Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Safiiiiiiiiii napeda watu wenye misimamo kama wewe.
Unajutia nini? Mke wako ni mshenzi wa hali ya juu, na hawa watu wawili waliojibu "mpeleke" huyo binti ni washenzi pia. Jamani kuna watu WABAYA humu JF. Unaokoa ndoa yako kwa kuharibu maisha yote ya mtu mwingine? Napata hasira sana kusoma uzi huu...

Na hata wewe inaonekana wasiwasi yako ipo zaidi kwenye suala la kukamatwa na kutuhumiwa kosa la ubakaji. Sidhani kama kweli unamjali huyo binti maana kama unamjali ungemkomesha mke wako mara moja baada ya yeye kusema binti abakwe mbele yake.

Basi endeleeni na roho zenu chafu, ila namwomba mungu siku ambayo kitu chochote kibaya kitakachotokea juu ya huyo binti kwa sababu ya mke wako, wote muende motoni.
 
Akitaka aende kwao ndio sio lazima mzikane. Kumbuka wewe ndio ulimtongoza huyo binti sasa umpeleke abakwe yeye kakosea nini? Ingekuwa mimi namuacha mke asepe nioe mchepuko ila kumdhalilisha siwezi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Daaa! Mkeo ni nooma ila akumbuke huyo dada alitongozwa kama alivyotongozwa yeye maskini ya mungu inawezekana hata hukumwambia kama umeoa, anachotaka kufanya ni ukatili uliopitiliza cha muhumi endelea kumsihi na umwonyeshe kiukweli umebadilika.

Mume anauma asikwambie mtu lolote uneza fanya kwa hasira.
 
Sema na wewe...watu hawajui kuwa majerui ya mapenzi yanaleta ukichaa...subiri watendwe kama hawajaja na uzi hapa...

Huyu Msanii awe mpole tu huku akiomba Mungu kichaa cha mkewe kiishe salama...

Karikoroga awe tayari kulinywa...

Usicheze kabisa na wivu wa mapenzi...ni kama vita isochagua silaa...

Kuna mama mmoja nilisoma gazetini alimwagia mumewe maji ya moto kuanzia kiunoni...
Kisa mume eti katia timu na mkewe mdogo nyumbani kwa mke mkubwa afu anamwagiza mke mkubwa awaandalie maji ya kuoga...huku bi mdogo ana mji wake ...tena wala si karibu na kwa bi mkubwa...akaona isiwe shida

Bi mkubwa kayachemsha kweli kweli na kumwagia...sijui kama ana function tena yule jamaa...

Ukim-provoke mtu ndio utajua rangi yake halisi...kila mtu ana ukichaa ...tunatofautiana levels tu...
Mwingine ni ngumu sana kukiamsha kichaa chake...wengine ndio kama huyu wife wa Msanii...

Cha muhimu ajitahidi kutuliza hicho kichaa else imekula kwake...


umeongea ukweli ila hapo hamna ndoa tena kwenye love huwa kuna trust ukishaondoa trust basi na love imeondoka pia.ila watu wengi huwa hawajui mi ndio maana huwa sishangai matendo yanayofanywa na baadhi ya kinamama maana najua walishajeruhiwa mioyo yao nimeshuhudia rafiki yangu mme alikufa alivyofika hospitali manesi wanaogopa kumwambia kwamba mmewe amekufa akawaambia niambieni msiogope ikabidi wamwambie walishangaa baada ya kuambiwa akaanza kupigia watu simu baba fulani amekufa! yaani moyo wa huyu mama ulikufa ganzi kitambo alikuwa anaishi kwa ndoa coz ya watoto ila kulikuwa hakuna love kifo cha mmewe kilikuwa ahueni kwake. So vijana wetu wa kiume angalieni jinsi mnavyoishi na wake zenu maana nyie ndio mnaochangia kuharibu mabinti zenu kitabia na ndio maana sasa tunashuhudia mabinti wakiwa hawana utu kabisa yote hii ni waliona mama zao na bibi zao walichokipitia sasa wao wanakuja na defense mechanism.
 
Mmh pole sana jisalimishe kwa wazee.
Au toa taarifa polisi.
Ugoni sio kosa la jinai(kumbuka hajakufumania)
Lakini kushiriki kusaidia mtu kubakwa ni kosa la jinai.
 
Binti yangu wa kuzaa awe nyumba ndogo?...God forbid!
Sina mtoto wa kike lakini ningekuw naye wimbo wangu ungekuwa 'waume za watu ni sumu'...mara mia apige umalaya wote lakini si na waume za watu...nikujiwekea nuksi maishani...

Astaghfirullaah usimkufuru Mungu hivyo! Hata ungeimba vipi Kama. Amempenda ungekuwa unampigia mbuzi gitaa
 
ila tambua utakua umepanga njama ya uyo binti kubakwa na kusheria ww utakua umefanya conspiracy..!!na adhabu yenu inakua ni kifungo cha maisha au miaka 30 jela as per section 130 of the Tanzania penal code..!!
 
Astaghfirullaah usimkufuru Mungu hivyo! Hata ungeimba vipi Kama. Amempenda ungekuwa unampigia mbuzi gitaa

Unaongelea mapenzi...yani unaamini kabinti kanaweza penda lizee...???ni maslahi na ndiyo ningeyakemea kwa kuhimiza mtoto wa kike kuwa independent....

Mapenzi ya crazy in love ni ya watu wa rika moja...huko kwingine unapokuta katoto kako na kizee umri wa dady yake ni kuendekeza dhiki tu...wewe chunguza..anzia na hawa so called super stars wa kibongo...
 
Umenikumbusha mengi uliposema defensive mechanism...yani mfano sisi mama yetu tumemuona kwa macho yetu anateseka kwa kuwa mpole kupitiliza afu na sie tupite njia hiyo hiyo...hell no...tunajifunza thru other people's mistakes..and our mothers' mistake ilikuwa kujishusha hadi uvunguni....

umeongea ukweli ila hapo hamna ndoa tena kwenye love huwa kuna trust ukishaondoa trust basi na love imeondoka pia.ila watu wengi huwa hawajui mi ndio maana huwa sishangai matendo yanayofanywa na baadhi ya kinamama maana najua walishajeruhiwa mioyo yao nimeshuhudia rafiki yangu mme alikufa alivyofika hospitali manesi wanaogopa kumwambia kwamba mmewe amekufa akawaambia niambieni msiogope ikabidi wamwambie walishangaa baada ya kuambiwa akaanza kupigia watu simu baba fulani amekufa! yaani moyo wa huyu mama ulikufa ganzi kitambo alikuwa anaishi kwa ndoa coz ya watoto ila kulikuwa hakuna love kifo cha mmewe kilikuwa ahueni kwake. So vijana wetu wa kiume angalieni jinsi mnavyoishi na wake zenu maana nyie ndio mnaochangia kuharibu mabinti zenu kitabia na ndio maana sasa tunashuhudia mabinti wakiwa hawana utu kabisa yote hii ni waliona mama zao na bibi zao walichokipitia sasa wao wanakuja na defense mechanism.
 
mwambie ulijui ht wapi anapatikana ulishakata contact nae..muheshimu mchepuko wako bana usimpeleke akamfanyie huo upuuzi
 
Nunua box la condom.. njoo nalo home mwambie mkeo aandae wale vijana wawe tayari mueleze unakuja na huyo binti.. ukifika home anakuona peke yako unamwambia upo tayari kufirwa ili ubeba adhabu ya binti mrembo uliyemtongoza.... hapo tu utammaliza nguvu ,.... ila chalii una dalili za kwenda segerea aisee,... umeshindwa mdefend huyo bint mrembo kuwa ulikuwa unavua pete unaficha .... KAMA MBWAI NA IWE MBWAI TU........... kwanni nini? unaishi na mwanamke ananlilia kufanya ukatili aisee huyo mke nikiboko atakutia idole siku kwenye makalio

Duuuh miss chagga we hatari utakua wa mamba tu yani m2 aliwe cz ya mchepuko mimi ujinga huo nakutoa meno ya ghorofani nini ndoa
 
Duuuh miss chagga we hatari utakua wa mamba tu yani m2 aliwe cz ya mchepuko mimi ujinga huo nakutoa meno ya ghorofani nini ndoa

Sasa kama mke anataka mume apeleke binti akapigwe mtungo kama ni raha mume wake ndio apigwe mtungo aone tamu
 
Sasa kama mke anataka mume apeleke binti akapigwe mtungo kama ni raha mume wake ndio apigwe mtungo aone tamu

Hiyo stori ya kutunga 2 yani m2 aliwe kisewa cz mke cjui anataka nimlete mchepuko.hamna ki2 kma hicho hata kma wife angekua igp kwangu no tena akicheza naoa jumla huo mchepuko
 
I bet my bottom dollar jamaa akikubali matakwa ya mkewe the first thing mke atakachosema ni: "niandalie kamera" mke ni shabiki mkubwa wa gang sex

Si mshabiki tu nadhani anaweza kuwa keshawahi shiriki gang sex. Maana mleta mada kuna sehemu kasema "...vijana wake..."
 
Si mshabiki tu nadhani anaweza kuwa keshawahi shiriki gang sex. Maana mleta mada kuna sehemu kasema "...vijana wake..."

that is an intelligent note "vijana wake" inadepict intimacy fulani kati ya mke na hao vijana..jamaa ana shida aisee
 
Back
Top Bottom