Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Pritty wa joseph

Thubutu yake, siendeshwi mkuu wangu ila najaribu kulinda heshima ya ndoa na kibaya anataka kuwahusisha watoto kwenye hili sakata ndo maana nakuwa kama piritoni. My kids are everything sitaki waishi katika mazingira ya maumivu kisaikolojia.
 
Last edited by a moderator:
Kakangu eeeh mwambie mkeo kila nikirudi home stress kibao nikaona nijipoze huku...ili aone kuwa yeye ndo chanzo cha wewe kutoka nje ya ndoa
 
Mwambie aweke kiapo kuwa mwanae akikosea hivyo nae abakwe. Mmh una muda gani na huyo mkeo? Nakushauri ishi nae kwa akili
Miaka mitano ktk ndoa...

Ninaomba ushauri hapa maana kwa akili zangu nimegota, nikienda hatua ya pili anaweza akajilaumu kwa msimamo wake na mimi huko sitaki kufika natafuta suluhu daima
 
Kakangu eeeh mwambie mkeo kila nikirudi home stress kibao nikaona nijipoze huku...ili aone kuwa yeye ndo chanzo cha wewe kutoka nje ya ndoa
Hahahaha hayo nilishamweleza sana hata kabla ya kudumbukia mtaroni. Nilikuwa namwambia kwamba kunistress siyo deal na inaniumiza.
Huwa ni mtata hata kwa nduguze na rafikize.
 
Binti akienda kushtaki polisi itakuwaje? hapo ndo hofu yangu ilipo

Nakushauri usirudie kosa la pili.
Ulichepuka hilo nikosa namba moja kwa wanandoa. Limalize bila kuweka third party.
Kosa ambalo utafanya ni kumsakizia huyo binti, hilo akikupeleka polisi utashitakuwa kwa makosa ya jinai. Kesi ikianza itagusa ajira pia, ajira ikiguswa familia nayo imeguswa kwa mara nyingine.
Nakushauri usirudie kosa endelea kushauriana na mkeo mlimalize wenyewe.
 
Unajutia nini? Mke wako ni mshenzi wa hali ya juu, na hawa watu wawili waliojibu "mpeleke" huyo binti ni washenzi pia. Jamani kuna watu WABAYA humu JF. Unaokoa ndoa yako kwa kuharibu maisha yote ya mtu mwingine? Napata hasira sana kusoma uzi huu...

Na hata wewe inaonekana wasiwasi yako ipo zaidi kwenye suala la kukamatwa na kutuhumiwa kosa la ubakaji. Sidhani kama kweli unamjali huyo binti maana kama unamjali ungemkomesha mke wako mara moja baada ya yeye kusema binti abakwe mbele yake.

Basi endeleeni na roho zenu chafu, ila namwomba mungu siku ambayo kitu chochote kibaya kitakachotokea juu ya huyo binti kwa sababu ya mke wako, wote muende motoni.
 
Nunua box la condom.. njoo nalo home mwambie mkeo aandae wale vijana wawe tayari mueleze unakuja na huyo binti.. ukifika home anakuona peke yako unamwambia upo tayari kufirwa ili ubeba adhabu ya binti mrembo uliyemtongoza.... hapo tu utammaliza nguvu ,.... ila chalii una dalili za kwenda segerea aisee,... umeshindwa mdefend huyo bint mrembo kuwa ulikuwa unavua pete unaficha .... KAMA MBWAI NA IWE MBWAI TU........... kwanni nini? unaishi na mwanamke ananlilia kufanya ukatili aisee huyo mke nikiboko atakutia idole siku kwenye makalio
 
Kuwa na msimamo umetenda kosa LA kwanza kumtongoza mtoto wa watu Kwa maneno mazuri umechepuka,tena huyohuyo ujiongezee dhambi nyingine mwambie shemeji hilo haliwezekani basi
 
broski

Kumwita mke wangu 'mshenzi' siyo jambo ninalofurahia hata kidogo. Uwe na heshima. Kama unaweza kuheshimu mwenza wako ama wazazi wako vivyo hivyo heshima hiyo ivuke mipaka.

Mimi nimetiririka kwamba siwezi kumpeleka huyo binti kwa kuwa ni kinyume na utu (sijaongelea sheria) hivyo unaposoma comments za watu ambao uelewa wao ni tofauti na wako jitahidi kuwaelimisha na si kuwadharau ama kuwatusi.

Ila ushauri wako nimeupokea na msimamo wangu sijaubadili kwa kuwa kosa langu la kwanza halitatuliwi na kutenda kosa la pili.
 
Last edited by a moderator:
Miaka mitano ktk ndoa...

Ninaomba ushauri hapa maana kwa akili zangu nimegota, nikienda hatua ya pili anaweza akajilaumu kwa msimamo wake na mimi huko sitaki kufika natafuta suluhu daima
Hiyo ni moja ya makucha yake ni katili, wa hivyo anaweza kuchinja mtu isee. Mwambie utafikiria halafu unyamaze jumla uone kama atakuacha. Mwache alie wee atanyamaza. Ila pia usiache kumuonya huyo binti awe makini nae, anaweza kumdhuru
 
Back
Top Bottom