Igauri Kwetu
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 321
- 72
Mwambie akupeleke wewe ukafanywe kwa sababu wewe ndio chanzo cha tatizo.Acha kujishobodoa nenda ukaliwe
Nilikuwa nakatiza maeneo ya Chang'ombe nikamwona mrembo anatembea juani alionekana amechoka, nikampa lifti kumsogeza mjini (baada ya kumuuliza aendako). Tulibadilishana anuani na tukawa tunawasiliana.
Binti mwenyewe ni mrembo na ameumbika ki-kike haswaa. Sasa siku tuliyoonana tena nikajiona ---- sana kumuachia hivyo nikaimba beti chache na hatimaye nikatusua mtoto. ikumbukwe hapo nimeoa. Baada ya mchezo ule nilijuta kiasi ila nikanogewa tukawa tunabanjua amri ya sita kila mara bila kutambulika. Lakini hakuna marefu yasiyo na ncha, hatimaye nikagundulika na wife kwamba nakimbia mwenge nje ya chumba. Moto uliowashwa daah sitausahau. Nahisi binti alikuwa ameniwekea kitu nijione nafanya jambo sahihi na baada ya kugundulika na wife ndo nikagundua upuuzi nilioufanya na almanusura ndoa ivunjike. Ila nimemsihi sana wife anisamehe na sitarudia tena. Mke tunaendelea kuishi wote ila bado haniamini kwa hayo yaliyotokea. Kiufupi ni kwamba nilitopea baada ya kuona nyumbani nakumbana na full stress na nakosa faraja, amani na upendo hivyo nikajiona nipo right kabisa kufanya dhambi ambayo leo naijutia.
Sharti alilonipa ni kwamba yeye ameandaa vijana wake hivyo nimlete yule binti ili abakwe mbele yake na kadhalika. Kitu hiko nimemwambia ni kinyume na utu na ni kuvunja sheria, ugomvi umeanza upyaaa. anasema kuwa namkwepesha huyo binti kwa kuwa nampenda. Naomba ushauri nifanyeje hapo maana ingawa najutia kosa langu lakini sipendi kutenda kosa la unyama kiasi hiki.
Rudi tena mwambie hujachepuka kwani alijufunania? Unakubalije kirahisi hivyo na hali hujafumaniwa? Mwambie mkeo ulikubali tu kwa sababu uliona ana hasira lakini si kweli. Ukitoa mtu kafara utakuwa umeaibisha team michepuko .kwani we ndo wa kwanza kuchepuka? Watu wanahonga meli,wengine wanahonga wilaya we unababaika!
Nilikuwa nakatiza maeneo ya Chang'ombe nikamwona mrembo anatembea juani alionekana amechoka, nikampa lifti kumsogeza mjini (baada ya kumuuliza aendako). Tulibadilishana anuani na tukawa tunawasiliana.
Binti mwenyewe ni mrembo na ameumbika ki-kike haswaa. Sasa siku tuliyoonana tena nikajiona ---- sana kumuachia hivyo nikaimba beti chache na hatimaye nikatusua mtoto. ikumbukwe hapo nimeoa. Baada ya mchezo ule nilijuta kiasi ila nikanogewa tukawa tunabanjua amri ya sita kila mara bila kutambulika. Lakini hakuna marefu yasiyo na ncha, hatimaye nikagundulika na wife kwamba nakimbia mwenge nje ya chumba. Moto uliowashwa daah sitausahau. Nahisi binti alikuwa ameniwekea kitu nijione nafanya jambo sahihi na baada ya kugundulika na wife ndo nikagundua upuuzi nilioufanya na almanusura ndoa ivunjike. Ila nimemsihi sana wife anisamehe na sitarudia tena. Mke tunaendelea kuishi wote ila bado haniamini kwa hayo yaliyotokea. Kiufupi ni kwamba nilitopea baada ya kuona nyumbani nakumbana na full stress na nakosa faraja, amani na upendo hivyo nikajiona nipo right kabisa kufanya dhambi ambayo leo naijutia.
Sharti alilonipa ni kwamba yeye ameandaa vijana wake hivyo nimlete yule binti ili abakwe mbele yake na kadhalika. Kitu hiko nimemwambia ni kinyume na utu na ni kuvunja sheria, ugomvi umeanza upyaaa. anasema kuwa namkwepesha huyo binti kwa kuwa nampenda. Naomba ushauri nifanyeje hapo maana ingawa najutia kosa langu lakini sipendi kutenda kosa la unyama kiasi hiki.[/QUOTE
Inaonekana unaongozwa na mke wako ww kama ulishakiri kosa hayo yote yanatoka wapi halafu huyo mkeo ni mvivu wakufikir hv atawabakisha wangapi au anadhan kufanya hivyo ndio kumaliza tatizo na kwann usibakwe ww ulietongozwa co mstaraabu kbs hajui akili za wanaume huyo atapata aibu kuna mwengine alijifanya anajua akampiga mchepuko wa mme na mme akaamua kuowa kbs yy akaachwa
Nilikuwa nakatiza maeneo ya Chang'ombe nikamwona mrembo anatembea juani alionekana amechoka, nikampa lifti kumsogeza mjini (baada ya kumuuliza aendako). Tulibadilishana anuani na tukawa tunawasiliana.
Binti mwenyewe ni mrembo na ameumbika ki-kike haswaa. Sasa siku tuliyoonana tena nikajiona ---- sana kumuachia hivyo nikaimba beti chache na hatimaye nikatusua mtoto. ikumbukwe hapo nimeoa. Baada ya mchezo ule nilijuta kiasi ila nikanogewa tukawa tunabanjua amri ya sita kila mara bila kutambulika. Lakini hakuna marefu yasiyo na ncha, hatimaye nikagundulika na wife kwamba nakimbia mwenge nje ya chumba. Moto uliowashwa daah sitausahau. Nahisi binti alikuwa ameniwekea kitu nijione nafanya jambo sahihi na baada ya kugundulika na wife ndo nikagundua upuuzi nilioufanya na almanusura ndoa ivunjike. Ila nimemsihi sana wife anisamehe na sitarudia tena. Mke tunaendelea kuishi wote ila bado haniamini kwa hayo yaliyotokea. Kiufupi ni kwamba nilitopea baada ya kuona nyumbani nakumbana na full stress na nakosa faraja, amani na upendo hivyo nikajiona nipo right kabisa kufanya dhambi ambayo leo naijutia.
Sharti alilonipa ni kwamba yeye ameandaa vijana wake hivyo nimlete yule binti ili abakwe mbele yake na kadhalika. Kitu hiko nimemwambia ni kinyume na utu na ni kuvunja sheria, ugomvi umeanza upyaaa. anasema kuwa namkwepesha huyo binti kwa kuwa nampenda. Naomba ushauri nifanyeje hapo maana ingawa najutia kosa langu lakini sipendi kutenda kosa la unyama kiasi hiki.[/QUOTE
Inaonekana unaongozwa na mke wako ww kama ulishakiri kosa hayo yote yanatoka wapi halafu huyo mkeo ni mvivu wakufikir hv atawabakisha wangapi au anadhan kufanya hivyo ndio kumaliza tatizo na kwann usibakwe ww ulietongoza co mstaraabu kbs hajui akili za wanaume huyo atapata aibu kuna mwengine alijifanya anajua akampiga mchepuko wa mme na mme akaamua kuowa kbs yy akaachwa
Binti yangu wa kuzaa awe nyumba ndogo?...God forbid!
Sina mtoto wa kike lakini ningekuw naye wimbo wangu ungekuwa 'waume za watu ni sumu'...mara mia apige umalaya wote lakini si na waume za watu...nikujiwekea nuksi maishani...
Muulize mke wako kistaarabu tu, kwamba kafahamianaje na kundi la wabakaji??
usitukane mamba wakati bado hujavuka mto ndugu yangu!!!
unaeza ukampata huyo wa kike na ukaimba nyimbo zote ukapiga sana na bado akawa mchepuko tuu tena wa wengi.
Mtoto unaenda mbali sana , yeye mwenyewe anaeza kutana na wazee wa sound, akapigwa mtongozo wa heshima akajikuta yuko kwenye mahusiano na mume wa mtu, tena akiwa nafull details za kutumika kimchepuko!!
Binadam ameumbwa kuonyesha uhodari na umaarufu mbele ya kadamnasi, nafsi zetu ndo zinajua udhaifu mkubwa tulionao.