Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Kuwa mwanaume wewe

Unalia lia nini hapa.

Mweleze mke wako hilo haliwezekani....

Kuchepuka umechepuka wewe alafu unaleta ----- hapa bana.....Ingetakiwa wewe ndio ubakwe.

Big Up Mkuu, huyo mkewe anashindwa tu kuelewa kwa kutaka kumuadhibu mwanamke mwezie bila sababu wakati mwenye makosa ni mumewe aliyemtongoza binti wa watu na kuchepuka naye akijua fika yuko ndani ya ndoa. Yeye ndo wa kuadhibiwa.
 
Nashukuru umenithibitishia hili' maana huyo unaemwita binti ni mdogo wangu na alinijulisha kuna mtu anamtishia maisha nikapotezea nikijua sio issue serious!!
Sasa napata picha ni jinsi gani hii issue ipo serious!! Kiufupi kwa mwanaume hii issue ni very minor ila kwakuwa inaonekana umeruhusu mkeo kukutawala paka kuvuka mipaka ndio maana unaweweseka hapa usijue lakufanya!! Sasa mind You na hiyo mke wako lolote litakalo mtokea yule dadaangu'' nitadouble punishment kwenu nyote!! Ukifanya anavyotaka mke wako basi wewe utafanyiwa hivyo mbele yake na yeye atafanyiwa hivyo mbele yako..

Othewise uniambie kosa la huyo binti paka astahili hiyo adhabu!!

Pia ukiendelea kuishi kwastaili hiyo na mkeo ipo siku' utawakana hâta wazazi ili kutii matakwa ya mkeo.
Be a man with wise decision!!!
 
Pole kwa yaliyokukuta,siku zote hapa duniani hakuna siri hivyo kuwa makini na maisha yako,sualala mke kutaka umpeleke huyo kimada wako wa zamani,usithubutu hata siku moja kufanya hivyo maana utakuwa hutatui tatizo bali unaliongeza.
Tafuta namna nyingine ya kumshawishi mkeo.
 
Zyamwelele

I know what am doing. Kingine huwa sitishiwi kibudu namns hiyo. Nimeshamuonya huyo binti aisthubutu kuwasiliana nami na asipokee simu wala texts zangu kwani naamini inawezekana jina langu likatumika kumtia matatani.

Na huyo unayemsema ni mdogo wako siye huyu ninayemtaja hapa. yeye ni firstborn kwao na ameniambia nduguze wanamtesa sana na kumdhalilisha. inawezekana wewe ni mmoja wao mnaomfanyia unyama maana text yako imekaa kiunyama unyama vile

Kiufupi ni kwamba nimelileta hapa nipate ushauri na si kutishiwa mwaisha dogo.
 
Last edited by a moderator:
Komaa kiume bana, mwambie hilo analolitaka haliwezekani na akijifanya kusisitiza mwambie afanye kwa mipango yake peke yake, akiishia polisi unaoa mchepuko. Mkeo ni katili
 
Wewe ndio uliekosea, binti wa watu walanhahusiki na ndoa yako.
Ushauri, muambie alete hao vijana wake wakubake wewe manake ndio unahitaji akusamehe. Huyo binti wala hauhitaji msamaha wa mkeo
 
Msanii

Ushauri wa nini wewe mwanaume umepandwa na mkeo kichwani?

Mwanaume unashindwa kummiliki mkeo

Na wewe unajisifu una mke

Sometimes msiwe mnatudhalilisha humu jukwaani wanaume wote tuonekane watu wa hovyo kama wewe......Una bore kinomanoma
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndio uliekosea, binti wa watu walanhahusiki na ndoa yako.
Ushauri, muambie alete hao vijana wake wakubake wewe manake ndio unahitaji akusamehe. Huyo binti wala hauhitaji msamaha wa mkeo
Yeye anasimamia hapo.
Nimeshamwambia kuwa kosa ni langu kama ni kunikata mkono, kichwa hata kuua aniue mimi hapo ndo anasema kuwa nampenda bado binti yule.

Ninaona kwamba kuna baadhi ya binadamu hawana neno samahani ktk sakafu za mioyo yao
 
Msanii
Hahaha' eti dogo jiangalie wewe!!!
ulimi wako ushakuwa wamoto hapo.

Hapo inatakiwa uapply dictatorship tu kwa mkeo'' na akifanya' afanye at her own risk!! Ukimtaka radhi na kumuelewesha juu ya hilo atatii maamuzi yako!! Asipo tii na akilitekeleza hilo amini kwamba your treated as a husband interms of responsibility and not interms of décision making!! Lakin pia hâta maandiko matakatifu yanaagiza mwanamke kumtii mumewe in any situation. Kila lakheri..
 
Last edited by a moderator:
Freeland

Pia kama wewe umezoea kuburuzana na mkeo ili akuogope si wote tupo hivyo. Nina msimamo najua hivyo. Suala la mtu kufanya kosa halimjustify kuanzisha vurugu ili kusolve. Akili ikitumika ndo poa.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu sijui ulijichanganya wapi hadi mkeo akajua. Usitegemee hata siku moja ukimfanyia chochote hata ikibidi huyo mchepuko kubakwa mbele yako atakurudisha imani na amani kupatikana.

Ngoja nikuulize,Je, aliona sms au alikukamata red handed? Ikiwa alikukamata red handed sawa, lkn ikiwa aliona sms pekee, ulitakiwa kukataa mmkabaki kubishania sms kuliko huko mlikofika. Na hata kama alikuona tu hamkuongea naye ungeweza kukataa sio wewe topic ikabaki kuwa ni wewe, hapana sio.
Kukubali kwako ni kosa kubwa na hatakaa akusamehe maishani mwake. Wanawake hawapaswi kupewa ukweli.

Sasa usijaribu kumkutanisha mkeo na huyo former mchepuko wala kumpa more details. Mwambie umemwacha na hiyo issue inaishia hapo. Ukiendelea kusikiliza anachokutaka utaamuumiza mtoto wa watu kwa tamaa na uzembe wako. Wewe ulimtamani, kakupatia, sasa unataka kufanya uzembe umuumize mtoto wa watu
 
Kuwa mbabe kwa demu mbabe......kosa lilishafanyika why utende jingine tena.?? Be careful
 
Back
Top Bottom