo bado ana uhakika naendelea naye.
Kiufupi ni kwamba anayo namba yake na wameshawasiliana sana na ameshapafahamu kwao. Najiuliza kwa nini anihusishe mimi ktk mpango wa kijinai?
Dah huyo waifu wako balaa,pengine ukigoma anaweza akageuza kibao ubakwe wewe sasa