Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Nilikuwa nakatiza maeneo ya Chang'ombe nikamwona mrembo anatembea juani alionekana amechoka, nikampa lifti kumsogeza mjini (baada ya kumuuliza aendako). Tulibadilishania anuani na tukawa tunawasiliana.

Binti mwenyewe ni mrembo na ameumbika ki-kike haswaa. Sasa siku tuliyoonana tena nikajiona ---- sana kumuachia hivyo nikaimba beti chache na hatimaye nikatusua mtoto. ikumbukwe hapo nimeoa. Baada ya mchezo ule nilijuta kiasi ila nikanogewa tukawa tunabanjua amri ya sita kila mara bila kutambulika. Lakini hakuna marefu yasiyo na ncha, hatimaye nikagundulika na wife kwamba nakimbia mwenge nje ya chumba. Moto uliowashwa daah sitausahau. Nahisi binti alikuwa ameniwekea kitu nijione nafanya jambo sahihi na baada ya kugundulika na wife ndo nikagundua upuuzi nilioufanya na almanusura ndoa ivunjike. Ila nimemsihi sana wife anisamehe na sitarudia tena. Mke tunaendelea kuishi wote ila bado haniamini kwa hayo yaliyotokea. Kiufupi ni kwamba nilitopea baada ya kuona nyumbani nakumbana na full stress na nakosa faraja, amani na upendo hivyo nikajiona nipo right kabisa kufanya dhambi ambayo leo naijutia.

Sharti alilonipa ni kwamba yeye ameandaa vijana wake hivyo nimlete yule binti ili abakwe mbele yake na kadhalika. Kitu hiko nimemwambia ni kinyume na utu na ni kuvunja sheria, ugomvi umeanza upyaaa. anasema kuwa namkwepesha huyo binti kwa kuwa nampenda. Naomba ushauri nifanyeje hapo maana ingawa najutia kosa langu lakini sipendi kutenda kosa la unyama kiasi hiki.
Gives me an idea!!
King'asti ukuje!!
 
Last edited by a moderator:
Huyo my wife wako subiri na yeye akulipize kutafuta mchepuko. Doa kama hilo ni gumu sana kutoka moyoni. Jaribu kufikiria ingekuwa mkeo ndio kafanya hivyo upande wako ungechukua hatua gani...
 
Tehe tehe tehe sokwamba nimefurai ninoma uyo shemeji ni hatari kama jina la mbwa.
 
Kama nimkibosho bro kuwa makini hakawii kukukil akakimbilia kenya bila shaka nimuhehe atajinyonga upate mada kesi
 
Sema nene michepuko so ishu utajisikiaje nikikuchapia wife wako alafu ukajua
 
Uyo mdada hana kosa abarikiwe simchoyo bila shaka nibeautfull
 
Nimejaribu kumsihi sana mke wangu kwamba pamoja na yote mimi ndiye mkosaji lakini yeye anashikilia msimamo kwamba kwa nini binti yule akubali kulala na mimi huku akijua kuwa nimeoa?

Nimejaribu kumwomba tukaombewe kanisani hasa mimi ili nisirejee upuuzi ule anasema huko hakuna jipya na msimamo wake ni ule ule. Ila ukweli nimemuudhi pamoja na kwamba ana hasira lakini utu wema ni silaha dhidi ya dhambi...

kwani wewe na mkeo mlikutana mkiwa mabikra ? kama sivyo toeni hesabu za namna mlivyokuwa michepuko kwa namna moja au nyingine pasipo kuundiwa magenge ya kuwabaka mwambie amezee tu,harua haina makombo. nawe jifunze kula na kupofu...
 
Wife ametoa ultimatum...nani zaidi...kama wife basi mchepuko abakwe...else bado anampenda...
Ha ha ha huyu wife ametoa mtihani mgumu sana...angejaribu ku standardize...ha ha ha...lazima jamaa afeli

abakwe tu make hakuna namna (in pinda's voice)
 
hapo ndg yaani ujitahidi kwa nama yoyote iwezekanavyo uongee naye ili usiulte ulu mchepuko,kwan ukileta itakuwa majanga makubwa ndg yangu,kwani binadamu huwa hawakosei?
 
Acha huo ujinga.unamsalitije binti ambaye mlielewana? Jiulize we alikubaka?
 
Rudi tena mwambie hujachepuka kwani alijufunania? Unakubalije kirahisi hivyo na hali hujafumaniwa? Mwambie mkeo ulikubali tu kwa sababu uliona ana hasira lakini si kweli. Ukitoa mtu kafara utakuwa umeaibisha team michepuko .kwani we ndo wa kwanza kuchepuka? Watu wanahonga meli,wengine wanahonga wilaya we unababaika!
 
Sasa binti wa watu ana makosa gani hadi akumbane na kadhia hiyo ya kubakwa, we si ndio ulimtongoza inabidi hiyo adhabu ije kwako haina namna ya kuikwepeshea kwa mtu asiye na hatia
 
Leo ahsubuhi ninampeleka kazini. anatoa machozi nikimuuliza hataki kusema, baadaye amenipigia anasema kuwa ninamkwepesha yule binti hivyo bado ana uhakika naendelea naye.

Kiufupi ni kwamba anayo namba yake na wameshawasiliana sana na ameshapafahamu kwao. Najiuliza kwa nini anihusishe mimi ktk mpango wa kijinai?

mpuuzi, uchepukaji wako ndio dio jinai? ni zaidi over n above jinai. yani nikiona mchepukaji huwa natamani nimshoot atangulie kuzimu... gadem
 
Huyo my wife wako subiri na yeye akulipize kutafuta mchepuko. Doa kama hilo ni gumu sana kutoka moyoni. Jaribu kufikiria ingekuwa mkeo ndio kafanya hivyo upande wako ungechukua hatua gani...

gumu sana. ni dhambi isiyosameheka. Mungu alipoweka uzinzi kama chanzo cha talaka alijua mwenyewe jinsi moyo wa binadamu ulivo kwenye kusamehe hiyo takataka
 
Mtoa mada ulikimbia stress nyumbani! Ona ulivyokuwa stressed kuliko stress uliyoikimbia!
 
nunua box la condom.. njoo nalo home mwambie mkeo aandae wale vijana wawe tayari mueleze unakuja na huyo binti.. ukifika home anakuona peke yako unamwambia upo tayari kufirwa ili ubeba adhabu ya binti mrembo uliyemtongoza.... hapo tu utammaliza nguvu ,.... ila chalii una dalili za kwenda segerea aisee,... umeshindwa mdefend huyo bint mrembo kuwa ulikuwa unavua pete unaficha .... KAMA MBWAI NA IWE MBWAI TU........... kwanni nini? unaishi na mwanamke ananlilia kufanya ukatili aisee huyo mke nikiboko atakutia idole siku kwenye makalio

Mmmmh! Mkuu leo umefunguka
 
Binti hana kosa period, huyo mke anakutega tu. Koma a nae ahaaaggrr
 
Rudi tena mwambie hujachepuka kwani alijufunania? Unakubalije kirahisi hivyo na hali hujafumaniwa? Mwambie mkeo ulikubali tu kwa sababu uliona ana hasira lakini si kweli. Ukitoa mtu kafara utakuwa umeaibisha team michepuko .kwani we ndo wa kwanza kuchepuka? Watu wanahonga meli,wengine wanahonga wilaya we unababaika!

Hawezi kujipanga upya ameisha sema alikua boya jinga ----- kwa huyo cheche hapo aongee na shemeji vzr akibakwa huyo demu nawe jiandae ukabakwe keko
 
Back
Top Bottom