Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Mmh uyo mke nae af unamuogopa au mbona kama anakupelekesha uo ukatli usifanye mwambie haiwezekan
 
Mmh. Mkeo mnyama. Tena hana roho ya kibinaadamu kabisa. Ghkaa!!! Aache la kutembea na wewe afikirie kwa mfano mwanawe wa kike afanyiwe hivyo. Atajsikiaje?? Na s kosa la huyo bnt, n wewe ndo ulie mtongoza mdadacwa watu tena kutokana na stress zake. Kama ana hasira sana alete hao vjana wakubake wewe huku yeye akinywa mvinyo.
 
Unataka ajisikie less guilty akati keshamkwaza mkewe...
Kwani wanaokodi wahuni woote nao wahuni???? that is too simplistic ...kuna ugumu gani kukutana na masela wanaotafuta kazi za kufanyizia watu hapa mujini...?????

Mkuu kwa mwanamke mwenyestaha hatawajulia wapi watu wenye haiba ya ubakaji?.Mke anayefanya such agreement hatashindwa kukutoa roho?Hafai kabisa
 
Mkuu kwa mwanamke mwenyestaha hatawajulia wapi watu wenye haiba ya ubakaji?.Mke anayefanya such agreement hatashindwa kukutoa roho?Hafai kabisa

Ukiibiwa mpenzi wako staha inawekwa pembeni mtu anakuwa mnyama kabisa bora hata huyo kasema mwingine haongei anafanya kinya kimya. Kila binadamu akijeruhiwa moyo ana jinsi yake anavyoreact! Si tumeshihudia waume akifumania mke anamfanyizia dume mwenzake na jamii inaona ni sawa mke mchungu jamii inasahau hata mme ni mchungu wake zenu wa sasa wamefuata roho za baba zao ambao ni nyie mnaolalamika.
 
Sema na wewe...watu hawajui kuwa majerui ya mapenzi yanaleta ukichaa...subiri watendwe kama hawajaja na uzi hapa...

Huyu Msanii awe mpole tu huku akiomba Mungu kichaa cha mkewe kiishe salama...

Karikoroga awe tayari kulinywa...

Usicheze kabisa na wivu wa mapenzi...ni kama vita isochagua silaa...

Kuna mama mmoja nilisoma gazetini alimwagia mumewe maji ya moto kuanzia kiunoni...
Kisa mume eti katia timu na mkewe mdogo nyumbani kwa mke mkubwa afu anamwagiza mke mkubwa awaandalie maji ya kuoga...huku bi mdogo ana mji wake ...tena wala si karibu na kwa bi mkubwa...akaona isiwe shida

Bi mkubwa kayachemsha kweli kweli na kumwagia...sijui kama ana function tena yule jamaa...

Ukim-provoke mtu ndio utajua rangi yake halisi...kila mtu ana ukichaa ...tunatofautiana levels tu...
Mwingine ni ngumu sana kukiamsha kichaa chake...wengine ndio kama huyu wife wa Msanii...

Cha muhimu ajitahidi kutuliza hicho kichaa else imekula kwake...


Ukiibiwa mpenzi wako staha inawekwa pembeni mtu anakuwa mnyama kabisa bora hata huyo kasema mwingine haongei anafanya kinya kimya. Kila binadamu akijeruhiwa moyo ana jinsi yake anavyoreact! Si tumeshihudia waume akifumania mke anamfanyizia dume mwenzake na jamii inaona ni sawa mke mchungu jamii inasahau hata mme ni mchungu wake zenu wa sasa wamefuata roho za baba zao ambao ni nyie mnaolalamika.
 
Si tumeshihudia waume akifumania mke anamfanyizia dume mwenzake na jamii inaona ni sawa mke mchungu jamii inasahau hata mme ni mchungu wake zenu wa sasa wamefuata roho za baba zao ambao ni nyie mnaolalamika.
Two wrongs do not make a right
 
Nashukuru kwa yote na wote
 
Binti hana makosa tena km unataka kuishia lupango jaribu kumfanyia hivyo uone
Inaelekea mkeo ana roho ngumu sana na usimuendekeze
 
Nimesoma huu uzi tangu mwanzo anasakamwa mke wa Msanii kwa sana na hii ni ajabu.......kawaida akifanya mwanaume akafumaniwa kauli mbiu ya kwanza utasikia mwanamke anaambiwa kaa chini muyamalize, mara ooh wanaume ndivyo walivyo wazoee, mara oohh mvumilie tu ndivyo wanaume wameumbwa.....akikutwa mwanamke ni zahma ya hali ya juu tena mpaka roho nyingine hutoka wakati wa kushikana ugoni, wanawake wangapi wanatolewa roho zao kwa visa vya mapenzi tena kufumaniwa na mume au bwana....wengine wanaishi na vilema ndani ya ndoa hizohizo kwa kuhisiwa tu kwamba walichepuka na fulani au kwa kusikia tu maneno ya watu wa pembeni...

Ni sawa ni kosa la hali ya juu tena KUPITILIZA huyo binti akibakwa lakini je.....nani kamfikilia huyu mwanamke kama binaadamu tu wa kawaida kama mumewe bila kuweka kwanza UJINSIA wake...lazima atakua ameumia sana KUPITILIZA mpaka kukuomba mumfanyie huyo binti kitendo kama hicho, pengine hujawai kucheat akajua..which means ni mara yako ya kwanza na ALIKUAMINI kuliko chochote hapa duniani.....na kama wewe ni MCHEPUKAJI MZOEFU sidhani kabisa kama huyo mkeo angetoa maamuzi magumu kiasi hicho.

ps; mwisho wa siku Mkuu ni wewe pekee tena hata mkeo hausiki ndio unaeweza kumaliza hili tatizo.
 
Du Huyo Mkeo ni noma.. nakushauri be honest to yourself.. muite umwambie mbele ya wife kuwa ulikosea na umetubu na hupendi kuendelea na mahusiano.. alafu mwambie wife afanye hayo anayoyataka bila kukushirikisha jitoe uone kama tafanya!
 
Kuchepuka bana si kosa ni haki ya msingi ya kila mmoja. Kosa kubwa ni kukamatwa. Na hata ukikamatwa mwenye kosa ni mchepukaji wengi huwaonea michepuko wakati wao hawana kosa lolote
 
Msanii
Njoo huku utupe mwendelezo wa hii muvi.
Ila mkeo duuuh inawezekana anakaundugu na Iddi Amini dada! Yaani mwanamke mwenzangu abakwe huku mi nimekaa kwenye sofa nikiwa na pepsi na popcorn naangalia? 😯😯
Sawa tumekubali wewe umekosea lakini ye akilipiza kwa binti wa watu ndo atapata nini? Atafuta ukweli kwamba ulichepuka?
 
Last edited by a moderator:
Akianzisha maada hiyo ipotezee,mwambie kama ameshauriwa basi akabadilishiwe ushauri
 
Naona watu mnatokwa mapovu......hamjui wamawake wa siku hizi wako liberated sana.....think outside the box.....huyu mke ana fantasies zake za group sex......anataka aone na probably kushiriki.....mzee mpatie mkeo kitu roho yake isuuzike......lol

I bet my bottom dollar jamaa akikubali matakwa ya mkewe the first thing mke atakachosema ni: "niandalie kamera" mke ni shabiki mkubwa wa gang sex
 
Ucjaribu hiko kitendo kabisa ni hatari saan na inaonyesha mkeo ni katili

nakubaliana na wewe akiruhusu hili lifanyike basi huo ni ushenzi wa hali ya juu.

kwani yeye ni Mungu na ana uhakika hatafanya kosa maishani kwake? Akumbuke vile vile na huyo binti anaweza kuwa mtoto wa mjini akamgeuzia kibao.

Jee atayaweza?
 
una mke katili sana, hachelewi kukuletea watu wakufumue marinda
 
Hauko salama kwa vyovyote, manake usipomletea mbaya wake abakwe wabakaji wataelekezwa wakubake wewe.

Anyway utuletee mrejesho
 
Mkuu huyo mkeo anadini kweli? hajui nn maana ya mtu kuomba msamaha! Simama katika nafasi yako mwambie haiwezekani mimi nimeshakiri kosa sitoweza kurudia kosa jingine la uuwaji.
Leo ahsubuhi ninampeleka kazini. anatoa machozi nikimuuliza hataki kusema, baadaye amenipigia anasema kuwa ninamkwepesha yule binti hivyo bado ana uhakika naendelea naye.

Kiufupi ni kwamba anayo namba yake na wameshawasiliana sana na ameshapafahamu kwao. Najiuliza kwa nini anihusishe mimi ktk mpango wa kijinai?
 
Hiyo ndo shida yetu tunaacha kutoa kibanzi kwenye jicho letu kwanza tunakimbilia kuangalia boliti za wenzetu, angemwambia nini kilisababisha yeye kuchepuka, alafu huyu mume sijamsoma mbona hasimami kwenye nafasi yake?
Huo sio ubinadamu, kwani alikulazimisha kuwa nae? Halafu sisi wanawake huwa hatujiongezi tu, badala ya kudeal na tatizo ulilonalo ndani unakwenda kuparamia aliyetobgozwa.

Wewe mume ungekuwa na msimamo huyo dada angekulazimisha? Mkeo a napaswa akae nawewe akueleze madhara ya kutoka nje ya ndoa na akuulize sababu ya wewe kuamua hivyo.

Maana kama ni tabia yako utampeleka huyo binti wa watu atabakwa then utatafuta mwingine mwisho wa siku mtabakisha wangapi? Mwogopeni Mungu hiyo sio suluhu. Mnatakiwa muelezane kilichopungua badala ya kuadhibu wapita njia.
 
Back
Top Bottom